Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu kuna sehemu nataka niachie ngazi ili kupata muda wa kufanya mambo yangu mengine. Sasa wakati naplan kuondoka ningependa kujua sheria ipoje kwa upande wangu. Je baada ya kutoa notice ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ukisoma sheria ya madini ya mwaka 2010 na marekebisho yake sehem ya VI isemayo ROYALTIES FEES AND OTHER CHARGE. kifungu cha 87(1) inasisitiza royalty ya 6percentum kwenye dhahabu na madini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kabla ya kuoa ulikuwa na mali zako ulizomiliki kama nyumba, gari na ardhi(shamba). Ukaja kuoa baadae mkazinguana na mwanamke mkatalikiana. Sasa katika kugawana mali; je, zile mali ulizochuma...
0 Reactions
29 Replies
10K Views
Wakubwa, Hivi vibao vya shule na taasisi nyingine za serikali vilivyoko kwenye hifadhi ya barabara(road reserve) huwa vipo kisheria ama vipi Nimeuliza hivyo maana kuna mdogo wangu kagonga kibao...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Naomba kujua benki inaruhusiwa kukopesha kiasi gani cha pesa ukilinganisha na mtaji wake? Pia benki kuu inaweza kuongeza idadi ya noti katika mzunguko kama ikiamua? Asanteni wanasheria!
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Habarini wana jamvi,Nina shida kuhusiana na kichwa cha habari husika hapo juu. Iko hivi Miezi 6 iliyo pita nilinunua kiwanja cha makazi maeneo ya Kinyerezi Dar es Salaam, Baada ya...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Nyanja: Utawala Bora/Mahusiano. (Hili tukio siyo halisi. Majina yametajwa katika mantiki na muktadha wa urithi wa kihistoria ambao unarithishwa vizazi hata vizazi kwa njia ya uandishi) Advocate...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
How to cross-examine a witness Ask questions, rather than making statements. Keep your questions short and to the point. Try and ask questions that have a 'yes or no' answer. ... You must put...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nauliza naweza weka jina 3 na lisilete shida yeyote kwenye mfumo wa kiserikali ikiwa vyeti vyangu vya shule na chuo vina majina mawili. Wanasheria naombeni hatua ya kwanza kufanya ili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je sheria inaruhusu upande m1 kukata rufaa ikiwa kesi ya msingi bado inatakiwa kuendelea.
0 Reactions
1 Replies
432 Views
Kwa Mujibu wa Taarifu Tulizopata ni kwamba waliokua wametuhumiwa na Mheshimiwa Mbowe katika kesi ya Ugaidi walishahukumiwa na wameanza kutumikia kifungo? Iweje leo wamerudishwa mahakamani? Au...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba kupata ufafanuzi kuhusu ilo jambo kwa wanaolifahamu limekaaje kisheria. Naomba kuwasilisha Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hakuna ubishi kuwa wanasheria wanatafuta ukweli kuhusu mambo yaliyofanywa na kufanyiwa wateja wao ambao sisi wananchi wa kawaida tunaufahamu. Tunaufahamu ukweli wote kwakuwa wahalifu na...
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Nauliza swali kwa wizara ya mambo ya ndani, ninandugu yangu wakati wa tuhuma y vyeti feki, ilimtokea yeye na aliomba kuacha kazi, na hakuwahi kujibiwa barua ya kuacha kazi, Tangia mwaka 2016...
0 Reactions
4 Replies
801 Views
Habari wadau, Wajuzi wa sheria naomba mnipe vifungu vinavyoruhusu mwekezaji kuruhusiwa kununua mwananchi mmoja mmoja na kuwaondoa kijiji kizima kwa muda usiotabirika (Buyer to Seller). Binafsi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa amekamatwa na polisi akiwa faragha na mwanamke umri miaka 16 Nasema ni mwanamke kwa sababu akiwa na umri wa miaka 15 alipigwa ujauzito na mwanafunzi mwenzake wakasovu huko yakaisha na...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
sheria zetu za Tanzania zinatambua aina mbili za utaratibu wa mirathi 1. utaratibu unao muhusu mtu ambaye amekufa bila kuacha wosia 2. Mtu ambaye ameacha wosia Kwa habari ya mtu ambaye...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Binafsi sina tatizo sana na utendaji wa Mhe. Rais, naiona dhamira yake ya dhati kabisa katika kulipeleka Taifa mbele, bado ninaimani kubwa sana na JPM kiutendaji. Yako mengi Mhe. Rais anayofanya...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Nafahamu kuwa ili Mtumisshi awez2 kihama kituo chake Cha kazi no sharti awe amekaa.k2a.mida usiopunguaa miaka 3,vinginevyo mwajiri ndiye amhamishe! Je Standing Order inasemaje iwapo Mtumishi ana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kimsingi dunia huwa haishirikiani na gaidi yoyote na dunia ni watu na maliasili zao. Sasa endapo mtu aliyetuhumiwa kwa ugaidi na kutengwa na " dunia" akionekana hana hatia mbele ya mahakama...
0 Reactions
5 Replies
899 Views
Back
Top Bottom