Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba kuelimishwa kwa Sheria zetu za mtandao zinahusu Mtanzania yeyote aliepo popote au lazima awe anaishi Tanzania? Ukitukana mtu Instagram sheria inasemaje Kama uko Tanzania? Kama uko nje...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello learned lawyers, Naweza pata msaada wa historia ya speed track of cases in Tanzania na mfumo huu tuliuadopt kutoka nchi gani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza hili swali? Mtoto wa nje ya ndoa anaweza kurithi mali ya mama yake aliyefariki akiwa ndoani na baba mwingine? Ikiwa baba ndio aliwakuta mtoto na mama wanajitegemea Iko hivi...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Ninahitaji kuwa na mtu/ binti atakayesaidia shughuli ndogondogo kama vile usafi , kutumwa posta na kwingineko . Atakuwa anakuja asubuhi muda wa kufungua ofisi na anaondoka muda anaomaliza...
1 Reactions
2 Replies
882 Views
Naomba kufahamu ni kweli cma haina mamlaka kisheria kusikiliza kesi za wafanyakazi wa Tanesco kwa kigezo kwamba ni watumishi wa umma?
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani wanasheria naombeni ushauri Mimi nilikuwa na mwanamke ambaye alikuwa mchumba wangu , na tulisha chumbiana mpaka kumvalisha Pete na mipango ya harusi ikaanza Sasa Basi akiwe yeye yupo katika...
14 Reactions
173 Replies
12K Views
Hili ndilo biti walopigwa wabunge na Spika Ndugai. Akawatahadharisha kuwa watapoteza nafasi zao za uwakilishi kama wangekataa bajeti inayoruhusu uwepo wa tozo za kihuni. Je, hekima gani ilitumika...
1 Reactions
2 Replies
781 Views
Kheri ya mwaka mpya na mafanikio mema ndugu zangu watanzania, kwa kuanza mwaka huu nimeona niwaletee makala hii ya shauri la MADAI maana mashauri ya MADAI ni moja ya mashauri yanayoongoza kuwa na...
7 Reactions
21 Replies
5K Views
Wakuu Habari za muda huo wako unaposoma hii Ningependa kufahamishwa sheria na utaratibu wa kumiliki silaha kwa nchi ya Tanzania umekaeje kwa sasa ? Kwa mwenye uelewa wa hili, naomba maelezo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanasheria naomba kujua ni Sababu zipi zinaweza Kusababisha Bunge kuvunjwa?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kaka yangu anayeishi Tabora yuko kwenye ndoa kwa miaka 10 sasa! Mwaka jana alifanikiwa kuongeza biashara zake!Tatizo linaloisumbua familia ni kuwa kila kipato kilipokuwa kikiongezeka na tabia ya...
7 Reactions
71 Replies
6K Views
Wengi wetu siku hizi tunahifadh pesa ktk mitandao ya simu au ktk mabenki tena muda mwingine unakuta hifadhi hiyo inakuwa ya siri hata familia na marafiki hawajui. Hili kisheria linakuaje...
1 Reactions
7 Replies
957 Views
Nawasilimu wote! Wana Jf nimepitia mijadala ,Maoni na uzi mbalimbali zinazohusu Katiba ya URT ya mwaka 1977 humu ndani na nimeguswa kusema kitu. Nafahamu Katiba husika ina mapungufu mbalimbali...
0 Reactions
8 Replies
846 Views
Kuna dogo lilikuwa na cm ya rafiki yake likapigiwa simuna matapeli wa mtandao kuwa katume pesa kwa wakala mwambie kaka ndo kanituma na hyo wakala tunafamiana, nae akatuma kumuomba dogo hela hana...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanasheria naomba kujua Endapo Askari Polisi Atampiga Risasi Raia Asiye na Kosa na Kumuua. Je, Askari huyo Atachukuliwa Hatua za Kisheria? Je, Ndugu wa Marehemu? Wana Fidia yoyote Watalipwa kwa...
1 Reactions
1 Replies
992 Views
Suala langu lipo CMA na mwisho wa mashauri yapo mwishoni mwa mwezi huu. Kwani nilichelewa kufungua madai kwa sababu nilipata ajaili iliyopelekea kuchelewa kufungua madai. Na katika kufungua madai...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Na Dustan Shekidele, Morogoro KWELI kuelekea mwisho wa dunia, mengi yataonekana. Mtu unawezaje kumpiga shoka mama yako mzazi, aliyekutunza tumboni mwake kwa miezi tisa, akakunyonyesha, kukusomesha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wakuu! Rejea tena kichwa cha bandiko. Sio kama yamenikuta, la hasha. Nataka kujifunza tu, itaweza kuwafaa wengine pia. Tafiti zinaonesha ongezeko la talaka baina ya wanandoa, hivyo basi...
3 Reactions
29 Replies
16K Views
Mimi ni afisa wa serikali wilaya x nililipa pesa mbichi kwa watumishi 3 baada ya kukusanya Mapato ya minada ya mifugo wilaya x jumla y fedha tsh.2,500,000/: Ninadaiwa kwenye poss machine yangu...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…