Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba kuuliza, Kuna ndugu yangu yupo mahakamani hana uwezo wa kujieleza mbele ya mahakama, je mimi raia wa kawaida nisiye mwanasheria naweza nikamsaidia kumtetea na kumsaidia kwenye shughuli...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wanajamvi. Naomba msaada wa kufahamisHwa kisheria, nina Ndugu yangu alikua anafanya kazi kwenye mgahawa alikua anaaminika na Bosi wake pamoja na wafanyakazi wenzake,kwa pamoja wakaamua...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nilikuwa na Kesi ya Ardhi iliyoanzia Baraza la Ardhi la Wilaya hadi Mahakama Kuu kati yangu nikiwa Mmiliki wa Kiwanja kwa Hati Milki ya Miaka 66 na Mdai fidia wa Ardhi iliyopimwa hicho...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Alivuma sana na aliipandisha sana chati CDM. Nikiwa mtanzania nina haki ya kupata habari za uhakika kabisa. Na kwa kuwa Chacha Wangwe alikuwa mbunge wa watanzania wa Tarime kupitia CDM ninadhani...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wakuu habarini za muda huu. Naomba kuuliza hivi katika ishu za mirathi endapo marehemu ameacha wosia na katika wosia ule umehusisha baadhi tu ya Mali zake, pia wosia ule ukiwa umetaja msimamizi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimtumishi wa umma nilikopa bank NMB cha kushangaza bank wanakata pesa yao lakini ktk salary slip makato hayo hayaonekani nifanye nn?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni sahihi kuchukua bank statement ya kampuni kinyemela bila kuwataarifu wenye kampuni? Na Je bank statement ya kampuni yaweza kutumika Kama ushahidi wa mtu binafsi na Ikawa tendered na mpelelezi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari Wana Sheria? Naomba msaada wa kisheria kuhusu kero za serikali juu ya upandaji madaraja( promotions) Mwaka 2015 mwezi Novemba nilipokea barua ya kubadilishiwa daraja ( promotion)...
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Wakuu wa kazi naomba mnifahamishe gharama za kulipa wakili wa mtu binafsi ni shilingi ngapi. Nakaribisha michango yenu. ASANTE
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari ya muda huu wakuu. Kuna jamaa (Fundi furniture) namdai Sh 700,000/= kama fedha ya advance katika kunitengenezea furniture za nyumbani kwangu ila hakufanya hivyo na tulipelekeshana sana...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
SCENARIO [emoji1484] (A). Tuseme ni Ayuoub( ni mmliki wa nyumba) . (S).Tuseme ni Salim ( mteja wa nyumba ya Ayoub 2014). (P).Tuseme ni peter pia nae ni ( mteja wa nyumba ya ayoub 2019 ). Ayoub...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mfano ikitokea nimelazwa kwenye hospitali na taarifa zangu za ugonjwa zitatolewa na mtu mwingine bila idhini yangu au ndugu zangu, sheria inasemaje kama nikitaka kudai haki yangu? Na...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
HABARI WANA JF NAOMBA MSAADA WA SHERIA KWENYE HILI. Nina rafiki yangu Ni anaishi KAHAMA ni dereva bajaji umri wake ana miaka 25. Wiki mbili zilizopita alipata mteja ( anadai kuwa MTU huyo Ni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nahitaji kujua kama kuna mtu ana kiwanja anataka kuniuzia natakiwa nifuate taratibu gani kisheria ili nisije kugubudhiwa baadae, kwa vijijini taratibu zikoje na kwa mijin taratibu...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Niliondoka kwenda masomoni bila ya kukamilisha ruhusa baada ya mwaka mmoja nikafungiwa mshahara na kutumiwa hati ya mashtaka na baadae nikafunguzwa kazi bila utumishi. Je naweza vipi kurudi...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Wajuvi wa sheria wa humu ndani,naomba mnijuze Katiba/sheria inauzungumziaje uongo? Au nao ni TUNU ya taifa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wa Sheria, narejea kilicho ripotiwa katika taarifa ya habari ya Itv ya tarehe 17 May 2020. Kimsingi aliyekuwa DC wa Hai alifungia kiwanda cha uzalishaji wa kiwanda cha vinywaji FARU JOHN...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
Habari zenu waungwana? Niliwahi sikia juu ya sheria kuhusiana na mwanamke ambaye ameishi na mwanaume kwa muda mrefu kimahusiano, kisha mwanaume huyo au mwanamke akamuacha mwenzake baada ya muda...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau! Kwenye ile kesi ya "I can't breath" ya George Floyd Mmarekani mweusi kuna maneno nilikuwa nayasikia ambayo ni 1st degree, 2nd degree murderer na Ferony. Pia kuna maneno kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom