Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba kufahamu sheria juu ya baba muonezi (nimetukanwa na mzazi mbele ya familia na wadogo zangu kwamba mimi ni shoga na matusi kede kede mabaya yani ya aibu yaliyonidhalilisha kwenye familia...
0 Reactions
3 Replies
855 Views
Mimi ni mwajiriwa kwenye shirika moja la kimataifa, hili shirika lilitoa mikataba kwa wafanyakazi , lakini moja ya vipengele havijaorodheshwa kwenye mikataba wala havipo kwenye internal...
1 Reactions
0 Replies
796 Views
Habari za leo wataalamu wa sheria. Kabla sijaandika swali langu, naomba niweke wazi kabisa kwamba mimi si mjuvi wa mambo haya ya sheria. Lakini kama rais mwema, napenda sana kujifunza maswala...
0 Reactions
2 Replies
919 Views
mwenye huo uamuzi Hamisi Jonathan John Mayage Vs Board of External Trade Civil Appeal No. 37 of 2009, CAT naomba anisaidie softcopy.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kumbe dpp ana uwezo kutotaka kuendelea na kesi ya jinai wakati wowote kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano, hembu wanasheria nielewesheni.
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Natafuta mwanasheria mbobezi wa masuala miunganiko kama vile vyama, clubs kwaajili ya ushauri.. Thanks
0 Reactions
0 Replies
617 Views
SOURCES OF LAW IN TANZANIA 1. Statutes A statute may be defined as an express and formal laying-down of a rule or rules of conduct to be observed in the future by persons to whom the statute is...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuandika hukumu ya kiswahili, tayari ni JA, Is this acceptable within the ambit of the governing law? Tunafanyaje?
0 Reactions
4 Replies
937 Views
Habari zenu wakuu? Samahani moods MSIUFUTE HUU UZI WALA KU BAN. Mimi nime kuwa najiuliza, kwa Wananchi wa BUHIGWE (kama sija kosea) Hivi karibuni Mheshimiwa Rais SAMIA SUHULU HASSAN amemteua DR...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
samahani sana wana jf nilikua nahitaji msaada wenu kidigo kwa yoyote anaye jua, Nimekua nikijiuliza sana kuhusu swala la NSSF. mimi nilikua mfanya kaza katika company furani hapa dar es salaam na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za mda huu, Ikiwa kama kuna regulations, laws au Act zozote zinazoweza kutoa majibu ya hilo swali naomba mnisaidie.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kufahami haya mtu anapokuwa kwenye Baraza la ardhi la Kata. i] Kuna idadi maalum ya maswali ya kumuuliza shahidi anapomaliza kutoka ushahidi? ii] Iwapo mdai/mdaiwa/shahidi anapotoa...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Poleni majukumu humu jamvini. Naomba kujua sheria ya kumtoa mpangaji alieshindwa kulipa kodi. Je unatakiwa kumpa notice ya muda gani? Kwasasa hajalipa kodi ya mwezi January na ameingia mwezi wa...
3 Reactions
45 Replies
7K Views
Hivi kuna uwezekano wa watu au mtu binafsi kufungua kesi mahakama kuu kuishtaki serikali. Mfano, Waziri wa afya alitamka kuwa serikali haina mpango wa kuagiza chanjo ya korona. Serikali inaweza...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wadau! Kuna mpangaji wangu amechukua hatua ya kwenda kushitaki na kuomba muafaka ili arudishiwe kodi yake baada ya wezi kuingia chumbani kwake na kumuibia baada ya kusahau kufunga mlango...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za muda wana jamvi, Nimatumaini yangu kuwa kila mmoja yuko powa kabisa na mapumziko yake ya siku ya leo. Nimeona nije huku jukwa la sheria mana ndio mahala sahihi juu ya swala langu...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Ningependa kuomba ufafanuzi kidogo nipate kuelewa hapa maana naamini humu kuna wanasheria wazuri Je hiki kifungu kinamaanisha nini? Section 26(a) (b)?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kuna ndugu yangu alimgonga mama mmoja na gari na wala hapakua na zebra yule mama alivuka tu ghafla, akavunjika mguu akamtibu mpaka akapona lakini yule mama akadai alipwe milion 2...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Nataka kujua wataalamu wa Sheria wanasemaje kuhusu uhai wa baraza la mawaziri pindi mtu mwingine anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi .
0 Reactions
3 Replies
710 Views
SHERIA YA MISIBA YA VIONGOZI WA KITAIFA YA MWAKA 2006. Bashir Yakub, WAKILI +255714047241. 1. NANI VIONGOZI WA KITAIFA. Kifungu cha 3, viongozi wa kitaifa ni Rais, Makamu wa Rais, Rais wa...
6 Reactions
5 Replies
38K Views
Back
Top Bottom