Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba kujua nikitaka kumjua MH. Hakimu anayaendesha kesi yangu pasipo kumtumia Mwanasheria wangu je nifaje? Asante
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Habarini Wana Jamvi, Binafsi ninasikitishwa sana na watoa huduma mbalimbali pamoja na wauzaji wa bidhaa mbalimbali kuhusu upandishaji wa Bei za huduma na vitu kiholela na bila taarifa, unajikuta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa mfano mimi bwana X kama nilifungua shauri la mgogoro wa shamba No. 2/2016 dhidi ya bw Y katika baraza la ardhi na nyumba la kata ya Ibisabageni wilaya ya Sengerema nikashindwa kesi lakini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanasheria hebu tusaidiane hapa. Mfano binti alipata divisheni 3 mwaka 2018 na akawa mtaani sasa kapata mimba, yeye anasema bado ni mwanafunzi anasubiri kwenda form 5. Je, hii ni kesi ya kumpa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Salam wadau, Nataka kufahamu hatua za kuchukua ukiona hakimu hatendi haki au anachelewesha hukumu kwa makusudi (kutoa ruling ya shauri mahakamani). Kuna hatua zozote za kufata au kureport au ndo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Nipo msaada wa wenu mwenye nyumba ananiambia nihame pasipo kunipa notice ya kujiandaa kuhama, nichukue hatua gani?
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu mniwie radhi kwa uandishi mbovu, Mwaka 2013 huko nilinunua viwanja vitatu, kimoja karibu na mji viwili nje kidogo ya mji,..kwenye hiki kiwanja Cha karibu nikajenga nyumba na ikafika wenye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wasalaam, naomba kujuzwa haki za mtumishi wa Serikali ambaye amefukuzwa kazi huku akiwa na Malimbikizo ya Mshahara ambayo hakulipwa. Je utaratibu ni upi? Na kipindi aliposimamishwa alikuwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wapendwa naomba kujua kosa linaloweza mtia hatiani kijana huyu, kijana wangu wa kazi amempa mimba binti wa jirani, ndugu wamempeleka Dawati la jinsia na kumpeleka Polisi, wakidai kosa ni kukataa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu salaam kwenu! Naomba kujua Sheria inasemaje ikiwa Mme katika familia anataka kuuza Mali za familia pasipokushirikisha familia yake na familia haijaafiki uuzwaji wa Mali hizo! Tatizo lipo...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nataka Kufahama Namna Ya kupata EVICTION ORDER Ya mahakama? ya kuondoa mali vitu ,ama mtu alivamia kiwanja?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyouliza Je, Wanafunzi kwa Wanafunzi Wakipeana Mimba je kwa upande wa Sheria upoje Maana kuna Mwanafunzi wa Darasa la Tano kapewa Mimba na Mwanafunzi wa Form Four huko...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Ndiyo mahakama inayoongoza kukatisha tamaa, siyo kwa kutotoa haki, hapana. Court of Appeal ni mabingwa wa kutoa haki. Tabu yao ni kwamba ukiwa na kesi pale lazima uhesabu miaka miwili ndipo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna tetesi kwamba baba Daimond, Mzee Abdul kaenda kustaki Daimond Mahakamani akidai fidia na kuzalilishwa. Hivi anaweza kulipwa? Na kama ikitokea akilipwa, inatakiwa alipwee mahela ya kutoshaa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, Naomba Kufahamishwa; Mosi,Iwapo Afisa fulani au mtu Fulani kutoka nchi yoyote ile mwanachama wa Mahakama ya kimataifa(ICC) iliyopo The Hague,Uholanzi ameshtakiwa na inatakiwa kufika...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwaka 2016...mzee mmoja aitwae STIVIN anayeishi mkoa wa RUVUMA wilaya ya mbinga Dc aligongwa na gari kampuni ya SUPERFEO inayofanya safari za Mbinga to Dodoma hadi kupelekea kupoteza miguu yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama viongozi wa umma waliowatandika watu viboko hadharani wanadhani suala hilo limeisha au kusahaulika, bila shaka watakuwa wanajidanganya. Hii ni baada ya suala hilo kuibuka juzi wakati wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wananchi mimi ni mtanzania mwema shida yangu ilikuwa nili apply kufungua mirathi ya marehemu baba yangu akiwa amefariki kisutu ILALA nika elezwa kuwa niende mahakama ya Kinyerezi nikaenda baada ya...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Wadau mliopo kazini ambao bado mna imani na fedha za mafao mnazokatwa hali si nzuri.Mimi nimeshuhudia baadhi ya watu walioonyesha nia ya kuchukua mafao yao lakini kumekuwa na kuzungushwa sana na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…