Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wana jf naomba msaada wenu juu ya qualities za kufungua hiko kituo
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari, Niende direct kwenye point nahitaji msaada wa kisheria katika makabidhiano ya bidhaa kwa wasambazaji wangu, hivi natakiwa nifanye nini ama nichukue hatua gani kabla ya kufanya...
0 Reactions
3 Replies
799 Views
Naomba ufafanuzi, Mfano mtu alinunua kiwanja ambacho kimejengwa nyumba baadaye anakuja kaka wa muuzaji na kusema apewe percent kwani alihusika katika vifaa baadhi vya ujenzi kama milango na tofali...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna kazi ya kampuni flani ya mkoani tunafanya so nahitaji kua na wanasheria ili kuweza kutimiza baadhi ya majukumu yetu 0693959469 info@fmzixun.co.tz Ofisi ipo mtaa wa Mapambano14, Kishapu...
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Wadau nilitaka kufahamu kuhusu sheria ya michango ya uanachama wa PSSSF.. kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi katika sekta ya umma. Bahati mbaya akapata majanga akafukuzwa kazi. Je, anaweza...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za wakati huu, Naombeni mnisaidie ni taratibu zipi zinafuatwa wakati wa kufatilia suala zima la mirathi( yaani niende ofisi gani na gani). Natanguliza shukrani.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu humu ndani. Jamani mimi naomba msaada wa kujua general specification za sheria za ujenzi. Aidha nipewe ufafanuzi au nirushiwe document kama pdf iliyosheheni sheria za ujenzi. Miongoni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu Nataka Kusoma Certificate ya sheria je Nifuate Procedure zipi
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanasheria wetu naomba kufahamu iwapo ni sahihi kwa huyo Mwanasheria wa Halmashauri kumsimamia mtu anayetaka alipwe fidia na Halmashauri ya huyo Mwanasheria.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Pia nikisha mchukuwa mama wa mtoto atatoa pesa kwajili ya mahitaji na huduma kwa mtoto kama hataki naweza kumpeleka ustawi wa jamii ???
2 Reactions
28 Replies
14K Views
Habari wanajukwaa samahani naomba mbisaidie kuna ndugu yangu alienda kuomba mkopo Bank akapeleka nyaraka zake za kazini, yaani mkataba wa ajira pamoja na salary slips. Sasa Bank ikaanza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wasomi naomba kuelimishwa. Kisheria, hasa sheria ya fedha imekaaje? Je, kuna kiwango elekezi cha riba ambacho mkopeshaji anatakiwa asivuke? Na je, Kila mtu anaweza akaanzisha utaratibu wa...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Ndoa ni mkataba, Kwanini tunaingia mkataba kwa mkuu wa wilaya na si mahakamani? Nchi nyingi nimeona ndoa ya kiserikali inafungwa mahakamani. Kwanini iko hivyo?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya usiku viongozi? Samahani, naomba kujua utaratibu kisheria uko vp kwa mwanaume aliyeachana na mwanamke huku wakiwa wamezaa wore. I mean sheria inasemaje kuhusu matunzo and specifically...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf Mimi ni kijana wa miaka 26 nilioa binti mmoja miaka 3 iliyopita tukabahatika kupata mtoto mmoja. Maisha yetu yakaleta mgogoro mkubwa mwaka mzima sasa. Nikaamua kumuacha, nilipokuwa...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Katika jamii yetu ya Tanzania mpaka Sasa inakadiriwa watu wengine waishio mijini wanaishi katika nyumba za kupanga ,Hilo moja lkn kumewa na migogoro mingi Kati ya wamiliki (wapangishaji) na...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria...
5 Reactions
214 Replies
21K Views
Kuna mfanyakazi wa kampuni fulani aliwekwa kikao lengo ni kumpa Verbal Warning kwa misconducts alizo fanya. Kwa maelezo yaliyo toka kwa HR ni kwamba Ili kuweka mambo sawa kwa upande wa HR...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu watalaamu na wadau wa sheria. Naomba kujua kama mtu akifikishwa mahakamani kwa kudaiwa fedha ya mkopo na mtu binafsi, atatakiwa kuandaa wadhamini wa kumdhamini akiwa mahakamani?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…