Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Asalaam Wana jamii fourms, nilikua na swali kuhusu severence pay, sisi offisini hua tunapewa mikataba ya mwaka mmjoa tuu na kwa sheria inavyo sema kwamba severence pay hailipwi kwa mikataba...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
Habari wadau, Naomba msaada wa kisheria kuhusu mirathi. Mwanzoni mwa mwaka huu Baba yangu mzazi alistaafu , miezi kadhaa baada kustaafu alipata ajali ya Gari na kufariki siku chache akiwa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninawiwa kusaidiwa kujua ni muda upi kisheria ambao mtu aliyeshindwa kesi ya madai Mahakama Kuu-Ardhi atakuwa ndani ya muda kukata rufaa kwenda Mahakama ya Rufaa. Swali langu linajengwa na case...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Katika kuajiriwa kwangu nimekutana na mengi magumu kupitia Manager niliyenaye kama miaka Saba hivi sasa ktk hii Kampuni. Huyu manager alinipandisha daraja mwaka flani na kilichotakiwa baada ya...
1 Reactions
0 Replies
734 Views
nilimpeleka mtu mahakamani kwa kesi ya madai. mahakama ikatushauri tukaongee/tukayamalize, tukakubali. Hakimu akatupa ducument tuka sign kuashria tukayamalize. Cha ajabu hakimu hakutumbia chochote...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi mwanaume akibakwa kwanini haruhusiwi kwenda mahakamani na kusema kabakwa? msaaada jamani kwa wanaojua sheria.
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje...
6 Reactions
240 Replies
17K Views
Awali ya yote nimpe pongezi Wakili Msomi Mathias Nkingwa aliyemtetea na kumpa ushindi mjibu rufaa katika rufaa hii. Ipo dhana kwamba kuacha Wosia ni kujichulia, jambo ambalo halina ukweli wowote...
2 Reactions
1 Replies
846 Views
Wakili wa kujitegemea Jebra Kambole amefungua kesi mahakama kupinga ulazima wa hukumu ya kifo kwa watu wanaofanya makosa husika mfano kuua kwa kukusudia. Hoja ya Jebra Kambole ni kwanini iwe...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Niko 'frustrated' naomba mniwie radhi kama uandishi na mpangilio wa hoja yangu utashindwa kueleweka kwenu. Ni hivi, Mimi pamoja na kaka yangu mkubwa tumbo moja na baba tulikuwa tukiishi vizuri...
5 Reactions
40 Replies
5K Views
On 28th May, 2020, His Lordship Mlyambina in the case of *Judith Patrick Kyamba Vs Tunsume Mwimbe, Probate and Administration Cause No. 5 of 2016* held that a child born out of wedlock is entitled...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Katika kesi inayonikabili baada ya kuendelea hapa mahakama ya mwanzo. Kufikia upande wa shahidi wa utetezi yaani mimi kama mtuhumiwa. Mbele ya hakimu nlisema ninao mashahidi 2, ambao ni mtu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina ndugu yangu alikuwa na kesi alishitakiwa kwa wizi wa matunda toka shambani. Aliyemshtaki ni mvamizi katika shamba hilo. Huyu ndugu yangu alikuwa anachunga matunda yake. Mvamizi huyu wa shamba...
0 Reactions
4 Replies
880 Views
Nahitaji kujua kwenye sheria kama ukikutana na mtu anataka kujiua na ukamuacha ajiue bila kufanya chochote unakua na makosa kisheria???na adhabu yake ni ipi!?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujuwa Endapo ninakesi Mahakamani ...nimeshtakiwa na Jamuhuri ...lakin ikatokea wakati wa ushahidi ....shaidi Mmoja wapo kashindwa kufika ...mfano Labda ...nina kesi yakumbaka...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za ijumaa wandugu, Naomba nisiwachoshe Kuna Jambo nataka kujua au niseme nifate utaratibu gani! Miaka Kama mitano niliajiriwa na kampuni binafsi nikajiunga PPF, baada ya miaka mitano Nika...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau wa sheria ya mahusiano,ustawi jamii n.k kama kichwa kinavojieleza..endapo mwanamke wako anatengeneza visa ili muachane bila sababu ya msingi...yaaani hataki kuishi na wewe.na mlikuwa pamoja...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Jana nilikuwa nasafiri kutoka Dar kwenda Moro njiani maeneo ya karibia na Moro kwenye ofisi za TAFORI nilikamatwa na trafiki akaniambia nilizidisha speed maeneo ya Kingulwira na kuna askari...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tafadhali Wadau naomba msaada katika hili. Je, ni lazima kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii NSSF? na kama si lazima Nawezaje kujitoa pasipo kujiunga na mfuko mwingine wowote ule?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jana mkuu kasema hatatekeleza adhabu ya kunyongwa kwa watu walopewa hukumu hiyo, sasa nashauri sheria hii ifutwe badala ya kila anayekuja kuipotezea... ugumu uko wapi kuifuta sheria hii?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom