Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari za majukumu wana JF! naomba msaada wa kisheria nini hasa cha kufanya. Jana mida ya saa tano asubuhi, nilipokea sms kutoka vodacom ikiniambia kwamba kuna jambo kubwa sana la kisoka...
0 Reactions
4 Replies
964 Views
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki? Kwa wale ambao tunafanya Final wiki ijato, ninaomba kama inawezekana tukutane hapa na tujadiliane kwa maswali mbalimbali na majibu. Kama kuna yeyote ana...
1 Reactions
3 Replies
994 Views
Habari zenu wakuu..! Mimi nimenunua kiwanja lakini hicho kiwanja kina mambo ya mirathi..Lakini kila kitu tumeweka sawa mahakani. Tatizo kubwa lipo kwenye kubadirisha jina kutoka kwa muuzaji kuja...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu salama, Iko hivi kuna kigrosari jirani kabisa na home jioni baada ya heka heka za kutwa nzima huwa napenda kwenda hapo napiga zangu maji kidogo kisha naenda zangu kujipumzisha. Sasa basi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Sheria yetu ya ndoa kila kukicha inazidi kupitwa na wakati na teknoligia. Hebu tutizame mifano ifuatayo inayoonyesha mapungufu ninayoongelea. 1. Kumekuwa na ongezeko la watu wenye ndoa kufunga...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wa JF nimatumaini yangu kuwa wote amjambo. Twende katika Mada, Nachotaka kufahamu katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,ni vifungu vipi umtia hatiani mtu aliyevunja/Kukiuka katiba ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Niliajiriwa kwa mkataba wa mwaka mmoja na kampuni moja ya fedha . Hata hivyo nililipwa pesa ya mafunzo na nauli pekee nikitarajia kulipwa malipo ya kusafirisha mizigo na kujikimu lakini...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaJF, Naomba muongozo wa jinsi ya kumshitaki tajiri mmoja aliewanajisi Watoto mapacha wa marehemu Dada yangu hapa Dar es Salaam Asanteni
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wataalam, Kuna sehemu nimeomba mkopo ila katika kipengele cha dhamana (Collateral) nina hati ya kiwanja kupitia serikali ya kijiji, wahusika wamenambia ili waikubali niipeleke kwa...
0 Reactions
0 Replies
36K Views
Hello, Naomba kujua taratibu za kufuata ili kupata certificate of proof of charitable organization kwa taasisi za kidini zisizofanya biashara. Natanguliza shukurani
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Habari wanaJF, Naomba kama mtu anaweza kunipa mwanga kwamba endapo mashahidi wa wosia wa maandishi ni wawili na wote ni watu wa ukoo ila si wanufaika wa mali za marehemu kama wosia utakuwa halali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MKATABA WA KUPANGA FREMU NAMBA……. BLOCK……………………………. MANISPAA YA Mkataba huu umefanyika BAINA ya…………………………………………wa Sanduku la Posta……………………Morogoro ambaye katika mkataba huu ataitwa MWENYE...
1 Reactions
1 Replies
20K Views
Habari Wana JF, Adhabu inasemaje kwa mtu ambaye amekamatwa na baadhi ya vitu vya wizi. Je, anatakiwa kulipa vyote au kurudisha hivyo alivyo kamatwa navyo? Kisa kipo hivi, kuna mtuhumiwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nawasilimu. Samahani na poleni kwa majukumu, naomba niende kwenye point. Kuna mzee wangu alikuwa na mwanamke aliyeishi naye kinyumba(Kama wapenzi) tangu 2009 bila ya kufunga ndoa (alitoa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni muda Wa miaka mitatu sasa umepita tangu tukutane na huyu binti yaani mwaka 2017 akiwa Single mother yaani ameisha zalishwa mtoto mmoja. Tukabebana hapa sokoni bila kwenda kwao tukayajenga...
5 Reactions
220 Replies
18K Views
Wanabodi kuuliza si ujinga nataka kupata kufahamu tu. Najua kuna Mihimili mitatu kwa Maana ya Bunge , Mahakama na Serikali. Na naambiwa mihimili hii ina Nguvu sawa na kujitegemea. Nimeona...
9 Reactions
47 Replies
12K Views
Kwa kuanza tu ni kwamba, msimamizi wa mirathi ni mtu yeyote aliyeteuliwa na marehemu kwenye wosia kuwa msimamizi wa mirathi baada ya kifo cha Marehemu, au mtu yeyeto aliyeteuliwa katika kikao cha...
5 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu najaribu kujiuliza sana,hivi ikitokea mkuu wa nchi yeyote duniani akigundulika sio raia wa nchi husika nini kinaweza tokea? Maana wapo maraisi wengine huko duniani hufurahi wanapoona...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Mama amefungwa Gerezani miaka kadhaa akiwa na mimba au akiwa na mtoto mchanga wa siku moja. Je, mama akifungwa si itakuwa mtoto naye atakuwa kifungoni wakati hana kosa? Mtoto akikua ana haki ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…