Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari za muda huu wanasheria, Niende moja kwa moja kwenye mada, niko na mdogo wangu hapa tunahitaj kujuzwa kutokana na kisa chenyewe kilivyo, kiko hivi Mwaka 2012 alimaliza masomo kwenye moja...
1 Reactions
6 Replies
965 Views
Habari? Nauliza hivo kwa sababu nimekuwa nikisikia hizi kauli kutoka kwa wanaume "kama unaondoka nenda lakini usiondoke na MTOTO WANGU" . Ina maana nyie wanaume ndio wamiliki wa mtoto...
4 Reactions
60 Replies
5K Views
Mtoto hili aweze kuishi na baba inatakiwa atimize miaka mingapi kwa mama yake Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, wasalaam. Malengo ya uzi: 1. Kusoma na kujifunza toka kwenye maamuzi mbalimbali ya Mahakama. 2. Kushiriki kuibua mijadala ya kifikra kuhusu tafsiri mbali mbali za Sheria zilizotolewa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu! Naomba nijifunze hapa na wenzangu, maisha ya kila siku yanaongozwa na sheria. Iwe ni sheria za asili, au hizi sheria za kikatiba. Ni kawaida kusikia familia fulani, acha kampuni, ina...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
NAOMBA MSAADA WA KISHERIA Niliishi na dada mmoja lakini tuliachana na akaondoka na ujauzito wangu wa wiki 2 na kuniambia hata nisikae nikafikiria kuhusu hiyo mimba sababu anaenda kuitoa hawezi...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa ninavyojua Mimi ni kwamba kama ukiwa na Usafiri wako na ukaenda Ofisi fulani au katika Duka fulani (hasa hizi Supermarkets) mbalimbali na bila Kusahau na Mahotelini basi Mwenye Dhamana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tarehe 26/3/1992 marehemu babu yangu alimuuzia *M* sehemu ya ardhi HEKARI 6 katika eneo lake la shamba lake. *M* alipima eneo alilouziwa na kuweza kumiliki kisheria mnamo mwaka 1996 na kupata...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
ISLAMIC LAWS OF WILLS Basic Shares of the Most Common Heirs What you see below are the basic shares of your most common heirs. In these examples, you have been considered as the deceased and the...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Huyu Mzee bhana haishi kunitishia mara tu baada ya kusikia naishi na binti yake. Binti yake anasoma Chuo Diploma mwaka wa pili. Kiumri tayari ameshaover 18+ lakini mzee wake anakaza anataka...
5 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakati mwingine tumechanganya makosa yanayoshitakika ICC tukidhani ICC inashughulikia makosa yote. tumetengeneza tafsiri hii kwa ajili ya raia wa kawaida kabisa, ili watu tukisome na kujiepusha na...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
File la kesi baada ya kukamilika kwa upelelezi huchukua muda gani kufanyiwa kazi linapofika katika ofisi za DPP (Sasa ziko Dodoma). Maana upelelezi unachukua mwaka mmoja vipi huko mbele je...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaji Mkuu wa Tanzania aliyewekwa kwenye uangalizi kabla ya kuwa confirmed baada ya mwaka mzima, yaani kwa mara ya kwanza duniani kusikia kitu kinaitwa "kaimu jaji mkuu" Mhe. Prof. Ibrahim Hamis...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habarini za majukumu. Naombeni kwa yeyote yule copy ya Sheria ya Ardhi namba 5 . Asante wote
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu watanzania wenzangu hapa nilipo nipo kwenye mtihani mgumu sana wa kimaisha nashindwa nini cha kuamua, kiufupi nipo kwenye dilema. Ki ufupi nimeishi na mke wangu karibu miaka 10 na...
2 Reactions
71 Replies
15K Views
Habar wanajf naomba kujua namna ya kujibu maswali ya law case kama hili niliotuma hapa, nijue vitu vya kuzingatia walat wa kujibu na hua yanajibiwa kwa utaratibu ganii, naamini nitapata majibu...
0 Reactions
9 Replies
38K Views
Wadau kama nilivyoandika, kaka yangu alifariki mwezi wa tano mwaka huu. Sasa mjane ndio ameteuliwa kuwa msimamizi wa mirathi baada ya kikao cha familia. Utaratibu ukoje ili aanze kutumia akaunti...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana jukwaa la sheria, Kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu. Nipo kwenye mahusiano na binti mmoja wa miaka 23, nilifanikiwa kwenda kwao kujitambulisha na nikawa kwenye...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Mfano: Benard Membe au Tundu Lissu akiwa mgombea wa chama B na katikati ya muda wa kampeni kwa mfano mwezi wa kumi tarehe za mwanzo akaamua kuunga juhudi. Je, sheria ya uchaguzi inatamka nini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napendekeza Kutungwe Sheria Kali sana nchini Tanzania ya ama Kuwalipisha Faini au kuwapa Adhabu ya Kusafisha Vyoo vya Jiji au Barabara Wanawake wote wanaogundulika Kutupa hovyo Taulo zao za Kike...
1 Reactions
3 Replies
991 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…