Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Natanguliza salamu, Nimezaa mtoto sasa ana miaka 5, huyu bibie hakunambia kama ameolewa, kumbe ni Bi mdogo wa jamaa ambaye wamefunga ndoa ya kiislamu. Yaani ni mke wa pili. Ni story ndefu kidogo...
0 Reactions
66 Replies
10K Views
Habarini za mchana wakuu, Kama nilivyoandika hapo juu naitaji msaada wa kisheria kuhusu hili bus. Nina ndugu yangu ni mgonjwa kuna dawa huwa anatumia inamsaidia, hii dawa sehemu nilipo kuipata ni...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za Siku ndugu, Mimi ni miongoni mwa tuliofungua kesi ya kudai kampuni,tuko watu 8,kesi imeishahukumiwa tulipwe na zaid ya miez 6 imepita na hatujalipwa,ila mwanasheria wetu kaandaa KUKAZIA...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Tulikua tunacheza mchezo wa kupeana hela (upatu) wa 500k kila mwezi ila baada ya mizunguko kadhaa kuisha kuna ikafika zamu yangu kupokea ila katika washiri, mshiriki mmoja akaomba atanipa mwezi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kodi yangu imeisha na sina pesa ya kulipa na mwenye nyumba anataka nitoe vitu bila hata subira nimekimbia nimeacha vitu. Nitavifuata nikipata sehemu nyingine. kisheria imekaaje hii? Sent using...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Viongozi wa Chadema wamesha hukumiwa, Siku hiyo hiyo tulimpoteza Akwilina kwa kupigwa risasi katika mazingira ya kutatanisha. NATAFUTA wakili ili kuisimamia familia ya Akwilina katika kuishtaki...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari. Kuna hakimu wa Mahakama ya Mwanzo alitoa hukuma ambayo haipo straight sio clearly hata darasa la saba awwzi kuandika hivyo. Ten hakimu wa Dar. Baada ya kufanya appeal RM wa district...
0 Reactions
1 Replies
560 Views
The legal fraternity has lost five of it's very own in 24 hours Augustino Ramadhani CJ RTD Ali Haji Pandu CJ Zanzibar RTD Alhaji Musa Kwikima AG J RTD Evod Herman Mmanda Gaudiosius Ishengoma...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wana JF, Naomba msaada wa kisheria kuhusu dhamana. Kuna mtu kakamatwa kwa kosa la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Katika mashariti ya dhamana ni kwamba anatakiwa awe na wadhamini wawili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wazoefu wa sheria njoni mnisaidie tafsiri, mfano mtu amekopa akabakisha rejesho 2 akaacha kulipa, mwisho wa siku walio mkopesha wakaamua kumpeleka mahakamani, alivyo somewa mashtaka tu akakana...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Habari za majukumu wakuu, natumai tunaendelea kuchukua tahadhari zote ili kujikinga na janga hili la corona. Ningependa kuelewa sheria inaweza kufanyaje kazi katika jambo hili lililoweza...
0 Reactions
4 Replies
905 Views
Jina kwenye cheti chake cha O Level: Mohamed DAIMA. Jina kwenye cheti cha A level; Mohamed DAIMA. Jina kwenye cheti chake cha LLB Mohamed DAIMA. Jina kwenye cheti chake cha Law School...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Naomba msaada kwa anaeelewa taratibu za kuandikisha watoto mali kisheria. Mimi nina kajumba kangu ila nataka niwaandikishe wanangu wawili. taratibu zipoje? au unachukua tu karatasi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salama ndugu zangu, Naomba ushauri wa kisheria Kwa hili swala,dada yangu ni mama wa watoto 2,wakike na kiume,miaka 6 na 3,alikuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu kidogo kama miaka 10+ lakini...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mengi yanasemwa kuhusiana na Clouds Media na uanzishwaji wa Wasafi Media. Mada yangu haitajikita huko, nimeutoa huo kama mfano tu, tuchukulie tu ule kama mfano wa jambo ambalo lipo sana tu katika...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari, naomba ushauri juu hili suala. Nilinunua bidhaa kupitia mtandao wa Kupatana. Sasa nakabiliwa na kesi ya wizi. Naombeni ushauri juu ya hili.
1 Reactions
47 Replies
10K Views
Wakuu kwema? Poleni na majukumu. Tuendelee kuchukua tahadhari na COVID19. Wakuu naomba kuuliza kama una mkataba wa kazi ulopewa na mwajiri hivi akisema asikulipe mshahara kwa kipindi hiki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba tofauti kati ya admission na confession. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nahitaji msaada wa sheria. Kipindi hiki ambacho tunapambana na corona, kampuni imepunguza mishahara pasipo majadiliano na wafanyakazi. Je, ni sheria ipi inahusika? Wapi tunaweza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa mteja wa mtandao mmoja wa simu hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 sasa. Licha ya kupata huduma bora katika kipindi chote hicho, hata hivyo hivi karibuni nimekuwa Nikishuhudia wizi wa fedha...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom