Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari zenu viongozi? mimi ni mzima wa afya. Hivi kuna malipo yoyote yanatakiwa endapo umeshitakiwa baraza la kata? maana nimeambiwa nitoe elfu 30,000/= ya nauli. Naombeni msaada wenu, hili...
0 Reactions
5 Replies
951 Views
Hello wanasheria! ni matumaini yangu mko salama. Nahitaji msaada wa kisheria kuhusu hili. Mimi ni mwajiriwa katika sekta binafsi. Yani ni mwalimu katika shule ya sekondari katika mkoa fulani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika familia yetu tupo Wanaume wa Nne na Mwanamke Mmoja, kabla Baba hajafariki aligawa mali alizokuwa nazo, (lakini hapa nazungumzia nyumba tuliokuwa tunaishi) sisi wengine tulikuwa bado wadogo...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
IJUE SHERIA YA VYAMA VYA SIASA: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ana jukumu la kusimamia chaguzi za ndani za vyama vya siasa na kuhakikisha ziko huru na haki Ofisi hiyo inapaswa kutuoa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Kiongozi, Ilikuwa mapema mwaka 2014 ndg yangu aliajiliwa kama Mwalimu katika Halmashauri moja hapa nchini hata hivyo alifanya kazi kw muda wa miezi nane Pekee na kuamua kumwandikia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba ufafanuzi kwa anayefahamu 1. Namna gani bei za kulipia viwanja halmashauri zinakokotolewa, na wapi au sheria ipi wanaitumia kupata gharama kamili. Kwakweli nimetatizwa na kiwango...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wadau, Mwaka huu 2020 ni mwaka wa uchaguzi, niliwahi sikia kua kama ulifungwa miezi zaidi ya sita huna sifa ya kugombea jee iwe jinai au madai adhabu hiyo? Wadau nisaidieni jambo hili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sayansi haisemi uongo, Ila uongo unaweza kujitengenezea sayansi yake. Uchunguzi wa kimahakama wa matukio ya uhalifu ni uchunguzi wa kisaynsi unaolenga kukusanya ushahidi usio na shaka na kisha...
1 Reactions
2 Replies
780 Views
Wadau nina mpangaji kwenye nyumba yangu namdai kodi ya mwaka mzima 2019 na na huu sasa ni mwezi wa 3 2020. Ana familia na watoto 4 wadogo wadogo Nimeisha mpa notisi ya kuhama toka mwaka jana...
4 Reactions
44 Replies
8K Views
Criteria and conditions for issuance of each type of work permit Employment of Refugees Employment of non-citizens in the public sector Bulk recruitment of non-citizens Report on cessation of...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wananzengo,nna kaswali kidogo kananitatiza hapa naomba kufahamu According to labour law of United Republic of Tanzania Je mwajili anaruhusiwa kumkata mshahara mfanyakazi asipohudhuria...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari zenu wadau:- Kuna nyumba ya jamaa wangu, imeteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme, kutokana na ajali hiyo, nyumba na vitu vyote vimeteketea. Je naweza kuanzisha kesi ya madai...
0 Reactions
1 Replies
982 Views
Habar za humu wakuu, Naomba msaada wa kisheria kuhusu tatizo linalonisumbua.Ni hivi mnamo mwaka 2018 mwezi wa sita nillipata ajali ya gari ikihusisha gari yangu na niliendesha mwenyewe na gari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataaalam naomba nipate ufafanuzi kidgo je kwa mfano ukute mtu anatuhumiwa kosa dogo la kesi ya wizi japo mshtakiwa naye alikuwa anamdai na akatengenezewa kesi ya kuamua kuchukua Mali bila mhusika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habarini za majukumu, Naombeni msaada Wa kisheria ili mwajiri huyu anilipe mshahara wangu alio uzuia ili familia yangu iweze kuishi. Wakuu mwajiri huyu amevizia Mpaka siku 2 kabla ya Siku...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kuuliza iwapo mtu amekopa fedha na akaweka kiwanja kama dhamana na kukawa na mkataba wa maandishi kuwa akishindwa kulipa deni basi kiwanja alichoweka Kama dhamana kitachukuliwa na kuwa mali...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Wana MMU habari Nataka kujua kisheria hii imekaaje inapo tokea mwana mme kunyimwa tendo la ndoa ndani ya ndoa. Je, kuna kifungu chochote kina muhukumu mwanamke kwa ishu hiyo? Naombani majibu ya...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Nchi ya Ufaransa imepiga marufuku biashara ya ukahaba na ngono kwa ujumla. Iwapo utakutwa unanunua kahaba(ngono) utapigwa faini ya dollar za kimarekani 4500. Je, unadhani kuna umuhimu nasisi watz...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi sheria inatuongoza vipi katika upande Wa likizo bila malipo. kwani kampuni za tours pamoja na mahoteli upande Wa Zanzibar utoa likizo bila malipo kwa miezi 2 kwa kisingizio cha Corona...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa wale wanaokopa mikopo katika taasisi zinazotoa mikopo kwa masharti nafuu mfano FINCA na PRIDE wapaswa kuelewa kuwa hakuna sheria ya dhamana ya mkopo ya vitu vya ndani. Katika kulitambua hili...
6 Reactions
12 Replies
5K Views
Back
Top Bottom