Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Sheria ni elimu muhimu sana kwa kila mtu kuijua kwa sababu mbalimbali ambazo ukishakuwa mtu mzima huhitaji kuelezwa sana, maana utakuwa ushakutana na mkono wa sheria katika mapito ya maisha, au...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu wana jf poleni na majukumu ya kila siku. Mimi Igirimo naomba kuelimishwa. Ni kweli kuwa mkuu wa gereza ana mamlaka ya kumuachia mtu aliyehukumiwa kifungo fulani kwa vigezo atakapitia yeye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuhusu Rais kutoshitakiwa, muda sio mrefu kesi aliyoifungua Edo Shaibu akisimamiwa na wakili Fatuma Karume dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mh. John Pombe Joseph Magufuli imegonga...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Ninahitaji nakala kuanzia 50, ziwe hardcover, zimeunganishwa as single book na zenye Uzi wa separator. Kama unazo au unajua nitazipata wapi tafadhali nijulishe. Nipo morogoro. Government printers...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau nawasalimu nyote. Mimi ni mdau wa Sheria. Nimekuwa nafuatilia sana Shule hii ya Masuala ya Sheria "LAW SCHOOL". Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wanaomaliza mafunzo yao ya sheria katika...
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Visa na Vikasa ya Kesi Maarufu Duniani na Hukumu Zake ni mwanzo wa vitabu nitakavyokuwa nikivitoa kwa awamu ambapo vitabu hivyo vitakuwa na mkusanyiko wa kesi mbalimbali zilizowahi kutokea katika...
4 Reactions
8 Replies
5K Views
Habarini wana jamvi. Ningependa kujua haki za kisheria za mwanachama wa mfuko wa jamii baada kufikia ukomo wa mkataba wake wa kazi na kukuta kampuni husika haikuwa ikipeleka mafao kwa zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna eneo ambalo mwanzo tulikuwa tunalima kama shamba,hivi karibuni imeingizwa kwenye mpango wa viwanja vya mji.nilimfuata afisa ardhi anipimie viwanja eneo hilo akanijibu c lazima anipimie...
0 Reactions
18 Replies
10K Views
VIOLET ISHENGOMA KAHANGWA AND JOVIN MUTABUZI v THE ADMINISTRATOR GENERAL AND MRS. EUDOKIA KAHANGWA ( ) [1990] TZCA 13; (16 July 1990); 1990 TLR 72 (TZCA) Jamani holding katika case hii bado...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Sina maana ya kutotambua wanasheria wasomi wengine ila nampongeza sana Dragoo kwa mchango wake wa kuanzia uzi maarufu sana hapa jukwaa la sheria wenye maneno "Legal documents na uchambuzi wa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi wakuu ukikopa benki ukiwa mfanyakazi wa serikali halafu ukaacha kazi vipi utatafutwa??
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Habari wakuu.. Naomba kufahamishwa, anayekutwa na kosa la kusajili kwenye vyuo vikuu cheti feki adhabu yake inakuwaje? Na anaweza kuweka wakili kutokana na aina ya kesi ilivyo? Na kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BACKGROUND. (HISTORIA YA BABU YANGU {X} MJOMBA WA BABU {Y} NA BABA YANGU {Z}) Babu yangu {X} alikuwa na nyumba mbili, moja upande wa Singida( Mkalama) na nyingine upande wa Manyara. Makao hasa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
wakuu nilikua naomba ufafanuzi juu ya swala hili 'mimi nataka nije kusomea sheria lakini kuna mtu kaniambia kama ukisomea sheria kazi lazima ujitafutie na sio kuajiliwa na serikali' je' kuna...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Jeee kwa sheria hio ama nyengine ya Utumishi mtu kutumia muda wake nje ya kazi (mda wa ziada) pia anatakiwa kuomba ruhusa na asipoomba ruhusa na akasoma kwa kujilipia takua hana haki ya kufanyiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za saiz, poleni na majukumu. Bila kupoteza wakati uzi wangu unahusiana na swala zima la madai ya mtoto mimi ni baba wa mtoto mmoja nilifunga ndoa yangu mwezi 5 mwaka huu lakini chaajabu...
3 Reactions
44 Replies
6K Views
Hivi ni vitu vidogo katika legal drafting, kukosea vitu vidogo kama hivyo, inaonyesha kutokuwa makini kwa kiwango kinachotarajiwa. This is a very sensitive case, one mistake three goals! One would...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwenu wajuzi wa haya mambo msaada kwenye tuta tafadhali. Kwa mfano kesi ya Tundu Lisu Spika Ndugai ameshinda nini? Ni hayo kwa uchache. Maendeleo hayana vyama cc: Pascal Mayalla, Petro E Mselewa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani kutumia muda wa ziada ambao ni nje ya kazi ama ukajiendeleza kimasomo kwa week end na ukawa unajilipia mwenyewe bila ya kumtarifu muajiri wako. jee hili ni kosa? na jeee ukipeleka vyeti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanasheria naomba kuzijua ni kesi zipi mtumishi wa umma zinaweza kumsimamisha kazi zikifikishwa mahakamani?
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…