Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba kujuzwa kuhusu sheria ya Tanzania kuhusu matumizi ya fedha wakati wa kampeni za uchaguzi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
593 Views
SHERIA MPYA YA BOT-2018 NA WAKOPESHAJI WA BODA BODA NA BAJAJ Wakuu naomba msaada wenu kuelewa mahusiano yaliyopo kati ya hii sheria mpya ya BOT Kusimamia huduma ndogo ndogo za kifedha ya 2018 na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninamdeni wangu nilikuwa namdai nikamua mpeleka mahakamani ili anilipe deni langu tukakubaliana kimandishi mbele ya hakimu kuwa atanilipa deni langu ndani ya mwaka mmoja Kweli kipindi cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Je mkaguzi wa mahesabu anaweza kufanya uchunguzi wa kesi ya jinai (kuiba) au hii ni kazi ya Polisi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar zenu wakuu kuna shamba la familia ambalo lipo mbali kidogo kutoka mahali ambapo mzee anaishi na alinunua kwa utaratibu wa haki ya kimila kipindi hicho sasa kwa hivi karibuni kumeibuka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa taratibu na sheria za kusajili jina la NGO .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu ninarafiki yangu alikuwa na kesi na amekiri kosa na hukumu imetoka wiki iliyopita.. (Amehukumiwa aende jela miaka tisa au atoe faini ya million 9.) Sasa ushaurini wenu ninaoomba ni kwamba...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wajuzi wa mabo sheria naomba msaada wenu katika hili.Nilikuwa katika mwahusiano na mwanamke mmoja hivi tangia 2012, mwaka 2013 nikapeleka posa na mahari kwa wazazi wake na mwaka huo huo...
0 Reactions
1 Replies
810 Views
Mwenye namba ya mdau naomba anitumie pm nahitaji ushauri wake wa kisheria. Au kama kuna mwanasheria yoyote aliyeko Shinyanga mjini naomba tuwasiliane mapema Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Nadhani niko jukwaa husika, wakuu salamu kwenu. Naomba kufahamishwa ada ya kusajili shirika la hisani lisilo la kiserikali (NGO) kwa ngazi ya wilaya, mkoa, na taifa. Pia naomba kujua huyo ada...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu, Mimi ni mmoja wa wafuatiliaji wa kesi ya akina Abdalah Zombe na mwenzake Christopher Bageni waliotenda kosa la kuwa ua wafanyabiashara wa Madini ya rubbi katika msitu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Je, Traffic police wana haki kukamata gari kwa kuchelewa kulipa fine iliyotokana na kosa la barabarani? Je, hiyo ni kazi ya traffic poice au ya TRA? Naomba na reference tafadhali ikiwezekana!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
RAPE CASE DISMISSED :The victim (she) was too ugly and masculine to be raped. Italy's Justice Ministry has ordered a preliminary inquiry into an appeals court ruling that overturned a rape...
0 Reactions
1 Replies
796 Views
Kwa mfano mtu amekutana na OCD au RPC na huyo OCD au RPC akamtukana ama kumshambulia, jee raia huyo anatakiwa afanye nini ili aweze kumshtaki huyo OCD au RPC? Na jee RPC atashtakiwa kama mtu...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama mtu amehukumiwa kulipa fedha alizo iba... Kwa muda wa sku 30...je endapo hajafanikiwa kupata hzo fedha...anaweza kwenda kuomba kuongezewa muda tena...na hakimu anaruhusiwa kumpa muda bila...
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Habari za mchana wana JF UTANGULIZI: Wakati tukijiandaa na uchaguzi wa Rais wa TLS siku za usomi, naomba kujadili kuhusu sehemu ya "V" (i.e kifungu cha 35-41) ya sheria ya huduma za habari Na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua je mtumishi wa umma anapokuwa na kesi ya jinai mahakamani anaruhusiwa kuendelea kufanya kazi au anasimamishwa mpaka kesi iishe? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari, Mwaka 2016 nilifunguliwa kesi ya madai kwenye mahakama ya hakimu mkazi mfawidhi wa mkoa. Kesi hii iliendelea lakini baadae inaendeshwa na hakimu mkazi wa wilaya (RM). Kwa mujibu wa IN...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam. Wataalam wa sheria naombeni ufafanuzi wa kisheria juu ya makosa yenye dhamana, kuwepo sharti la kua na mdhamini ambae ni mfanya kazi wa serikali. Je Hilo sharti lipo kisheria?,kama lipo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nilikuwa na kesi mahakama ya mwanzo...mtuhumiwa alihukumiwa kulipa fedha alizoiba ndani ya siku 30. Yani kutoka tar 31/01/2019 hadi mnamo tr 3 mwezi wa tatu...swali langu je asipotekeleza hilo nn...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom