Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mie ni mtuhumiwa nimekatwa nikalala police (celo) kesho nikatoka kwa dhamana nikahojiwa nikamtaja MTU anae niletea mzigo huo ambao nimekamatwa nao wakaniambia niende niwapeleke anapofanyia kazi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajamvi wenzangu naomba msaada wenu mnishauli/ munieleweshe kisheria kuhusu mimi na wapangaji wangu. Hawa wapangaji wapo kwangu sasa ni miaka mitatu tangu nimewapangisha ndani ya nyumba yangu...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
habari wana janvi mimi nna ndugu yangu ana kesi inayomkabili,alipewa dhamana akapangiwa siku ya kesi kusikilizwa siku ilipofika wakamjib upelelez haujakamilika akard nyimbani, mara ya pili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Post deleted
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Wakuu naomba kujua sheria za usalama barabarani zimegawanyika katika makundi mangapi? Vile vile nataka kujua katika makundi hayo je ni sifa zipi naweza kuzizingatia nikajua umuhimu wake...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hi everybody Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 Nimeoa na Nina mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 4 Ninafanya kazi katika taasisi moja ya serikali nikiwa mtumishi was kada ya kawaida Mwaka 2013 nilijinyima...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habari wana JF Leo ningependa kulifikisha hili kwenu tulitazame sote kwa pamoja, huwa ninaona magari yameandikwa majina ya wamiliki ubavuni, mara nyingi kwa saloon ni karibu na milango ya mbele...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
KESI YA JAMHURI NA MWALIMU RESPICIUS PATRICK MTAZANGIRA PAMOJA NA HERIETH D/O GERALD, KWA LUGHA YA KISWAHILI (TAFSRI ISIYO RASMI) THE REPUBLIC VERSUS 1. RESPICIUS S/O PATRICK@ MTAZANGIRA 2...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Why is the crime rate in Germany so low? Is it a merit of the system, the culture or of the police? [https://qph] Chris Ebbert, Innovation Advisor Answered Mar 9 I am originally from Germany...
1 Reactions
2 Replies
959 Views
Kuna nyumba yangu moja, eneo la mbezi niliwaachia madalali wanitaftie mpangaji. nyumba nzima nilikuwa napangisha 1.2mil kwa mwezi! baada ya kukosa mpangaji kwa mda mrefu, nikiwa safarini...
1 Reactions
68 Replies
9K Views
Natambua kwamba mashahidi wasiopungua wawili wanatakiwa kushuhudia saini ya mhusia kwenye wosia. Pia mashahidi wasiwe wanufaika na mashahidi watoke kwenye ukoo na nje ya ukoo. Nimeona case reports...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Naomba kuuliza kisheria/ Legally; ukiwa unafanya kazi kwa niaba ya Taasisi iliyokuajiri na kisha ukakosea katika utendaji wako (kwa capacity ya Taasisi not personal); swali langu ni je, unastahili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mwenye kesi hii aniwekee hapa au inbox. asante sana SARJIT SINGH v SEBASTIAN CHRISTOM 1988 TLR 24 (HC) Court High Court of Tanzania - Dar Es Salaam Judge Kyando J
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini, Husika na kichwa cha habari hapo juu. Ahsante
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shahidi ni mtu mwenye sifa zipi mbele ya mahakama? Je mtu aliyefika mahala ambapo tukio lilitokea baada ya siku 1 au wiki 1 anaweza kuwa shahidi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Tukio hilo la ajabu labda kwa sababu ya uelewa wangu mdogo wa sheria bajaj moja pale mwenge mataa ilikuwa imezidisha abiria yaan abiria amekaa siti moja pamoja na dereva askari mmoja mnene mweupe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana Jukwaa Mnamo tarehe 09 April 2017 niliondokewa na mzee wangu ambaya alikua mteja wa Bank moja wapo hapa Tanzania. Wakati wa mauti mzee alikua ameacha deni bichi ya Bank lipatalo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom