Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Redirect
Walimu wasio na ajira tangu 2015 mpaka sasa wameanzisha umoja wao wakiilalamikia Serikali kwa nini wanakosa ajira ilihali mapato ya Serikali yameongezeka. Wameenda mbali na kufanya ulinganisho wa...
0 Reactions
Replies
Views
WanaJF! Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye...
8 Reactions
226 Replies
13K Views
Wakuu nimeona nivema nikawapa majina ya kamati kuu mpya ya CHADEMA ili wale wasioifahamu basi waifahamu. 1.Freeman Aikael Mbowe -Mwenyekiti 2.Said Amour Arfi (MB)- M/Mwenyekiti Bara...
0 Reactions
84 Replies
9K Views
Wakuu Inakuaje Mkutano Mkuu wa CCM unaogopeka kiasi hiki mapaka Mwanachama huwezi kuhoji mamlaka ya Mkutano huo hata kukiwa na Uovu ndani yake. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea...
0 Reactions
1 Replies
166 Views
Mh. Zitto Kabwe, Kwa heshima na taadhima naomba nikuzungumze pamoja na wasifu wako. Ni wasifu gani alionao Zitto Kabwe? Kijana, Msomi, Mwanaharakati, Mwanasiasa, Mwanataaluma, na kadhalika...
0 Reactions
180 Replies
17K Views
Nakuhurumia Zitto Kabwe05/02/2014| Kwa wasomaji ambao hawakubahatika kuisomamakalahii, basi watambue kuwa iliandikwa na SAMSON MWIGAMBA Desemba 9, 2009. WakatihuoMwigamba alikuwa na mtazamo huu...
12 Reactions
48 Replies
15K Views
Huyu jamaa anaonekana hana shida na mtu, ni mchapa kazi na hana kambi. Kwa umri ni mdogo kuliko hata baadhi ya mizee ila anaonekana kujiheshimu sana (hata kujizeesha kiasi fulani). Ninacho jiuliza...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Wananchi wa Tanzania wanapaswa kuchukua hatua madhubuti ili kuepuka udanganyifu wa wazi unaofanywa na vyama vya siasa kuelekea uchaguzi. Serikali na wanasiasa mara nyingi hutumia mbinu za...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
I. USULI Usanifu wa hoja makini hufanyika kwa ajili ya kufanikisha angalau lengo mojawapo kati ya malengo manne yafuatayo: kutafuta jawabu la swali linaloleta mahangaiko kwenye akili za watu...
31 Reactions
89 Replies
2K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Kwa anayefuatilia kinachoendelea DRC, hasa katika mkoa wa Goma, atakuwa anajiuliza: Liko wapi lile jeshi jasiri la JWTZ ambalo mwaka 2012-2013 liliwafurusha waasi wa M23 na kuwafanya wasambaratike...
15 Reactions
103 Replies
4K Views
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira amesema kipaumbele cha Chama wakati wote ni...
1 Reactions
66 Replies
2K Views
Mheshimiwa Chalamila ni Mcha Mungu kabisa, Mara ya Mwisho nimemuona kwenye TV akiwa kwenye Madhabahu ya Mwamposa, Ninatarajia kauli zake ziambatane na Ukweli, kama wacha Mungu wengine...
2 Reactions
4 Replies
158 Views
Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye...
3 Reactions
8 Replies
277 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amewataka wananchi wa mkoa huo kuacha kuingiza siasa katika mambo yanayowahusu binafsi hasa katika Afya kwani hazitawasaidia badala yake...
21 Reactions
255 Replies
8K Views
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke. Kwanza...
90 Reactions
1K Replies
159K Views
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera atakuwa Mgeni rasmi kwenye Uzinduzi wa Kampeni kubwa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kwa ajili ya kuwasaidia na kuwashauri wananchi kuhusu masuala...
0 Reactions
4 Replies
118 Views
Wakuu, Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili watu 13, wakihusishwa na uharibifu wa noti zenye thamani ya Sh4.6 bilioni, bado unaendelea. Kesi hiyo, ambayo imekuwa ikifuatiliwa kwa...
1 Reactions
12 Replies
407 Views
Back
Top Bottom