Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Redirect
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Bara John Heche amesema chama hicho kina kila hoja za kushindana na chama cha mapinduzi na watazitumia pindi wakianza kufanya ziara na...
2 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika, amedai kuwa kuna juhudi za kuhamisha mwelekeo kutoka kwenye kampeni ya 'No Reforms, No Election'. Kupitia ujumbe wake kwenye mtandao wa X, Mnyika amesisitiza kuwa...
6 Reactions
68 Replies
3K Views
  • Redirect
Chadema inapitia kipindi kigumu zaidi cha ukata wa pesa za kuendeshea taasisi hiyo tangu kuanzishwa kwake, na sasa iko njia panda kushiriki uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025, kwasababu...
-1 Reactions
Replies
Views
Budget ya Singapore ya mwaka 2025/2026 ni $143.1 billion wakati ya Tanzania ya mwaka 2024/2025 ni $19 billion Sisi ni wehu ama nini, Singapore ni ndogo sana tena sana jaribu kufikiri kwamba Dar...
14 Reactions
35 Replies
738 Views
Malisa amepita vyama tofauti vya siasa ndio akaja CCM kwaiyo bado hajaelewa misingi ya CCM kwaiyo huko aliko akajifunze misingi ya chama cha mapinduzi – Makalla. Chanzo: Wasafi FM
1 Reactions
7 Replies
367 Views
The man is everywhere but natoa aren't na tahathari hakuna marefu yasiyo na ncha. Minyororo yako uliyoifunga inaelekea mwisho tubu na omba msamaa kwa Watanzania Umewakosea Sana Watanzania...
113 Reactions
343 Replies
11K Views
Wakuu, Tunaposema kuwa CCM inawaogopa zaidi wazungu kuliko wananchi na vyama upinzani tunamaanisha mambo kama haya. Swali la kujiuliza, ni kwanini Wasira "anaihakikishia" Marekani Uchaguzi kuwa...
0 Reactions
15 Replies
638 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko katika safu ya uongozi kwa kuwahamisha wakuu wa wilaya wawili na kuteua viongozi wapya kwenye nyadhifa...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Awataka wanachama waendelee kukijenga chama chao Afafanua yanayotokea ni tofauti za fikra, mawazo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe Hatimaye Mbunge wa Kigoma Kaskazini...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge...
23 Reactions
302 Replies
38K Views
Habari! Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo. My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli? Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri...
13 Reactions
277 Replies
13K Views
Zile presha za kupanda na kushuka ni mambo ambayo yalitawala kwenye uchaguzi. ==================== “Nilikuwa na furaha lakini kubwa zaidi nilikuwa na ahueni kuwa sasa imekwisha tumemaliza, zile...
5 Reactions
7 Replies
610 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche aivaa vikali Serikali ya CCM kwa kushindwa kutoa uchaguzi ulio huru na wa haki kwa kila chama badala yake imejimilikisha uchaguzi huo na kuona wengine...
2 Reactions
2 Replies
251 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Antiphas Lissu amesema kuwa hoja ya 'hakuna mabadiliko hakuna uchaguzi' (no reform no election) inamaana ya kuwa uchaguzi...
7 Reactions
14 Replies
814 Views
Wanabodi Kwa Maslahi ya Taifa ya Leo Wana JF Wenzangu, hebu tuacheni ushamba!, Media kumpongeza Rais kwa kazi nzuri na kufanya vema, sio kujipendekeza au kujikombakomba kunyemelea uteuzi!, rais...
14 Reactions
85 Replies
7K Views
  • Redirect
Je kati ya Samia vs Magufuli nani anapenda kusifiwa zaidi?
0 Reactions
Replies
Views
Rais Samia Suluhu ameingia madarakani tarehe 19 Machi 2021 baada ya kufariki kwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli. Hadi leo tarehe 2 Julai 2022 Rais Samia Suluhu ana siku 470...
11 Reactions
62 Replies
5K Views
Nikiwa British Council nikamuona Shujaa Magafuli anatembea Kwa miguu Kutoka Ikulu na wakaingia CRDB Holland House Baadaye zikawepo tetesi alienda kuhakiki account Fulani Fulani za Government Ili...
8 Reactions
21 Replies
414 Views
Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA...
22 Reactions
67 Replies
1K Views
Wanachopitia Chadema ni muhimu kwa taifa nzima 1. Kutaa kununuliwa kwa pesa kupitishwa kwa baadhi ya viongozi na wame wa Covid 19 2. Kuanza kutafuta utaratibu wa kujiendesha bila kutegemea...
3 Reactions
0 Replies
75 Views
Back
Top Bottom