Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ndugu zangu Watanzania, Nchi na Maendeleo ya Nchi yoyote ile yanaanza kwanza kujengwa kichwani na ndipo yawekwe katika karatasi na hatimaye utekelezaji. Hata nyumba inajengwa kwanza kichwani...
1 Reactions
188 Replies
2K Views
Je, huwa wanajua na wanafahamu kabisa kwamba hawaaminiki, hawaelewekagi wala hawakubaliki mbele ya wananchi? Nini kifanyike kuondoa unyonge huo wa wanachama wa chadema hasa wakiwa mitaani bila...
1 Reactions
4 Replies
129 Views
Heshima sana wanajamvi. TRA wametangaza ajira mpya 1,574. Hili ni jamba zuri sana vijana wetu watapata ajira za uhakika zenye mishahara mizuri na nafasi kubwa ya kutengeneza kipata cha ziada...
24 Reactions
190 Replies
5K Views
  • Redirect
Sasa kila kitu mnaweka picha ya mama, as if watu hawamjui Rais kwa sura hii ni too much, but anyway mkifikia kwenye magari msinisahau. ======== Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha Japhari...
3 Reactions
Replies
Views
Baadhi ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa; 1.TAA 2.TCRA 3.PPRA 4.BRELA 5.EWURA 6.TACAIDS 7.SUMATRA 8.TANROADS 9.TAKUKURU 10.TRA. 11.MKUKUTA. 12.MKURABITA. 13.HESLB Baadhi ya Taasisi...
6 Reactions
11 Replies
372 Views
Kwa Sasa ndiye Afisa Mtendaji mkuu wa NMB Benki yenye Mafanikio makubwa sana Amekuwa akisifiwa sana na Rais Samia Kwa Utendaji Wake Uliotukuka Sabato njema 😃 Kwako Lucas Mwashambwa
5 Reactions
31 Replies
791 Views
Wengi wanaweza wasielewe ili mabadiliko yoyote yafanikiwe Tanzania ni lazima yapate Baraka za kutosha Kutoka Kwa Wazanzibar na SMZ Muundo wa nchi ya Tanzania ni wa Serikali mbili ile ya Zanzibar...
0 Reactions
7 Replies
302 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Tundu Lissu leo ametembelewa ofisini kwake Makao Makuu ya chama hicho na viongozi wa ACT Wazalendo ambao ni Makamu Mwenyekiti Zanzibar Ismail Jussa...
10 Reactions
21 Replies
1K Views
Hapo kabla ufaulu wa mitihani ya form 4 na form 6 ulikuwa mbaya sana Zanzibar, mbaya sana, Kuanzia miaka ya 2020s ufaulu umekuwa mkubwa sana sio tu Zanzibar ila hata mikoa iliyokuwa ikifanya...
1 Reactions
8 Replies
274 Views
Wakuu Kwa Taarifa zilizonifikia ni kuwa kikao cha Tundu Lissu pamoja na Ado Shaibu (KM ACT WAZALENDO) na Ismail Jussa, kilichofanyika jana ofisi za chadema AGENDA yao ilikuwa ni kuhusu NO REFORM...
2 Reactions
21 Replies
693 Views
Kuna vitu vinaumiza, unapoona watu wazima na akili zao wanaamua kuwa machawa sijui wanadhani wa Tanzania wore mazuzu!? Unasifiaje kazin ya Samia Miaka mine Barbara nyingi zimesimama hazijengwi...
0 Reactions
3 Replies
144 Views
Mheshimwa Rais. Umesikika ukiagiza vyombo vyako kufanya uchunguzi wa masuala ya utekaji hata hivyo nasikitika kukwambia kuwa 1. Vyombo vyako haviaminiki tena Tangu jeshi la polisi na mamlaka...
3 Reactions
8 Replies
566 Views
Jenerali Abdallah Twalipo aliteuliwa kushika madaraka ya u- CDF february 13, 1974 mpaka Novemba 8, 1980. Chini ya uongozi wake alishuhudia na kushiriki vita ya Kagera bara baada ya uvamizi wa...
11 Reactions
144 Replies
16K Views
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuunda tume maalumu ya kuchunguza ushiriki wa Jeshi la Polisi kwenye masuala ya...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
This review was originally published at www.thechanzo.com Book Review "In the Name of the President : Memoirs of a Jailed Journalist". By Katundu Kassim. The German philosopher Georg Wilhelm...
20 Reactions
75 Replies
3K Views
  • Redirect
Kuvunja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi, ngoma zinalia kwa sauti kubwa sana. Kinachotendeka ndani ya USAID kinawatafuna wengine. Mzee Trump shikamoo, Restless Development kimewalamba barabara...
0 Reactions
Replies
Views
Wengi wameshtukia na kuhisi mpango huo wa kiongozi wao ni utapeli? Au wanaona michango yao kupitia ruzuku inatosha kabisa kuendeshea chama, kununua maji ya kunywa spirit, nyama na matumizi...
3 Reactions
64 Replies
1K Views
  • Redirect
Leo tena nimewasikiliza (NETO), Umoja wa Walimu Wasio na ajira nchini kama mzazi pia nimepata uchungu mwingi sana na kauli za Mkenda haikupaswa awepo ofisini hata dakika tano mbele! CCM...
6 Reactions
Replies
Views
Katika hali iliyotafsiriwa kama kuhakikisha Mahusiano mazuri na Makundi yote ya Kijamii, Chadema imekutana na Mashehe Jijini Arusha na kufanya nao mazungumzo, Yaliyofuatiwa na Dua kabambe. Zaidi...
2 Reactions
9 Replies
502 Views
Wanabodi, Hii ni nikuu kutoka bandiko langu hili Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki...
2 Reactions
8 Replies
557 Views
Back
Top Bottom