Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wana Jf wenzangu......!! Leo ni mara ya 3 nikitokewa na ndoto kuwa Rais wa JPM atakuwa kiongozi pekee atakayeliongoza Taifa kwa kipindi cha Miaka 5 tu na sababu pekee ni kwamba atapigwa chini...
50 Reactions
412 Replies
36K Views
Wakuu hee! Leo tujikumbushe kidogo aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi hapa alikuwa bungeni akieleza kuwa amewahi kuvunja...
2 Reactions
6 Replies
336 Views
Nianze na nukuu hizi mbili kuntu za Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere- Mwenyezi Mungu amrehemu. “Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import. Democracy should develop...
14 Reactions
356 Replies
36K Views
Wenye viti wa vyama vingne vya upinzani mna subiri nini kujitokeza hadhani ku support NO REFORM, NO ELECTION. Mzee wa ubwabwa, Act wazalendo, cuf, nk
1 Reactions
5 Replies
169 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmound Thabit Kombo(Mb.) akiambatana na Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb.) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi...
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Nimekutana na hii Article iliyoandikwa mwaka 2015 na Jean Paul Romeo Rugero kwenye mtandao wa HIMA-TUTSI EMPIRE | African Agenda – A new perspective on Africa imenisisimua. Na hasa ni kuhusu hawa...
3 Reactions
73 Replies
13K Views
  • Closed
Kuna uzembe mkubwa sana katika ulinzi wa Rais, Watu wanadhani kuwa na bodyguard wengi au magari mengi ndiyo ulinzi husika Nimenusa jambo kwenye maeneo haya matatu Kuna uzembe sana kwa Mawakala...
3 Reactions
0 Replies
351 Views
Amina Mohamed ambae ni mdau wa Bandari za Tanzania na Mombasa amesema Bandari ya Dar es Salaam inakabiliwa na tatizo na kukosa Ufanisi ambapo ametolea mfano kamba ukitaka kutuma Makontena...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakili msomi Fatma Karume anasema kuwa viongozi waTanganyika ndiyo tatizo. Viongozi wa Zanzibar na wananchi wa Zanzibar wanajitambulisha kama wazanzibari katika muungano wa nchi mbili kisha...
17 Reactions
108 Replies
6K Views
Wanabodi, Ninapotafakari kwa kina mgogoro unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ninakumbuka falsafa ya 4R ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kama ingetekelezwa ipasavyo, inaonekana...
4 Reactions
23 Replies
536 Views
Hatimaye General Yoweri Museven amepeleka Jeshi nchini DRC kumsaidia Rais Tshisekedi dhidi ya magaidi wa M23 Source Al Jazeera news
3 Reactions
30 Replies
1K Views
  • Redirect
WASIRA AIHAKIKISHIA MAREKANI UCHAGUZI KUWA HURU NA HAKI * Azungumza na Balozi wa Cuba Nchini Tanzania Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Stephen Wasira...
0 Reactions
Replies
Views
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga...
1 Reactions
56 Replies
895 Views
Tume Huru ya Uchaguzi ni vema ikatenda HAKI kwa asilimia mia moja. Iachane na makosa madogo madogo/ pingamizi kwa mfano. (1) Mtu kukosea herufi ya jina lake au chochote kilichoandikwa kwenye...
3 Reactions
15 Replies
326 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mlezi wa CCM kwa Mikoa ya Kusini na Kaskazini Unguja...
1 Reactions
3 Replies
165 Views
Siasa za sasa zimekuwa na mtindo tofauti hasa katika kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa Jamii na baadae kukanushwa kwa lengo la kuwaaminisha wafuatiliaji wa mambo kuwa kilichoandikwa na kupostiwa...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Chama Cha siasa huuza Sera zake na Ilani yake Kwa Wapiga Kura ambao wamejiandikisha kwa Mujibu wa Sheria Chama Cha siasa kamwe hakiwezi kuwapangia Wapiga Kura nini cha Kufanya Ndio sababu Wapiga...
3 Reactions
7 Replies
162 Views
Hivi Kuna Rais amewahi fanya makubwa na kuleta mafanikio kwenye sekta ya Michezo,sana n burudani kumshinda Samia katika historia ya 🇹🇿? Huwezi Kuta SSH akijigamba ila matokeo kwake ni makubwa...
4 Reactions
89 Replies
3K Views
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za katiba kuchwa kutwa. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajumbe feki wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania, tumechoka na utapeli wa...
4 Reactions
38 Replies
839 Views
Mimi nilijiandaa na nimejiandaa kugombea urais kupitia CCM 2025 kwa kuwa uwezo ninao na nimekidhi vigezo vya kuwa mgombea halali kupitia CCM ! Nashangaa Leo mkutano unaadhimia tu bila kuuliza ni...
17 Reactions
61 Replies
2K Views
Back
Top Bottom