Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga, Husna Sekiboko amewataka Wanakilindi na Wanatanga kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan...
1 Reactions
4 Replies
362 Views
HAwa jamaa kumbe huwa wanajua hawashindagi kwa haki bhana eti wanadai mwaka huu watashinda kwa haki. Haki gani sijui wananzungumzia ==== MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi...
1 Reactions
2 Replies
198 Views
"Yeyote mwenye akili na macho ya kuona anajua kuwa chaguzi za nchi hii zimekuwa za hovyo sana na ni za hovyo kwa sababu mfumo mzima wa kiutawala wa nchi hii ni mfumo wa hovyo" - Tundu lissu...
5 Reactions
39 Replies
965 Views
Ikiwa ni ishara kuwa hila zote za CCM na vibaraka dhidi ya CHADEMA zinapuuzwa na Watanzania, post za yule mpambanaji zamani aliyegeuka kibaraka wa CCM na Mwigulu Nchemba (Kigogo wa Twitter)...
3 Reactions
11 Replies
738 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza...
3 Reactions
74 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Ngara Ndaisaba George Ruhoro pamoja na uongozi wa CCM Wilaya na kata pamoja na MH.BURINDORI diwani wa Kibogora wameshiriki zoezi la kuwashwa Kwa Mnara katika Kijiji Cha...
2 Reactions
5 Replies
192 Views
  • Redirect
Mkoa wa Tanga umebarikiwa kwa vitu vingi, kuanzia watu wake, ardhi yake, huduma za kijamii pamoja na mengine mengi. Lakini baraka nyingine kubwa ni ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
Replies
Views
MAHAKAMA ya Rufani kesho inatarajia kusikiliza rufaa dhidi ya Mkuu wa Upelelezi wa mkoa wa Dar es Salaam (RCO) wa zamani Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Abdallah Zombe na askari wenzake wanane...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Wiki hii tumeshuhudia vijana 4 kati ya 6 waliofanya uhalifu wa kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakifikishwa mbele za Pontio Pilato...
55 Reactions
292 Replies
15K Views
Tayari Chama cha Mapinduzi CCM Kwenye Mkutano wake Mkuu Kimempitisha MH Samia Kuwa Mgombea Urais na Dr Nchimbi Kuwa Mgombea Mwenza,Kule Visiwani Zanzibar Dr Hussein Mwinyi Rai Yangu Kwa Chama...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
📍 WANAWAKE VIONGOZI WA SIMIYU WAPATIWA MAFUNZO KUIMARISHA UTAWALA BORA 📅 19 February 2024 | Simiyu, Bariadi – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mery Pius...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
  • Redirect
Wakuu unaweza kusikia maneno yanayotoka kwenye kinywa cha Mnyika akidi haikutimia. Chadema badala ya kumfukiza Mchome au kujificha kwenye kichaka kuwa katumwa na Abdul. Tungejibu hoja zake na...
0 Reactions
Replies
Views
Katika kile kinachoonekana kuendelea kwa mivutano ya makundi ndani ya Chadema, kada mmoja wa chama hicho, amepinga uteuzi wa viongozi watendaji wa juu wa sekretarieti na wajumbe wa kamati kuu ya...
5 Reactions
83 Replies
5K Views
Ameandika Hilda Newton "Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani...
9 Reactions
45 Replies
2K Views
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma Halima White Zuberi amesema uchaguzi mkuu wa mwaka huu mamlaka yapo kwa wananchi kwakuwa watachagua viongozi bora wanaowataka...
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Hongereni na poleni na kazi ya kutafuta mkate wa kila siku. Leo nimefikilia sana in deep, juu uchaguzi wa CHADEMA, bila shaka uchaguzi ule umeacha vidonda na makovu makubwa kwa upande wa wale...
5 Reactions
52 Replies
1K Views
Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo Mh Saeed Kubenea amemwambia Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika kuwa Ukiona Mwanachadema anakimbilia kwa Msajili wa vyama vya siasa kushtaki ujue kuna Mtu wa Mfumo nyuma...
12 Reactions
46 Replies
2K Views
HISTORIA YA MKOA WA KILIMANJARO Mkoa wa Kilimanjaro ulianzishwa rasmi mwaka 1963 kwa Tangazo la serikali Na.450 la mwaka huo ukiwa na wilaya za Kilimanjaro na Pare. Kabla ya Uhuru Mkoa wa...
0 Reactions
1 Replies
281 Views
Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA (BAVICHA) Kanda ya Victoria limelaani na kukemea matukio ya watu kutekwa yanayoendelea kujitokeza nchini. Akitoa kauli hiyo, tarehe...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Back
Top Bottom