Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Redirect
Ni tangazo la Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi kwamba Ni marufuku mwanaccm Kufanya Sherehe za Birthday au anniversary ya ndoa au Kumbukumbu ya Vifo au Kipa Imara au Jando na Unyago na kisha...
1 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameonya vikali Wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani na uwakilishi ambapo Balozi Nchimbi alisema baadhi ya Wanachama...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Salam kwenu. Katika mkutano wake na makatibu matawi na kata katika wilaya ya Dodoma ameweka vipimo mathubuti kuelekea uchaguzi mkuu. Kwa maelekezo yake thabiti dhidi ya watia nia wote tutarajie...
1 Reactions
2 Replies
212 Views
  • Redirect
Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa n 1. Samia Legal Aid 2. Goli la Mama 3. Samia App 3. Kazi Iendelee 4. Generation Samia 5. Mama Anaupiga Mwingi 6. Wasanii na Mikopo 7. Chawa wa Mama 8...
0 Reactions
Replies
Views
Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa; 1. TAA 2. TCRA 3. PPRA 4. BRELA 5. EWURA 6. TACAIDS 7. SUMATRA 8. TANROADS 9. TAKUKURU 10. TRA. 11. MKUKUTA. 12.MKURABITA. Awamu ya...
26 Reactions
55 Replies
2K Views
  • Redirect
Methali 13:24 "Yeye asiyetumia fimbo hamtaki mwanawe, bali yeye ampendaye humrudi mapema."
1 Reactions
Replies
Views
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka 4 imeendelea na utekelezaji wa Programu ya Taifa ya Kurasimisha Makazi yasiyo rasmi ambapo jumla ya...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
  • Redirect
https://youtu.be/PGcgyOd8TFc?si=QOt8kFjpEMSsLqun Hii sawa hii jamani ? Katuma Shehe Mkuu wa D'Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Mkoa, mtu mzima na heshima zake, kasimama mbele ya camera...
7 Reactions
Replies
Views
Wakuu, CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers: Barabara...
30 Reactions
112 Replies
5K Views
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Dar es salaam Edward Mpogoloe amesema kampeni ya ‘Hala Bi Mkubwa” iliyoanzishwa na Mtangazaji Barton Mwemba maarufu Mwijaku itasaidia kunadi kazi nzuri zilizofanywa chini...
0 Reactions
17 Replies
580 Views
Wakuu Mmesikia majibu ya Semaji la Serikali Msigwa? Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amemjibu kuhusu hpla za 'Goli la Mama' kwa timu za mpira wa miguu za Simba na Yanga ambazo hutolewa...
6 Reactions
82 Replies
2K Views
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imesema barua ya malalamiko kuhusu uteuzi wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), iliyowasilishwa...
0 Reactions
6 Replies
680 Views
Wakuu, Mambo yanazidi kuchangamka majimboni:BearLaugh::BearLaugh: eti kaenda kwa kinyozi Juma kunyolewa. Anatuonesha alivyokwenda mara ya kwanza saluni eti haikuwa maigizo:BearLaugh::KEKWlaugh...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
BARAZA la Madiwani Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, limefanya Mkutano Maalum wa Mapitio ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024/25 kwa kipindi cha nusu mwaka (Julai-Disemba, 2024) na kisha...
3 Reactions
8 Replies
206 Views
"Nilikutana siku moja na mjomba wangu, Lema, akaniambia: 'Bwana, ni hivi tu, mimi ni mpinzani, siwezi kusema hadharani, lakini nataka niwaambie—mzigo anaoupiga Dkt. Samia umenifanya hata hamu ya...
2 Reactions
18 Replies
858 Views
Dkt.Rugemeleza Nshala ana uchungu na CHADEMA? Maana tangu kufatilia siasa za upinzani huyu sijawahi kumuona kuvaa gwanda. Leo ndio mwanasheria mkuu wa CHADEMA. Au urafiki wa Lissu ndio...
3 Reactions
6 Replies
381 Views
Watu wengi hawaelewi kwanini Waislamu hawaitafsiri Quran tukufu katika lugha mbalimbali bali wanaitumia kwa lugha ile ile kama ilivyoshushwa Ni kwamba maandishi yanavyozidi kutafsiriwa ndiyo...
2 Reactions
4 Replies
223 Views
Kwa unyenyekevu sana naomba kupitia tweet hii ya Mhe David Zacharia Kafulila. Nawaomba mnaoshangaa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu kukopa sana niwaombe pia kupitia tweet hii mshangae pia namna...
11 Reactions
82 Replies
2K Views
Wananchi wa Kiranyi wilaya ya Arumeru wamefunga barabara kwa zaidi ya masaa matatu kwa lengo lakufikisha ujumbe kwa serikali, kutokana na ubovu wa barabara hiyo kwa muda mrefu huku wakilaumu...
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Wakuu, Waziri Kivuli Ofisi ya Waziri Mkuu-Bunge, Sera , Vijana , Kazi na Ajira amesema yafuatayo wakati yuko kwenye kwenye mahojiano pale EATV "Hoja ya kushiriki uchaguzi mkuu bado hatujaifuta...
1 Reactions
8 Replies
261 Views
Back
Top Bottom