Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mimi ninaamini katika ushindani lakini kuna mambo yanani fanya nione kuna watu kwenye hii dunia mifumo iliyopo imewatenga kabisa. Ninachoelewa mimi suala la imani kwa Mungu ni la moyo wa mtu...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
CCM mwiko kusema mitano tena kwa mbunge na diwani. Mitano tena ni kwa Rais Samia Suluhu tu kwa madiwa na wabunge mwendo wa ngiri mkia juu. Hayo yamesemwa na Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa...
0 Reactions
6 Replies
373 Views
  • Redirect
BALOZI NCHIMBI: CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
BALOZI NCHIMBI: CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo...
1 Reactions
4 Replies
319 Views
Uongo wenyewe tena wa Kijinga huu hapa Hata kama Wananchi ni Wajinga kiasi hiki, Uongo wa namna hii haukubaliki.
2 Reactions
14 Replies
577 Views
Tangia Tundu Lisu alihutubie Taifa, nimejikuta nimepoteza Amani na furaha ya Moyo wangu. Hotuba ya Tundu Lisu imenigusa mno. Najiona ni mtumwa ndani ya Taifa langu. Mimi Kama raia katika Taifa...
11 Reactions
21 Replies
632 Views
Wakuu, Mkazi wa Kijiji cha Busekela wilayani Musoma Mkoa wa Mara, Helment Turutumbi (45) hajulikani alipo baada kuchukuliwa na watu wasiojulikana ambao walifika kijijini hapo na kujitambulisha...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Mtoto wa Trump amemuomba baba yake aisamehe Africa kwani Wananchi Wao watakufa wakikosa misaada Ingekuwa Tanzania mtoto wa Trump angesakamwa kweli kweli 😂
0 Reactions
4 Replies
235 Views
Wasalaam. Zimenifikia habari za uhakika kwamba kuna viongonzi wa dini wamefanikisha kuwakutanisha wawili hao kwa mazungumzo muhimu kuelekea uchaguzi mkuu mwenzi Oct kama utakuwepo na kauli mbiu...
0 Reactions
4 Replies
290 Views
Tangu Rais Samia alipopokea kijiti cha uongozi wa nchi mwaka 2021, amesifiwa na baadhi ya Watanzania kama Mama mwenye moyo wa ukarimu, hususan katika kujitoa kwa hali na mali pale anapodhani...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimeisikiliza mara mbili mbili video ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali, Venance Mabeyo aliyekuwa ndiye Mkuu wa Majeshi wakati wa kifo cha hayati Dkt Magufuli...
16 Reactions
250 Replies
15K Views
Wanabodi, Kama kawa, kila nipatapo fursa, huja na makala elimishi za kwa maslahi ya taifa, ambazo huwa na maswali, hoja, majibu utaweka mwenyewe, swali la leo ni kujiuliza kwa sauti, asking...
15 Reactions
75 Replies
7K Views
Tiririka hapa tuyakumbuke maana ni muda wa watu kiongoza na watatuongoza milele Ungependeza ungekuwa utawala wa awamu ya kwanza - Sikuwepo (Nilisimuliwa) Ungependeza ungekuwa utawala wa awamu...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Halima Mamuya amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan hatakuwa na mpinzani katika...
0 Reactions
1 Replies
105 Views
Katibu wa Baraza la Wazee wa Jiji la Arusha, Mzee Amimu Ngalawa, ameomba serikali kuongeza kiwango cha pensheni kwa wastaafu, akisema kiasi wanacholipwa ni kidogo na hakiendani na muda...
0 Reactions
1 Replies
141 Views
Historia ya Tanzania tangu ukoloni ni uzalendo na kujitoa kwa maslahi ya watu wote sio ya mtu mmoja uzalendo huo ndio umetufikisha hapa hivi leo kwenye Tanzania ya sasa nzuri na kwa hakika ni...
3 Reactions
24 Replies
459 Views
Wakuu, Wote tunashuhudia kipindi hiki cha uchaguzi wanasiasa wakiangahaika huku na hukokuonesha wananchi wao ni watu wa kazi, wanawasikiliza kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati, wanafika...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Honeymoon si mnaijua? 😁😁😁 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema Chama na Serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha...
2 Reactions
9 Replies
514 Views
Back
Top Bottom