Vetting ya viongozi wa Zanzibar na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bara inafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii ni sehemu ya mfumo wa Muungano kati ya...
Japo nina ushahidi wa kutosha kuhusu kilichofanywa na majasusi hasa kwenye kura za urais lakini naomba nisizungumzie uchakachuaji kabla ya kuzungumzia udini.
Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr...
Mrisho Gambo ameongoza maandamano ya madiwani, wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata.
Kwa ufahamu wangu watendaji wa kata ni watumishi waajiriwa wa serikali kama walivyo waalimu sambamba. Je...
Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa?
Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza...
Leo asubuhi nimecheck TBC1, kinana anasema 'kupanuka kwa demokrasia na kuongezeka kwa uelewa wa mambo ya siasa katika jamii' ni baadhi ya sababu ya ccm kupoteza viti vingi ukilinganishwa na mwaka...
katika jamii iliyo makini kuna sababu kwa Basil Mramba KUWAOMBA RADHI WATANZANI Kwa kauli yake ya kusema NDEGE ya raisi lazima Inunuliwe hata mkila NYASI Heri angesema tule majani maana hata...
Rejea umati wote uliokuwa unakulaki,wengine kukuita Mussa kuokoa wanaisrael,wengine mkombozi, eti leo unapata kura kidogo namna hii,
Sio kweli kabisa eti wajiandikishe watu laki moja halafu...
Jamani mmemsikia Makamba? eti wanachama wa CCM wanaotaka kugombea ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania waanze kuchukua Form za kugombea nafasi hiyo. Je ni sahihi wakati hata nusu ya matokeo ya...
Wabongo wengi ni mbumbumbu sana na Bahati mbaya hadi mkuu wetu anaingizwa mkenge sana kwenye huu ujinga wa Watanzania wengine.
Swala la kuchoma Vifaranga/Ndege/wanyama/mimea inayo ingizwa nchini...
Wito wa Waziri wa Fedha, juu ya Wazazi kuwasaidia watoto wao kujiajiri uko sawa! Anaebisha aseme!
Yupo Sahihi kabisaa maana ukiangalia hawa wazazi ni mfano wa kuigwa kwake....
1. Samia amemsaidia...
Mbarali kunafuka Moshi tu kwasasa. Yaani moto hauwaki Wala kuzima
Mwezi Oktoba mwishoni Serikali ilitangaza maeneo yatakayopisha hifadhi. Wakati tangazo likitolewa tayari baadhi ya maeneo...
Mwenyekiti Mbowe anasema Maridhiano ndio yataleta majawabu ya nchi kufunguka kisiasa ikiwemo kurejeshwa Mikutano ya siasa
Lisu anasema akirudi nchini moja kwa moja anaanza Mikutano ya hadhara...
Nimeridhishwa jinsi Waziri Mkuu Majaliwa anavyo simamia watendaji serikali ili wawe mstari unaoeleweka.
Kizuri ni mtu kuchukuliwa hatua pale pale bila kupepesa macho wala kuremba. Wateule wa vyeo...
Zitto bado ni mkuu wa Chama, na alichokifanya ni staili kama ya Putini ya kuacha Uraisi na kuwa Waziri Mkuu na baadaye kurudi kwenye Urais.
Putini akiwa Waziri kuu yeye ndie alikuwa anaendesha...
Anasema Mjumbe wa zamani wa Baraza la Mawaziri Dr Kigwangala " Ila kama Soja ndiye muuza Madafu binafsi nimependa sana umakini wa Vyombo"
Kigwangala ameongea ukurasani X
Sabato Njema 😂😂😂
Muungano ni wa Nchi 2 Tanganyika na Zanzibar na ikazaliwa TANZANIA.
Zanzibar ipo ina Mihimili yote Mitatu yaani SERIKALI BUNGE na MAHAKAMA pia BENDERA na Wimbo wa Taifa.
TANGANYIKA Haipo hakuna...
Manufaa ya muungano tumeyaona, ni matamu sana kwa watanzania walio wengi. Kila kijana mzanzibar anatamani kwenda kuishi Tanzania bara, na wako watanzania bara ambao wanatamani kwenda Zanzibar...
Katika Ulimwengu wa roho mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe na mwenyekiti wa CCM Rais Dr Samia wameongea kitu kinachofanana
Mkuu wa Upinzani nchini anasema Wanaume wengi ni wa hovyo na wapambe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.