Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ujumbe wao huu hapa Pia soma!
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Msikilize Lissu hapa akitema cheche Ukweli lazima uwekwe wazi
9 Reactions
65 Replies
2K Views
Naombeni kujuzwa vitabu vinavyodiscuss matatizo yetu, chanzo, madhara, proposed solutions, n.k. Please sihitaji vitabu vilivyoandikwa kichawa chawa kusifia viongozi ambao tunawajua nyuma ya pazia...
1 Reactions
22 Replies
840 Views
Sisiemu ilishaacha kuwa chama cha siasa.
5 Reactions
7 Replies
534 Views
Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Sylvia Francis Sigula ameihoji Serikali ni magari mangapi ya Serikali yamefungwa mfumo wa gesi baada ya kuanza kwa kuhamasisha matumizi ya mfumo huo. Sigula amehoji...
1 Reactions
4 Replies
522 Views
Ujumbe wake huu hapa . 6
26 Reactions
106 Replies
5K Views
Huu ni ukweli ambao hausemwi, mwalimu Nyerere alizidiwa akili na Karume wakati wa kuwekwa makubaliano juu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Karume alimzidi parefu sana mwalimu, na nadhani...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Zanzibar imekuwepo kitambo Sana na bado ipo lakini Tanganyika kama Tanganyika hatunayo kwa miaka 60 sasa ambao ni Umri wa kustaafu kwa lazima Kusema Zanzibar ni koloni la Tanganyika ni...
0 Reactions
5 Replies
334 Views
Kuna watu wengi ambao wapo CCM na ni wazalendo. Lazima muelewe sio matakwa yote ya CCM ni kwa faida ya nchi kuna mambo mengi sana ambayo ni kwa mafanikio ya tabaka la utawala ndani ya CCM. Tabaka...
7 Reactions
14 Replies
526 Views
Serikali itaondoa tozo ya asilimia sita ya kulinda thamani ya fedha katika urejeshaji wa mkopo kuanzia 1 Julai 2021, iliyokuwa inatozwa kwa wanufaika wa Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, ikiwa...
3 Reactions
48 Replies
12K Views
Nimeuliza swali hili kufuatia series of events za MAPANDIKIZI mengi tuliyowahi kukutana nayo. MAPANDIKIZI ni wale watu wanaokuzwa na wenye madaraka kwa kujibrand kama vile ni watetezi wa haki...
18 Reactions
79 Replies
4K Views
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani kutokea ACT wazalendo peleka pendekezo bungeni ofisi ya DCI iwe Huru kama alivyo DPP Hii itaboresha utendaji wa Taasisi za Haki Jumaa Mubarak 😃😃
1 Reactions
5 Replies
298 Views
Mada yangu iko wazi wazi. Naomba wajuvi wa mambo ya haki na umiliki, bila mahaba ya kisiasa waniweke sawa. Hivi mali zilizopatikana kwakuwakata tozo na kodi na ushuru, raia wote wakat wa chama...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
10 Reactions
63 Replies
4K Views
https://www.youtube.com/watch?v=xjMIFw1DUyg Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa akizungumza Bungeli, leo Aprili 25, 2024 ametoa taarifa ya kuhusu mwendendo wa Matuko ya...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ukitaka vichekesho bila gharama soma Taarifa za Polisi. Katika tukio la hivi karibuni la kupote na Kuuawa kijana Robert Mushi na kishà maiti yake kukutwa Mortuary ya hospitali ya rufaa ya Polisi...
15 Reactions
53 Replies
2K Views
Imagine, zilungana Zanzibar na Tanganyika kuunda seeikali ya Muungano, lakini zanzibari ime retain taifa lake wakiwa na katiba, raisi, wimbo wa taifa, bunge, Baraza la mawaziri, wimbo wa taifa...
2 Reactions
6 Replies
447 Views
Naam, watanganyika ndio wazenji halisi, siyo waunguja na wapemba kama inavyoaminika kwa wengi! Bendera ya iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Tanganyika Nasisitiza tena, watu wa Tanzania bara ndio...
7 Reactions
61 Replies
2K Views
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni...
10 Reactions
107 Replies
7K Views
Back
Top Bottom