Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Polisi arusha,wameendelea na upuuzi wao,wamemshikilia kwa muda mwenyekiti wa chadema mkoa wa arusha,kwa tuhuma za kuchochea vurugu,tarehe 5,,lakini hatimaye aliachiwa,na ataunganishwa kwenye kesi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Haijalishi taasisi gani (ICC) imesema Wa-Tanzania wkupitia TANESCO tukamplipe Dowans Billioni 185, kama hatuwezi kujuzwa wamiliki wake wazi wazi, mkataba wenyewe ulivyokua, na nyaraka zote za...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Ndivyo hali ya uongozi wa nchi unapambana na mazitomazito hali unarefuka zaidi kuliko kunenepa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
mh, samweli sitta waziri wa africa mashariki, na dk, harisson mwakyembe naibu waziri wa ujenzi, kufukuzwa chamani au kuzibwa midomo!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WanaJF, Nimejaribu kujikumbusha ili nione kama kuna lolote la maana ninaloweza kumsifu jk kwamba ametekeleza katika kuwaletea wananchi wake maendelo lakini mpaka naandika thread hii bado...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani wakati wa kampeni humu kulikuwa na watu kama malaria sugu na wengineo kibao wanamtetea mkwere kuwa ni kiongozi anayefaa......na kura za JF zilionyesha wazi CDM kitashinda ijapokuwa haikuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbunge wa Igunga achunguzwe na kufukuzwa bungeni kutokana na kuanzisha makampuni ambayo wamiliki wake hawajulikani au wamekufa na utata mzima wa kampuni za Dowans, Richmond etc. Credibility yake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF nimeshukiwa na roho Mtakatifu punde tu, baada ya kutafakari kwa miezi kadhaa kuhusu hali ya nchi ilivyo. Nimepewa ujumbe Muhimu sana kukuleteeni Watanzania. Kwa kuwa nchi inaendeshwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani wa jf naomba tueleweshane hapa. UVCCM wanamtaka JK kuchukua maamuzi magumu katika masuala ya kitaifa. Mtanisamehe kama nitakuwa sikuelewa tamko lao. Lakini swali la msingi hapa ni hili...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nina maana hawa UVCCM na hii ishu waliyoibuka nayo ni sahihi? au ingebidi wajifanye kama hawaoni au wangetumia mbinu nyingine kutoa hizo kauli zao?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa takwimu za uchaguzi wa 2010 zilizotolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC), watu 20,398,394 wamejiandikisha kupiga kura Tanzania. Hata hivyo, watu 8,626,283 tu walijitokeza kupiga kura, sawa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nimepata CD mbili kutoka source tofauti ambazo watu wamefanya compilation ya matukio ya Arusha kuanzia maandamano, mahakamani, na mazishi. inaonekana ni clips zilizochukuliwa kutumia vyombo mbali...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
WanaJF Huu ni wakati muafaka kwa umoja wa vijana wa chadema kutoa tamko kali juu ya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuunga na kupinga baadhi ya hoja za UVCCM. Pia kukemea hali ya ubaguzi wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana JF Kitendo cha CCM kuwapinga viongozi wa dini ambayo wamepinga dhambi iliyofanywa na CCM katika mchakato wa kupata meya wa Arusha na mauaji ya makusidi ya Arusha ni kuingliza kazi yao...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Lakini nakumbuka 31-10-2010 yalikuwa yanatoka. Angalizo: Nyumba ninayoishi ina bomba la Dawasco. Sichoti maji kwa majirani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MWENYEKITI wa Chama Cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amesema kitendo cha serikali kutaka kuilipa Kampuni ya Dowans ni sawa na ujambazi na kwamba Mungu ameitumia kampuni hiyo...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Ile kesi ya viongozi wa chadema pamoja na wanachama kukusanyika kinyume cha sheria,imepigwa kalenda hadi tarehe 22.2.2011"watu walikuwa wengi sana kuonyesha soliidarity forever,,,
0 Reactions
43 Replies
5K Views
wanandugu,naomba kuuliza, mbona Rizwani hakuwepo kwenye kikao cha jana cha UVCCM wakati wanatoa tamko? yeye hausiki au amekacha ili kumstahi muheshimiwa, maana walichofanya vijana kama kuikashifu...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Kutokana na tamko la UV-CCM na hoja zifuatazo a) Kutaka Kamati iliyo-ongozwa na Mwakiembe ijiuzulu Masikini UV-CCM ile kamati ilikuwa ya bunge na haikuwa ya Mwakyembe..mwakyembe hawezi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
utandawazi wawezakuwa niukoloni kama wazamani. Nawkoloni iliwaondoke nilazima kuwe nawatu watkaodhubutu kama walivyofanya akina NYERERE,NKWAME, LUMUMBA na wengine wengi wa Afrika. Kifanyike nini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom