Viongozi wote wa CCM baada ya uchaguzi wa 2011 wamekuwa wakiimba udini lakini hawaelezei ni kwa nini mwaka 2005 JK alipopata ushindi wa kihistoria hakuna aliyekuwa akilalama na...
Eurobonds are the rage across the continent: Tanzania is looking at a USD 500 million eurobond launch in FY2011-12; and Kenya, Zambia and Angola are also planning.
The funds will be much needed...
Pengine yanayosemwa kuhusu ukaribu wake na wale wanayoiongoza Serikali yake kwa namna moja au nyingine ni watu wake wa karibu sana. Na hii imegusa sasa mihimili yote ya dola na hata ndani ya chama...
Damu ilio mwagika ya wtanzania Chadema isiwe bure,mukitaka kuingowa ccm ni kutumia nguvu ya umma sio chama kwa mkowa.
Nchini Tunisia, maandamano ya Umma yameweza kumuondoa...
Kiongozi mmoja wa CHADEMA amekaririwa akisema hivi:
" In any case, kwa wale wanaojua historia ya CHADEMA hawawezi kupuuza mafanikio ya Mbowe kama kiongozi. Wanaofuatilia mambo ya siasa Tanzania...
Jamani imetosha, watz 2amue nani wakututawala, serikal gani isiyojali wala kuckiliza maon ya wananch wake. Wanachuo wanateseka na kuna eti bodi ya mkopo. Vijana popote tulipo tujipange tafadhali...
I believe the payment to Dowans will be one of the most audacious and contemptuous action by the government against its people. I for one opposes these payments not just because they are illegal...
Why you might ask ?
Hii ni Kizazi ambacho kiko kwenye process ya kumaliza madini yetu bila faida wala kuwekeza kwenye long term investments (viwanda miundombinu etc) our grandchildren will inherit...
Kipima Joto ya ITV cha jana kimezidi kutudhilishia umuhimu wa kufanya madiriko ya uongozi wa nchi yetu. Katika safu ya watu wanaendesha nchi yetu tuna watu wengi sana wa aina ya Tambwe Hiza...
ALIYEWAHI kupambana na Profesa Ibrahim Lipumba kwenye kinyang'anyiro cha kugombea nafasi ya mwenyekiti wa CUF,
Profesa Abdallah Safari, amejivua uanachama wa chama hicho.
Taarifa ambazo...
Kwa niaba ya M/kiti wa CDM Wilaya ya Njombe (mkoa mpya wa Njombe) napenda kuwafahamisha wapenda mabadiliko wote hasa wapenzi, wanachama, mashabiki wa CDM na wananchi kwa ujumla kwamba tunaendelea...
Baraza la Vijana CHADEMA(BAVICHA) linawakaribisha wanachama na wapenzi wa CHADEMA kuhudhuria kwenye Kongamano kubwa na la aina yake litakalofanyika kesho siku ya jumamosi tarehe 22 Jan 2011 katika...
Vijana wa chadema wa vyuo vikuu vya Dodoma kesho watakuwa na maandamano ya amani kulaani mauaji ya raia kule Arusha, kupinga kulipwa kwa Dowans na pia kuongezeka gharama za umeme.
Shughuli nzima...
Kumekuwepo na kasumba kwa waandishi kusubiri viongozi waaite waandishi na kutoa taarifa za 'akiongea na waandishi...' Iwe Tv iwe gazeti. Badala ya kutafuta chanzo cha habari kwa kina wanategemea...
Wakuu,
Mwenendo wa uongozi wa nchi hii umefikia hatua ya watu kulinganisha na computer kwamba rostam ndiye Central Processing Unit (CPU) na kikwete ni Screen. Je, kwa mtazamo wako, kuna mantiki...
TUNIS (AFP) – Tunisian President Zine El Abidine quit on Friday after 23 years in power and fled the north African state as the authorities declared a state of emergency following deadly...
I speak with anger mixed with bitterness. I was not born yesterday, so at least I know some thing. i qualify to speak on this as a Christian, so devoted to my faith that I have learned to be a...
Tetesi kutoka kwa mdau aliyeko moscow anasema wanachama wengi wa ccm tawi la moscow wanahaha namna ya kurudisha kadi za ccm hii ni kutokana na kwamba kadi inatakiwa ipelekwe kwenye chama unacho...
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu...
It is true that investing in education requires a lot of money but it is also true that the price of having illiterate people is too big compared to the price of investing in the education sector...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.