Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu...
Kikwete Mungu akupe neema utambue kuwa watu wamekuchukia gafla!!!!!hasa kwetu Mwanza,ulitudanganya kwamba
''Mwanza ingekuwa Califonia ya tanzania''ukatuona mazoba,na hatusahau ulivotaka...
Kwa mujibu wa tume ya Uchaguzi, Kikwete alishinda Jimbo la Hai na alipishana kwa nukta jimbo la Kigoma vijijini. Majimbo haya ni ya Freeman Mbowe na Zitto Kabwe.
Can anyone explain to me what...
SEVERAL Moshi urban residents have expressed concern over the conduct of the Chadema Secretary General, Dr Wilbrod Slaa, after losing in the presidential race in the just ended general elections...
Tanzanians will go to the polls on 31 October 2010 to elect the President of the United Republic of Tanzania, President of Zanzibar, Members of Parliament and Members of the Zanzibar House of...
Uchakachuaji wa kura uliompa Kikwete ushindi umeleta faraja kubwa kwa mafisadi na kuwapa jeuri ya ajabu kama tunavyoanza kushuhudia. Moja wao, vijisenti, ametoa mpya kwa kubeza tuhuma...
Nilimskiza vizuri huyu mtu hatari anayeitwa waziri mkuu mstaafu (na TBC) wakati akizungumzia masuala aliyoyaita uzushi wa Dr. Slaa.
Alisema "Dr. Slaa hazijui siasa za nchi hii". Wingi wa watu...
Endapo atatoka nje ya wabunge hawa ataitwa mbunge?
1.Members elected from the same number of constituencies
2.Special seats women members
3.Members elected by the Zanzibar House of...
Kuna tetesi kuwa JK ameamua kufanya kweli, baada ya Lipumba kumtambua sasa kumpa uwaziri mkuu au kuunda nae serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuchagua akina Rashid mohamed kuwa mawaziri wa JK nk...
Kwa kulingana na ilani ya ccm, baraza la mawaziri wa Tanzania litakuwa na mawaziri wasiopungua 47, na kwakuwa huwa wana tabia ya kulipa fadhila, haitatushangaza kusikia hata Mama Salma Kikwete...
President Jakaya Mrisho Kikwete has survived the repudiation of his countrymen, but, in a way, he has been humiliated and punished.
The man who won his first term at State House in 2005 with...
Wana JF,
Huwa nashangazwa sana na kauli nyingi za viongozi kukimbilia kuhubiri neno AMANI esp wakati kama huu uliopita wa uchaguzi.
Huwa najiuliza kwanini viongozi walioko kwenye madaraka...
Uganda: Universal Alevel starts next year THE NRM 2011 presidential candidate, Yoweri Museveni, has promised free education for Alevel students starting next year.
Museveni made the...
Haya mambo ndo yanawachanganya viongozi wetu wa africa kuto achia madaraka..
Just imagine hapo angekuwa Dr Slaa sijui angeomba awe na mkewe au Davis M?
Asikwambie mtu kuongoza nchi kuna...
Tuanaalika wanJF wate kufurahia ushindi wa JK na CCM kwa ujumla
baada ya kupewa ridhaa na watanzania
Karibuni wote tufurahia ushindi wetu na watanzania wote
Wakaotaka kuja NIPM
There is no political event more dangerous than a general election. Even in what are called the mature democracies, elections bring out hidden weaknesses in a nations structure that can be...
Ban congratulates JK, Tanzanians for peaceful polls
By The guardian reporter
8th November 2010
United Nations Secretary-General Ban Ki-moon
United Nations Secretary-General...
Sikupenda kuja huku ila kuna hili! Bei za bidhaa mbalimbali zimepanda kuanzia leo.
Kwa mfano maji ya Kilimanjaro yamepanda kwa kati ya shilingi 200 na 300. Je hii ni kufidia gharama za uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.