Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Slaa: Why we gave swearing-in ceremony wide berth Monday, 08 November 2010 By The Citizen Reporter Dar es Salaam. The Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) presidential candidate in the...
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Jamani hili baraza la mawaziri linatangazwa lini? na Raisi anatakiwa kukaa muda gani kukamisha hii process ya kutangaza baraza lake?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nilitarajia kwamba angalau zile kura 350,000 ambazo ukifanya multiplier-effect unapata kama kura milioni 4 hivi, au zaidi, zingeenda kwa yule aliyesema ANAZIHITAJI! Imekuwaje tena?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Halmashauri nane nchini zitaongozwa na vyama vya upinzani baada ya kupata viti vingi vya udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa wiki iliyopita. Halmashauri hizo ni Karatu, Manispaa ya Moshi, Kigoma...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mojawapo ya nchi ambazo utamaduni wa kisiasa ni wa ajabu ni hii ya kwetu!Tunawashangilia wanasiasa bila hata kujiuliza maswali1 tULIOREDHESHEWA orodha ya mafisadi akiwemo Mkuu wa KAYA lakini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HATIMA YA TANZANIA....Kitabu cha Mwalimu Nyerere kilishatuambia... "....Plato, Myunani wa kale, alipendekeza kuwa mafilosofa ndio wanaofaa kuwa watawala wa nchi, maana wana sifa mbili muhimu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dr Willibrod Slaa of the Chadema must swallow his vain pride and accept the verdict of the Tanzanians in the recently concluded General Elections. Despite a few minor glitches that...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Waziri mkuu aliye jiuzu(si kustaafu) E.Lowassa angejua kwamba chochote anachofanya kujisafisha anajiaribia zaidi angefuata ushauri wa bure anaoupata hapa JF.Huwe kuwadhulumu Watanzania...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Opposition MPs First 11: A team of rivals? Following the just concluded general election (which the whole world knows was clearly rigged), Tanzania is set to have a formidable team of around 100...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa chenge hausiki na kashfa ya ununuzi wa radar. Kwanini wanataka kutuona kuwa watanzania ni wavivu wa kufikiri , kama waliouza wamesema kuwa chenge alihusika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kauli ya JK jana kwenye hotuba ya kuapishwa kwake ambapo alikiri upinzani uliwasumbua na ilibidi wajipange upya na kufanya kazi ya ziada ili kushinda uchaguzi huu ulimwelewaje? Mimi tafsiri yangu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu Wana JF, Nimepata taarifa kutoka kwa mtu wa karibu wa maalimu Seif Sharif Hammad ambae anaitwa Mr Ismail Jussa Ladhu kama ilivyo andika kwenye facebook page yake hapa chini. Ismail's...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Hii Habari hapo chini ni safi sana nimeitoa huko ippmedia. 1) Mimi nina support mapendekezo ya a much more independent Electoral Commission 2) Kuungana upinzani ili kuiondoa CCM kwani inanuka 3)...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, Hakuna kipingamizi cha kutufanya wana CHADEMA tushindwe kuyatwaa majimbo haya , moja ya mikakati ambayo CHADEMA wana jadili hivi karibuni watatoa ripoti yao ni juu ya majimbo ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi umepewa ridhaa na wananchi ya kuongoza kwa miaka 50 halafu hakuna jipya huoni haya wala shangazi yake aibu wala mdogo wake soni kutaka muda mwingine wa kuwafukarisha watanzania?Hivi na hao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utawala wa kifisadi hapa Tanzania mlezi wake ni CCM. Ushindi wa CCM hutegemea sana ufisadi hivyo ni vigumu sana chama hiki kuondoa ufisadi Tanzania. Wakati wote wa kampeni hatukusikia wagombea wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pole sana na hekaheka za uchaguzi na majukumu mazito ya kuliongoza Taifa letu. Ni dhahiri kwamba kwa sasa utakuwa unaipanga serikali utakayofanya nayo kazi kwa miaka mitano ijayo. Na hili ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau kuna mtu yoyote anafahamu maana ya hili neno 'makandokando' maana naona ni msamiati mpya na kwa kuwa umetumika kwenye maswala ya kisiasa nimeona niulize hapa na sio kwenye jukwaa la lugha.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom