Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
  • Closed
Jamani nasikia yule mtangazaji aliyewekeana bifu na Mheshimiwa Sugu jina lake limekosewa liko kwenye majina ya viti maalum ya wanawake. Sina uhakika rafiki yangu MS kama yumo au kazi yake ilikuwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tumeshuhudia mengi yaliyotokea kipindi cha uchaguzi, na dalili wazi ya wagombea nafasi kadhaa za uongozi toka chama cha CCM kuangukia pua au kupata mwanguko wa mende tuliutazamia na tumeshuhudia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilisikia kwenye ITV leo 9.11.2010 kwamba waheshimiwa wabunge wetu wanakula kiapo cha utii kuanzia Ijumaa 12.11 hadi Jumanne 16.11.2010. Nilifurahi sana, lakini nilipokumbuka jambo moja furaha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania walipiga kura tarehe 31 Oktoba 2010. Uchaguzi huo ulikuwa muhimu kwa nchi hiyo hasa kwa kuwa chama tawala hakijawahi kutolewa madarakani tangu ilipopata uhuru mwaka 1961...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapo watu ambao wanadai kwamba kura za Urais zimechakachuliwa,kwamba labda Jakaya Kikwete hakushinda kabisa,kwamba labda Dr. Slaa anasema kweli kwamba yeye ndiye aliyeshinda Uchaguzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uchaguzi uliopita umeacha mambo mengi ambayo watanzania tutaendelea kuyakumbuka! Kubwa zaidi ni kuitikisa ngome ya CCM to the core! Sasa nafahamu fika ya kwamba Tanzania bila CCM inawezekana...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu uchaguzi wa 2010 ndiyo huo ushaisha. Raisi kasha apishwa na serikali "mpya" inaelekea kuundwa. Pamoja na tuhuma nyingi za uchakachuaji ukweli ni kwamba hii isha pita na hakuelekei kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu asiye na maono wala uelekeo hata wa kwake mwenyewe... fisadi, fuska, m^*%"X+... wa kazi gani huyo???????????!!!!!!!!!!!!!!!! Chama kisicho na jipya, cha mafisadi cha nini hicho...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo katika pilikapilika zangu za kutaka kuwahi kazini nilikuwa na akili moja tu kichwani, "kununua na kusoma MwanaHalisi". Nikashuka kituo cha daladala. Kituo cha kwanza kwa muuza magazeti...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JK alipokuwa anajibu maswali ya watu wake wa karibu pale Ikulu siku moja kabla ya uchaguzi aliulizwa swali kuhusiana na urithi gani ambao angependa watanzania...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Bunge kwa vyombo vya habari ni kwamba uchaguzi wa uspika utafanyika Alhamis wiki hii na utafanyika chini wa usimamizi wa mbunge mwenye muda mrefu kuliko wote...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninaongea kwa Masikitiko makubwa kama mtanzania mwenye matumaini ya kuona siku moja Mungu anatuinulia kiongozi mwenye kusimamia kwa dhati maslahi ya watanzania maskini ambao ndio wengi. Ishara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ASKOFU wa Kanisa la Evangelical Brotherhood Church Of Tanzania (EBCT), Rabbi Mwakanani, amempoza mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbrod Slaa, kumtaka...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Taarifa zilizotufikia zimeeleza kwamba, Rais wa Zanzibar, Dr Ali Mohamed Shein amemteua Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais, na Balozi Seif Idd kuwa Makamu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nina shauku kubwa ya kujua tutegemee nini kama Watanzania toka kwa Rais Kikwete katika siku zake 100 za mwanzo ....
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi nilipitwa kidogo na huu uchaguzi kwani nchi niliyohamia iko kushoto kidogo na dunia na ni mtanzania peke yangu hapa. Ebu nijulisheni nyie mliopiga kule huko USA, UK, kenya, Saudi Arabia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni jana nimetoka msibani Bukoba. Habari zinasema mbunge wa Karagwe hawezi kukaa jimboni kwake kuepuka hasira za wapiga kura. Migomba shambani kwake imekatwa na yeye amesafirishwa kwa escort ya...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
BAADA ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, Chadema imeibuka kidedea kwa nafasi za ubunge katika majimbo mawili ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi Mkoa wa Shinyanga ,viongozi wa CCM wilayani humo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu wa JF, kuna mwenzetu mmoja ametoa wazo nzuri sana mi nimelipenda sana. Amependekeza kuwa tuunde baraza la wanachadema kwa ajili ya mapambano ya 2015. nafikiri utaratibu huu ukifanyika...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi hamuoni umuhimu wa spika safari hii kutoka Zanzibar?,tokea muungani wa bara na visiwani hilo Bunge ni la wabaraa tuu?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom