Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kiuhalisia Jakaya Kikwete sikumpigia kura, na hata kama atagombea tena kesho kwa kupambana na Dr. Slaa siwezi kumpa kura yangu. Kwa maoni yangu si mwanadamu anayefaa kuwa Rais Imara kwa kipindi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
hili suala la wabunge wa viti maalum binafsi linanichanganya. CCM chadema na cuf wanafurahia kupata wabunge hawa japo wanajua fika wamechaguliwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo (kuwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, baada ya kumalizika kwa shughuli za uchaguzi mkuu kundi kubwa la watanzania wanamshukuru Mungu kwamba uchaguzi umemalizika kwa amani na Tanzania inaendelea kuwa kisiwa cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumaini haujambo na pole udharimu wa CCM dhidi ya kura zako na wagombea ubunge wabunge wa chadema.Mimi nimesikitika sana na matukio ya kifisadi yaliyofanywa na CCM na wagombea wake naamini...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
wakuu! waweza fikiria ni kichekesho!!!!!!!!!!!!!!!!Augustine Mrema ni MP elect,more nyuzi to come!
0 Reactions
80 Replies
10K Views
Hili wazo limenijia leo na nadhani lingekuwa challenge nzuri kwa wanaharakati. Mnaonaje kama tukianzisha database ya wabunge, kwa kusudi la ku-keep track na michango yao na kura zao bungeni. Hii...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Naomba kujua kuhusu Shyrose Bhanji. Amekumbukwa au amechinjiwa baharini tena?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Tume ya Uchaguzi imetangaza nafasi 104 ya wabunge wa viti maalumu kwa mgawanyo wake wa kuweza kuingazia uwiano wa wingi wa kura za ubunge. Hivyo baada ya kukokotoa uwiano wa viti hivyo CCM...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, amemteua Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Maalim Seif amewahi kushika nyadhifa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani najiuliza maswali sipati jibu.hivi umaarufu wa zitto kigoma,ameshindwa kuisaidia CHADEMA kunyakua majimbo zaidi?kwa nini imekuwa NCCR MAGEUZI kinara huko?ina maana Zitto hakufanya jitihada...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Hi JF Hivi wabunge wa CHADEMA waliochaguliwa ni wangapi? Ni yupi si mbunge katika orodha hii chini? 1. Wapinzani walioshinda hawa hapa 1.Halima James Mdee -Kawe/Chadema 2.Tundu Lissu -...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Umeshaoyesha huwaamini viongozi wa CCM, na wa SERIKALI ambao umewateua wewe kwa kufanya BMW campaign, sasa UNAENDELEA KUKAA NAO WA NINI?? Badilika ili kesho na kesho kutwa tukikuuliza swali kuwa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna wanaodai mabadiliko yaliyotokea kwenye uchaguzi uliopita ni matokeo ya ccm kuteleza kwenye kura ya maoni,Wengine wanadai ni matokeo ya watanzania a.k.a Watanganyika kukichoka chama...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
N aamini watendaji wako Mh. Rais Kikwete wanasoma taarifa mbalimbali kupitia jukwaa hili hivyo watakupa salaam zangu. Ninaandika haya kama raia wa Tanzania mwenye nia njema na maendeleo na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa JF, Wakati huu tunapojipongeza kwa kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani bungeni, hususani chama mbadala CHADEMA, na baada ya kufahamu wabunge wateule wa viti maalum...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Maana ya ufisadi kwa mujibu wa uhalisia ni mtu yoyote anaehujumu mapato yoyote,iwe ya serikali,chama,biashara(hata kama ni yako mwenyewe)familia,ushirika na mengineyo,sasa jiulize wewe sio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umati uliofurika unatisha. Ni maelefu kwa maelfu. Vuvuzela za wapinzani wake zilipigwa ili watu wasisikie vizuri lakini wapi, watu wamekomaa tu. Ama kweli Slaa anapendwa. Baada ya kumaliza...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
1. MANISPAA YA ILALA The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage JIMBO LA SEGEREA HALINA MATOKEO, 2.MANISPAA YA KINONDONI The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Katika kutafakari saaana na kuangalia ndani ya CCM kwa wale walio chukua form kuwania nafasi ya USPIKA wa Bunge(10). Nimepatwa na wasiwasi saana, kwani naonavyombo vyote vya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
CHADEMA: Matokeo yetu yamehujumiwa Na Alfred Lucas - Imechapwa 03 November 2010 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatuhumiwa kuhujumu matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom