Miaka mingine 5 ya wizi wa JK na genge lake unaendelea (Part 2) ya JK. Jitaarisheni watanzania kwa wakati mgumu unaoletwa na JK na genge lake la kimafionso, co-starring Chenge, Lowassa na wengineo...
Pamoja na kuwa uchaguzi umeisha na uchakachuaji umeisha, mimi nina swali juu ya aliyekuwa anatunza vifaa vya uchaguzi kuanzia fomu, karatasi za kura na masanduku. Ninajua kuwa vifaa hivyo...
Moja ya strength za ccm kihistoria ni mshikamano wake. Lakini kuanza miaka mitano iliyopita, na hasa mwaka huu kumejitokeza dalili za wazi za kuvunjika mshikamano huo hususan kipindi cha mchakato...
Elimu duni na kutojitawala kifikra kumetufanya watanzania kuwa ngazi ya mafisadi, kila chaguzi zikaribiapo, tazama mtu amekuwa kiogozi tangu mimi nazaliwa na sasa nina umri wa miaka 31 jimbo lake...
Pamoja na wengine humu kukesha tukipiga kelele sidhani kama tutaambulia kitu, mwisho wa mwisho tumempeleka jamaa ikulu sijui kama atamkumbuka MS hata ukatibu kata achana na ukuu wa wilaya...
Tangu matokeo yatangazwe kwa ujumla nimekuwa ninajiuliza maswali mengi sana moja wapo kama wapinzani na wanamapinduzi hawaikubali tume na kwa mfano chadema na dr slaa wamegomea matokeo kuna...
HATIMAYE ndoto ya Jakaya Mrisho Kikwete kuchaguliwa na Watanzania kuongoza Tanzania kwa muhula wa pili wa miaka mitano imetimia.Kwa mujibu wa Katiba, rais anatakiwa kukaa madarakani sio zaidi ya...
Wana JF
Nivema tukaainisha mbinu Chafu CCM ilizotumia na hatimaye kujitangaza washindi, Hii itasaidia kuwapa picha halisi wale wote wanaopongeza ushindi wa CCM na kubeza wapinzani,,,Naamini...
:thinking:
mimi nimekaa najiuliza: hivi kwa nini tume ya uchaguzi - NEC isiwe na database (benki ya taarifa) ya uchaguzi kwa vituo vyote kwa ajili ya transparency na future reference. Mimi siyo...
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu...
Ndugu wanaJFs na watanzania wenzangu wote, kuna mambo ambayo mtu ukiyasikia unaweza kuyanyamazia kwa mshangao. Mengine mtu mwadilifu huwezi kamwe kuyanyamazia. Maana sio tu kuwa yanakera...
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4...
Habari ambazo nimezipata punde ni kuwa kuna uwezekano aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Bw. Lau Masha akafikishwa mahakamani hasa baada ya kukiri mwenyewe kuwa alimpigia simu mgombea wa Chadema...
huyu mwandishi ameelezea mambo ya muhimu sana ,na uhakika jumuiya ya kimataifa imeshatambua maovu yaliyofanyika katika uchaguzi huu.
nafikiri ile hali ya kisiasa iliyotokea baada ya uchaguzi wa...
Baada ya NEC kuhairisha uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Nkenge, Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini, ningependa kujua kwanza kama Chadema ina wagombea huko? Pili, kama inayo...ingefaa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.