Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hata mwehu, tahira, or somebody unschooled at all atajua uwizi huu, haihitaji degree, masters degree or PhD ya kweli maana hapa TZ nyingi fake, kujua uwizi wa wazi huu, wala it doesn't need a...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani mimi nina amini hapa JF kila mtu amepita skuli. Tunaomba uongozi wa Chadema watoe matokeo halisi ya majimbo (kwa kutumia fomu za mawakala). Angalau kwa majimbo 100 hivi. Lengo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba mzitaje hapa for JF reference naanza na 1. Barabara za juu! 2.Tatizo la maji litakuwa historia hapa Dar 3. Lami kuunganisha Mara na Arusha kupitia serengeti 4.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa una uchungu wa kura kuchakachliwa lakini naamini umepata ushidi mkubwa katika uchaguzi huu kwa kuimarisha chama chako na pia kusaidia kutoa wabunge wengi wa upinzani,ni lazima...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
kawanza nawapongeza kwa kuchaguliwa kwenu. Pamoja na majukumu mengine mtakayojuwa nayo, naomba mpaze sauti tume ya uchaguzi iundwe na vyama vyote ili uwakilishi katika chombo hicho uwe wa haki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Elimu ya bure, kupunguza ukubwa wa sirikali, kuangalia upya mikataba, mabadiliko ya katiba, matibabu bure , yote hayo tumeyakataa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nimeipenda hii ya Lipumba kumpa JK ilani ya CUF eti iwasaidie kuchukua mambo! Wao CCM wanayo ya kwao na Lipumba anajua hilo ila Prof kwa ujanja aliitoa ili kuonyesha kuwa CCM hawana sera za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya kufanikisha uchaguzi uchwara na kupelekea wabunge wa CHAMA MAKINI (chadema) kuingia kwa idadi kubwa wengi wao wakiwa wabunge wadadisi na shupavu, CCM sasa walivyo na fikra za kishenzi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mkosamali aingia bungeni na rekodi kibao Saturday, 06 November 2010 09:21 0diggsdigg...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikweli uchaguzi umeisha na wengi wamebaki na majeraha nawengine waliwekeza lakini wakakosa majimbo waliyoyataka!!sasa tutegemee kesi ngapi zakupinga matokeo ya ubunge?je nimajimbo yapi yatakuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Timu ya kampeni ya JK, CCM na NEC wote kwa pamoja wametumia njia ya vitisho ya vita, kufanya kampeni za kuwagawa wananchi kwa udini, kumchafua Dr. Slaa na Chadema kwa kila hali kupitia magazeti...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania, Ni kweli uchaguzi umekwisha kama wengi wanavyoandika hapa na kusisitiza tuangalie ya mbele. Mimi naogopa kusema tu tuangalie ya mbele bila kuangalia tuliposimama. Hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu baada ya kuchakachua matokeo na CCM kujitangazia ushindi wanaharakati za ukombozi na kambi ya upinzani ina kazi zifuatazo sasa: 1; Kupigania katiba mpya inayokidhi mazingira ya vyama...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
wanaharakati vip maapisho ya JF yanaendeleaje. Dk. slaa vip bado kamkazia sura vilevile:peep:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza mh judge lewis makame ajichanganya kwenye kutaja matokeo ya mwisho ya urais.hivi ndivyo alivyosema: valid votes-8398394 mziray-96933 kikwete-5276827 slaa-2271941...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Tanzania Daima yaripoti ya kuwa Mbunge wa zamani wa CCM Rita Mlaki ameitaka serikali ya chama chake kutoyapuuza madai ya Dr. Slaa kwa kuyafanyia kazi na kuyapatia ufumbuzi haraka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF, Kwa maoni na utafiti wako, ni kwa nini CHADEMA wameshinda majimbo mengi kuliko 2005 na kupata zaidi kura za Urais kuliko 2005? Naomba kuwakilisha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF; Tofauti na Uchaguzi Mkuu Wa 2005 katika Uchaguzi wa Mwaka huu 2010 JK amepata ushindi wa asilimia 61%+ ukilinganisha na 80%+ aliyopata 2005. Pia CCM imepoteza majimbo mengi kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kweli kulikuwa hakuna Uchaguzi ,saa ingine utabiri inabidi uuangalie kwa kina ,ukiangalia mtokeo ya Uchaguzi na yaliyotangazwa ,kwa weli yaliyotangazwa ni mengine kwa maana hiyo uchaguzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wajumbe; JK ameshatangazwa kuwa rais wa Tanzania baada ya matokeo kuchakachuliwa; ila nina hesabu kidogo; Amechaguliwa kwa 26% ya kura zore 20Mili zilizositahili, na assume yeye ndiye ametumia...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom