Nimeona wanaingia wageni wa kada mbalimbali, nimemwona Ridhiwani Kikwete. Loh! Nimemwona pia mama Salma Kikwete, mtangazaji anasema yupo na watoto wa rais, wapo kama 12.
Pamoja na NEC ya CCM kuchakachua matokeo na kumtawaza JK ambaye siyo chaguo letu, imehabarishwa na gazeti MZAWA la leo kuwa Chadema kuongoza Halmashauri 13 na baadhi yake ni Muleba, Arusha...
Ushindi wa ccm siku zote ni ushindi wa misukule,ushindi wa kiini macho,ccm hawawezi kushinda bila kuchakachua kura,watanzania tuamke,tunahitaji ushindi halali ili tuepuke yale yaliyotokea kenya na...
Total Population in Tanzania: about 35 M
Eligible population for voting: estimates from NBS projections 47% of the population about 16 Million above the age of 18.
Those who registered for...
Ndugu zangu wana JF, kwa maoni yangu nadhani wanachama wa CHADEMA wanaweza kutemba vipya juu kwamba wanakubalika Tanzania. Nasema hivyo si kwamba tumeshinda uchaguzi hila tumepata kura nyingi kwa...
Pamoja na nec kueleza kuwa iliweka mikakati ya kuwasaidia watu ambao hawakuona majina yao, bado idadi inahisiwa kuzidi million nnne ya waliokosa kupiga kura kwa kukosa kuona majina yao.
Tusilaumu...
Ukifuatitilia kwamakini utakuta kuwa majimbo yote yaliyokuwa icu upande wa ccm na yakachakachuliwa kuyarejeshea oksijen, mzee marope ndiye aliyetia timu na kulazimisha kutangazwa matokeo tofauti...
Hongereni wanaJF wote na moderators kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi zima la uchaguzi kwa namna yeyote ile. I am sure JF has been influential and effective katika huu uchaguzi zaidi hata ya...
WanaCHADEMA HAKUNA KULALA, VIJANA TUJITOKEZE KUCHUKUA MAJIMBO AMBAYO YANAONGOZWA NA VIHIYO WA CCM. MIE NGUVU ZANGU NIMEZIELEKEZA BABATI MJINI MWAKA 2015. WASOMI TUSIPENDE KUNG'ANG'ANIA MJINI...
The East African Court of Justice said it was ready to handle post election cases from the Communitys member states as long as their lawsuits are in line with the EA Community Treaty...
Nipo maeneo ya Longido na kuna wamasai wa jimbo la Ngorongoro wamenieleza kitu kilichoniuma sana. Waliniambia kwamba JK hakufanya mkutano wa hadhara Ngorongoro ila aliwaita faragha ma-Laighwanani...
Bunge lilokwisha CCM ilikuwa na idadi ya viti 80.Je kwa bunge lijalo watakuwa na viti vingapi kutokana na JK kupolomoka asilimia ya ushindi kutoka 84%- 61% Je cccm imekula kwao au ????
Ukifuatilia kwa makini siasa nchini tangu uchaguzi wa 2005 hadi 2010 utagundua kuwa idadi ya wananchi wengi walioipigia CCM kura mwaka 2005 wameipigia kura CHADEMA mwaka huu.Hii imechangiwa sana...
Ndugu zangu wazalendo wa nchi hii,
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini mkubwa mwenendo wa matokeo ya uchaguzi kutoka maeneo mbalimbali hususan kwa nafasi ya urais. Kwa wale wenzangu walioanza...
Jimbo la Muhambwe ambalo limebebebwa na NCCR-MAGEUZI huenda likaamuliwa na mahakama kuu baada ya mgombea wa CCM kuamua kujitosa mahakamani kudai haki yake kama ipo..................SOURCE: Habari...
wanaJamii,
baada ya serikali ya Umoja wa kitaifa, CUF gani tuitegemee katika bunge na baraza la wawakilishi 2010 - 2015, Je wabunge wa CUF hawatakua rubber stamp tu kwa sababu chama sasa, kwa...
Jana Prof.Lipumba aliongea jambo la maana sana...42%is the total # of those who voted,kwa ninavyoelewa a president must be voted to a 50% and above(majority)sasa,this wud mean uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.