Ni kweli yawezakua hawa mafisadi walifanya uchakachuaji wa kura za uraisi.
Lakini hata hivyo kulingana na vyama vya upinzani kutokua na umoja na nguvu ya pamoja hawakuweza kufika hadi vijijini...
By John Kulekana (AFP) 2 hours ago
DAR ES SALAAM Tanzanian President Jakaya Kikwete was re-elected with 61 percent of the vote, electoral officials said Friday, in a poll marked by low...
Source: Mwanahalisi: Jumatano, Novemba 3-9, 2010
NEC inatuhumiwa kuhujumu matokeo ya Uchaguzi kwa lengo la kukinyima ushindi CHADEMA.
Madai hayo yamo katika barua ambayo CHADEMA kiliwakilisha...
Mawakala wa chadema wanadai kwamba karibu kura zote zilizoharibika zilikuwa za Dr. Slaa! Wamedai kuwa ukimpigia Slaa kwa kuweka tick, wanaccm wanakoleza wino hiyo sehemu halafu wakati wa kuhesabu...
CCM yaanza kumeguka
Katibu UWT Maswa atimuliwa
SIKU tano baada ya kumalizika uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani, huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikinyakua...
Huo ndo ushindi wa tsumani, mhhhh!!!!!!!!!!! anyway, let's wait may b atabadilika this time. Tuombe Mungu na wakati huo nasisi tuendelee kufanya kazi kwa bidii.
God bless TZ as he blessed George...
Kama kilaza {kikwete} ataapishwa na kuwa raisi, inamaanisha kwamaba chadema hawakuwa na la kufanya ilkumuondo asiwe rais kwa mujibu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.
Kwa upande wa dr wa ukweli...
Now that JK is back, I'm no longer afraid of xenophobia.
Fellas, it's time to celebrate.
Go CCM
Go JK.
It's business as usual. Nice try, Dr Chadema!!
How do you like us now?
:peep:
Kuna watu wanaonekana kushabikia au kumlaumu mpiganaji Slaa kwa kusema kuwa kura zake zinachakachuliwa. Nia ni kupunguza idadi ya viti maalumu kwa upande wa Chadema ili CCM iweze kuingiza wanawake...
Kwa umakini walio nao wabunge wapya wa chadema nina imani watalitawala bunge kwa 90%, maana wabunge walioingia tripu hii wamenikonga moyo, MDEE MNYIKA MBOWE,KABWE, LISU,ktk safu ya ushambuliaji...
ameshinda wakaiba, unataka ushahidi, huu hapa
waliojiandikisha mil 20
waliopiga kura baada ya kuchakachua mil 8
jk kapata 5 mil
dr slaa 2 mil
waliobaki wote wako wapi? Nasema rais wangu dr slaa...
Conclusive remark ya JK kuwa wote ni washindi does he really mean it au ndo copy and paste ya kutoka kule Zenji
If the statement is truly from the bottom of his heart then I salute him for that...
Kwa mazingira ya kisiasa ya sasa nchini ni kujidanganya kuwa kiongozi wa upinzani anaweza kuwa Rais kupitia njia ya kura. Kwa hiyo yeyote aliyetarajia kuwa Dr. Slaa angekuwa Rais ama hayafahamu...
Prof. Lipumba ambaye sasa ameteremka katika idadi ya kura zake na hata kushindwa kupata kura milioni moja pale NEC ilipotamka alipata kura 695, 667 au 8.06% aliujulisha umma wa watanzania ya kuwa...
JK kapata 26.2 ya wapigakura wote na wagombea wa upinzani kwa Uraisi wamepata 15% na ukizijumlisha zote vyama vya siasa vinakubalika kwa 41%. Hii inamaanisha kuna wapigakura 59% ambao...
Bunge lilokwisha CCM ilikuwa na idadi ya viti 80.Je kwa bunge lijalo watakuwa na viti vingapi kutokana na JK kupolomoka asilimia ya ushindi kutoka 84%- 61% Je cccm imekula kwao au ????
Ninaunga mkono kitendo cha Slaa(PhD) kutohudhuria kusikiliza usanii wa tume.
Hii inadhihirisha wazi kuwa PhD ya Slaa si ya kuchakachua kama ya Mkwere na Benson Bana
Ni matumaini yangu wadau, kuwa kila mpenda amani na nchi hii anautakia ushindi wa Jakaya Kikwete mema, fanaka na matarajio mazuri kwa kipindi 2010 - 2015, hongera sana.
kumbuka kutimiza kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.