Naamini kuwa Kikwete, iwapo atatangazwa kuwa rais wa Tanzania kwa miaka mitano ijayo atakuwa mkweli na kuonyesha heshima kubwa kwa Watanzania wote, waliompigia kura na wale ambao hawakumpigia kura...
Kufuatia kauli aliyoitoa dr slaa kua hawatakubaliana na matokeo ya uraisi na ubunge kwa kile anachokidai kua kuna wizi wa waziwazi umefanyika. nategemea yafuatayo yafanyike kama kweli anataka sisi...
Tume ya uchaguzi Tanzania yakataa dai la upinzani.
DAR ES SALAAM
Tume ya taifa ya uchaguzi nchini Tanzania imelikataa dai la chama cha upinzani kuhesabu upya kura, kwa sababu wanadai kumekuwa...
Kwa wale waumini wanalijua hili,
kila unachowafanyia wenzio Mungu anakulipa hapahapa Duniani, na anakupiga kwa mapigo ya nguvu SABA, na utaratibu ni kuwa unapigwa pigo moja na kama haujasimama...
imeandikwa' yeyote anayeunga mkono ugaidi naye pia ni gaidi' kitendo cha ccm kuiba haki ya watu ni zaidi ya ugaidi. lakini kwa kuwa wabunge wa chadema wameishasema kura za wananchi zimeibiwa na...
Good day all,
Jamani, tuandikeni na kupambanua kisiasa, yale yanayofanya tuonekane 'great thinkers', tukumbuke kuwa ni watu wengi wangependa kila siku kuwa nasi kwa forum yetu. Let us try to...
Nampongeza Shein kwani najua kinachokwenda kufanyika kule Zenj,, na kama tusipo angalia watatupiga gape siyo kwasababu Zanzibar ni ndogo bali kwasababu ya selikali ya mseto..
Hongera sana Shein...
mgombea wa ubunge kwa tiketi ya ccm stephen masele shinyanga aemtangazwa kuwa mshindikwa kupata kura 18570 fdhidi ya mgombea wa chadema philip shelembi aliyepata kura 18569
Tofautiyake ni kura...
Nimekuwa nikifatilia matokeo ya urais kwa makini,kuna mambo mengi yametokea,kama kuaribu kura za dr slaa,wizi wa kura,mpaka ikafikia watu waliopiga kura hawakuvuka aslimia 30,ikiwa ina maana kuwa...
I wish Kikwete akiingia madarakani awaingize mawaziri wasio perform kama akina Masha, Kamala, n.k ili mabadiriko tunayoyataka hata vijijini wayaone. Yaani ikiwezekana ampe Rizwani Uwaziri tu ili...
Waheshimiwa wana JF na Watanzania Makini:
Nimeumizwa vibaya sana moyoni mwangu kutokana na mkao na mwenendo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa jinsi ilivyofanyika NGUZO ya kati ya CCM katika...
Thursday, 04 November 2010
Exuper Kachenje, Mwananchi
TIMU ya Waangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu (Temco) imetoa tathmini yake ya awali kuhusu uchaguzi huo uliofanyika Oktoba31, ikionyesha kuwa...
Wana jf nakumbuka 2005,wakati huo hata nilikuwa sijui nn maana ya mtandao(wafitini).magazeti mengi yalinunuliwa kuwachafua wengne,kama sumaye,mwandosya na aliyekuwa akitarajiwa na wengi kwa...
Tuseme kuwa Jk atakuwa mtawala wa Tz. kwa kipindi cha 2010-2015.
Nimetambua kuwa Tanzania tunajihangaisha kufanya uchaguzi ili kupata viongozi kumbe Tanzania hatuna viongozi bali Watawala. Hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.