Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimeshangaa kuona Maalim Seif hakuapishwa jana. Nilidhani kuwa yeye kama makamu wa raisi ktk serikali ya umoja wa kitaifa alitakiwa kula kiapo. Naomba mnifahamishe wenye kulifahamu swali hili.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Watu kadhaa kwenye basi moja walikuwa wakijadiliana yaliyojiri Shinyanga; mabomu, vurugu, nk. Wanasema, '..kabla ya kupiga mabomu wanasea, WANANCHI LALA CHINI, NA BAADA YA HAPO MJIOSHE NA VITAMBAA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
NEC inaendelea kutangaza matokeo ya majimbo 63 ya uchaguzi yaliyobakia kwenye vyombo vya habari sasa hiv, source star tv
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu Watanzania wenzangu wapenda nchi yetu iliyotukuka! Mungu wetu alipoiumba dunia hii alikusudia viumbe wake wote wafurahi bila kuoneana. Kwa kufuata msingi huu, katika katiba za makundi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Duh hii nyomi ya Mwanza ilikomaa kinoma kwa matokeo ya Nyamagana kwa kweli Jk na Masha wangeiforce matokeo ingekuwa dhahama....Jionee mwenyewe kwa kweli iko siku haki ya Mtanzania itapatikana tu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama raia wa kawaida itakupa picha gani kama Rais wako akiwarudisha watu ambao walishindwa kwenye kura za maoni za CCM like "kamala" na wale walioshindwa kwenye kinyang'anyiro chenyewe cha kura...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Uchaguzi huu wa mwaka 2010, uwe mwanzao wa watanzania kukataa nchi yao kugeuzwa kuwa ufalme kwa misingi ya kwamba wachache (Kikwete, Lowasa, Chenge, Mramba, Karamagi, Rostam) na wengine wasiozidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mrema ataka apewe "ile Wizara yake" chap chap! 04/11/2010 0 Comment(s) Baada kutangazwa mshindi wa Ubunge kwa jimbo la Vunjo, mbunge mteule kwa tiketi ya Chama Cha Tanzania Labour Party, TLP...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
JIMBO LA LUPA CHUNYA LIMECHUKULIWA NA CCM, NA WALE MAAFISA WA UCHAGUZI WALIOTUHUMIWA KWA UCHAKACHUAJI NA KUSHIKILIWA NA DOLA WAMEACHIWA BILA MAELEZO YA MAANA :peep:
0 Reactions
20 Replies
3K Views
kuna mwenye matokeo ya mpanda kati ambapo makamu mwenyekiti wa CHADEMA anatetetea jimbo lake hilo au bado CCM wanachakachua au wamehairisha uchaguzi jimbo hilo? WANAJF naombeni majibu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
tetesi nilizozipata kwa siku nzima ya jana kufuatia matokeo ya utata yaliyotangazwa kwa mizengwe ubunge kwa jimbo la kibaha mjini ni kama ifuatavyo: kasheshe ilianzia kwenye kura za maoni za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ripoti inatukumbusha nini?
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Leo TBC Wameanza rasmi vipindi mfululuzo vya kuwaandaa wananchi kuyakubali matokeo....kwa mtu aliyesomea mawasiliano atagundua pia kuwa kampeni yao inahusisha kuonesha image mbovu kwa vyama vya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
NEC itabidi wakumbuke kwamba "government of the people, by the people, for the people, shall not perish from the earth." Nguvu ya UMMA ni shuguli nyengine kabisa.....hakuna mtu anayeombea...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
KWELI MWAKA HUU NIMESHUHUDIA MENGI YA KUSTAJAABISHA WANACHAMA WA SISIEM WALIKUWA WAMEJUA KUWA WAMESHINDWA VIBAYA UCHAGUZI HUU NA HIVYO WALIKUWA HAWASHEREKEI KABISA MPAKA MAMBO YALIVYOWEKWA SAWA NA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wamemvisha mbuzi suti na kuwaambia watanzania kuwa huyo ni mtu, sis itunasema SIYO MTU. Hakuna shaka kuwa watanzani wengi wenye mapenzi mema na nchi hii wamefuatilia kwa karibu sana pilika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uchaguzi wa mwaka 2010 umekuwa somo kubwa sana katika maisha yangu. Baada ya kuishi miaka 30(umri wangu) katika maisha ya mazoea na kukata tamaa, sasa nina amini nchi hii kuna watu wanaoweza...
0 Reactions
73 Replies
6K Views
  • Closed
nIMESIKIA redion AFANDE KOVA anatuambia kuwa wapelelezi wake wamegundua kuwa kuna watu wanaandaa watu kufanya fujo.Hivi jamani upepelezi gani huu wa polisi mntangaza kama vile ni maandalizi ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wananchi wa tarime wamedai kuwa watamkataa kwa njia wanayoijua mbunge mteule wa ccm , nyangwine! msemaji wa kamati maalumu itakayohakikisha kuwa azma hiyo inatekelezwa haraka na kama...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Nasikia vijana sugu wa Arusha wanaandaa coster na cruiser za kumwaga ili kwenda kushuhudia mp mteule shujaa G.lema akiingia mjengoni.watu wa A-city tupeni details.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom