Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
CCM mnatuambia nini kuhusu hili? @ Slaa, the country is behind you, tusikubali kunyang'anywa haki yetu, JUSTICE DELAYED IS JUSTICE DENIED!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Iwe kweli au sio kweli hali inabaki kuwa JK tunaye for the next 5 years Insha Allah Nini kifanyike ili huu uchakachuaji wa safari hii usijirudie tena na watu wapate haki? We know they have good...
0 Reactions
1 Replies
941 Views
Mteketa ametangazwa mshindi wa kilombero ila mungu yupo na adhabu yao naona mungu ameshaipanga ole wao
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM pale Chimwaga, Dodoma, wakati wa kupiga kura za kumteua mgombea wa Urais kupitia chama hicho kwa Uchaguzi Mkuu wa 2005, baadhi ya wajumbe waliokuwapo kwenye Ukumbi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ITV imeripoti ya kuwa mgombea ubunge wa NCCR MAgeuzi ambaye alipitwa kaw kura takribani elfu moja na yule wa ccm aliingia mitini baada ya majumlisho ya pili ya kura na hivyo kugoma kusaini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF leo katika kufuatalia matangazo ya kuapishwa Raisi wa Zanzibar nimeona jamaa yetu Komandoo hali yake si shwari! Sijui ni nini kinamsibu komandoo wa watu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
By Charles Onyango-Obbo Send Cancel Bottom of Form Posted Monday, November 1 2010 at 12:33 The votes in Tanzania’s October 31 election were counted well before the vote, according to critics...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya Dkt Shein kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar leo, Tanzania kwa sasa haina Makamu wa Rais! Hapa Katiba haijavunjwa wandugu? Tujadili!
0 Reactions
47 Replies
5K Views
baada ya dk slaa kunyang'anywa uraisi kwa hujuma ya ccm ya kugeuza matokeo na viti vingi vya ubunge chadema kupokonywa isivyo halali inabidi chadema ijipange kuanzia leo kwa ajili ya uchaguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu, MTOTO anayetegemea maziwa toka titi la mama anafanyaje anapolikosa? Jibu lake; mtoto huyo atahangaika sana, na kama ataliona titi lingine, atalishika alinyonye, hata kama si la...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama. Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini? 1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Ningependa kufahamishwa njia inayotumika kumpata Kiongozi wa upinzani Bungeni. (Ni kwa upinzani wenye viti vingi au vyama vya upinzani vyenye viti bungeni vinaweza ungana na kumchagua kiongozi wao?)
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani maandalizi ya wizi wa kura yanaanzia mbali. Labda ndiyo sababu CCM huwa wanajitapa kuwa mbinu zao ni za kisayansi. Gazeti la THE CITIZEN la Ijumaa, tarehe 29/10/2010 lilichapisha takwimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"No.6 Joseph Mbilinyi a.k.a Mr.2 Sugu asieogopa kuongea ukweli popote hata kama kuna hatari ya moto na mabomu, Tunahitaji Spirit zaidi za aina hii. Hatimaye muziki wa Tanzania utapata wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sitayatambua matokeo ya urais - Dk. Slaa Send to a friend Wednesday, 03 November 2010 05:18 digg Dk Willbrod Slaa MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUTOKANA NA MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MONDULI FISADI LOWASA AMEPATA KURA 32,362 NA MGOMBEA KWA TIKETI YA CHADEMA AMEPATA KURA BWANA MOLLEL WA CHADEMA AMEPATA KURA...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
kwa nini wakubali kutawaliwa na wasiokwenda shule??? waliekwenda shule wanashinda nje ya Jimbo la Rorya..hii haijaka sawa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu. Nimefurahishwa sana na jinsi Mhe Slaa alivyobadilisha mizania ya kisiasa Tanzania. Hata hivyo siridhiki na baadhi ya mambo. 1. Ushauri uliotolewa wa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Daniel Mjema,Moshi MBUNGE Mteule Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP),Agustino Mrema, Jumamosi wiki hii atafanya mkutano mkubwa wa hadhara kutangaza mambo atakayowafanyia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamvi, Jana usiku nilikuwa natazama BBC,Skynews na Aljazeera vyote kwa pamoja vimeipa umuhimu wa juu kabisa ushindi wa Mheshimiwa Salum Bar'wani mbunge mteule wa Lindi mjini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom