Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Lindi Mjini na Ifakara ni mfano wa kuigwa. Vilevile vyama vya upinzani vimeonyesha wazi kuwa vina sera za kuwajali walemavu. CCM wao wanaona walemavu ni watu wa kupewa ubunge wa mezani, yaani viti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Of all the 7 constituencies,all have been taken by CCM PERAMIHO JENISTER MHAGAMA CCM JOSEPH MHAGAMA CUF TUNDURU KASKAZINI RAMA MATALAMATANI CCM 19,573 MAZEE RAJAB MAZEE CUF 17,365 LAMBI ABDALLAH...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
WASIMAMIZI WATATU WA UCHAGUZI CHUNYA WAMEWEKWA NDANI KWA TUHUMA ZA UCHAKACHUAJI, HABARI KAMILI ZINAMTAJA AFISA ELIMU KILIMO BWANA MBULULE NA AFISA UKAGUZI NA MHUSIKA MWINGINE AMBAYE HAJAFAHAMIKA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
They have been running the country since 1961. Making them responsible for uchumi wa nchi na maendelo ya taifa. Hali ya mTanzania wa kawaida hairidhishi sana, bado kuna umasikini. Na pia kuna...
0 Reactions
0 Replies
662 Views
taarifa nilizo nazo ccm na tume wanamtangaza abdul mteketa kuwa ndie mshindi wa jimbo hilo licha kuwa takwimu zilizopo ambazo ccm kwa nguvu ya dola wamezichakachua regia alimshinda mteketa kwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani Wanasegerea anayefahamu sangoma wa ukweli aseme tuchukue proforma invoice, tuchangishane, tununue ndumba tummalize huyu jambazi Makongolo Mahanga. Sikubali kama ameshinda kihalali. Bora...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mbunge albino ni wa jimbo gani,hongeraa sana katuwakilishe
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Regia Mtema mgombea kupia CHADEMA anaongoza kwa mbali sana dhidi ya mgombea wa CCM Abdul Mteketa. Katika vituo 18 Regia anaongoza vituo 14. Matokeo zaidi baadaye.
0 Reactions
160 Replies
23K Views
Nimefurahishwa sana na demokrasia ya Tanzania, inakua kwa kasi nzuri sana... nimepata raha kuona NCCR wanapata viti vya ubunge. CUF pia... yes wananchi ifike mahali chama kikisemamisha mtu ovyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanaJF, haya ndo wanataka CCM kila sehemu walikofanya vibaya. Bofya hapa ushuhudie mwenyewe!! - Home
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu, Vita vya ufisadi mbado vibichi kabisa, nasema hivyo baada ya matokeo ya Uchaguzi yanaonyesha wale watuhumiwa ambao walihusishwa na tuhuma za Richmoond, Rada, Kagoda, EPA nk...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HABARICOM - live streaming video powered by Livestream ENJOY
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wana jf sijapata matokeo ya kalapina naomba mwenye habari zake atupashe
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wasimamizi watatu wa uchaguzi chunya wamewekwa ndani kwa tuhuma za uchakachuaji, habari kamili zinamtaja afisa elimu kilimo bwana mbulule na afisa ukaguzi na mhusika mwingine ambaye hajafahamika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natumai nyote mko salama. Ushauri wangu kama raia mwema kwenda kwako Rais Kikwete, Nakushauri kwa nia njema kabisa , tafadhali jaribu kuangalia mbali kidogo kutoka ktk pua. Ushauri wenyewe...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani kitendo cha huyu Mkwere kukiua CCM kwa kufanya ni chama cha familia, kuwakumbatia mafisadi, kuuza migodi kwa wageni nk ni kitendo cha kuungwa mkono sana maana bila kufanya hivyo 1.Zingetoka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
:A S cry:Ina maana watu wengine mnataka tuendelee kuumia kwa miaka mingine mitano (5).:sad: Tukumbuke kwa jinsi hali ilivyo bungeni sasa CHADEMA tuna wabunge wachahe ina maana tukitaka kupitisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mpaka sasa chadema ina viti 23 ukilinganisha na wabunge wa5 wa bunge lililopita.Hii ni baada ya kuchakachua huko kigoma mjini,songea mjini,mbeya vijijini,mbozi magharibi,kilombero,segerea na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I hear a voice in my soul about presidential elections 2010. NEC announces results in favour of JK in terms of magnitude of votes. NEC will finally announce JK as a winner with highest percentage...
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Jamani mnasikia habari za mama (AFISA MTENDAJI KATA YA TABATA) alivyokamatwa na karatasi (form za kujaza matokeo). Hii habari hiko live ITV hebu mwenye data arushe zaidi. Mama yuko Polisi na...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Back
Top Bottom