Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Dr. Slaa hatoshinda ktk uchaguzi huu kutokana na sababu zifuatazo.. Hofu ya kuibiwa kura. Kuchelewa kutangaza nia. Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo. Nk.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wabodi, Wabunge wateule tayari wameshatinga ndani ya nyumba-mtandao! Unaweza kuwashuhudia http://www.parliament.go.tz/bunge/elected.php Hiki ndicho NEC walitakiwa kukifanya tangu Jumatatu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Napenda kuchukua nafasi kwanza kuipongeza jf kwa kazi nzito inayofanya,kweli mmetupeleka hatua 100000......... mbele sasa watanzania wengi wanaifahamu na kufuatilia mambo mengi kupitia hapa,nina...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hili swala la kuchakachua matokeo waziwazi,ambalo linafanywa na ccm,(chama cha mafisadi)mwisho wake ni nini?Au wao wanafikiria kuwa kila siku ni jumamosi au jumatatu?Watanzania wa leo (2010) siyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
...jamani siamini masiko yangu....ati CHENGE....a.k.a VISENTI ameshinda BARIADI......hivi wananchi wapo wanaishi huko....au tumeingiliwa....
0 Reactions
0 Replies
797 Views
jana prof alikuwa akivinjari ktk mitaa ya moro kwa mara ya mwisho. msururu wa pikipiki na magari ulimsindikiza ktk mitaa ya manispaa ya morogoro. watu wakimwita rais nae alipunga mikono akikubali...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sasa Rais wetu JK anakalibia kuapishwa JWTZ HIma Himaaaaaaaaaa...............malizia Mpaka sasa 80%
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MISSION: To safeguard democracy and maintain integrity of Electoral System in the country by co-ordinating and supervising voter registration, constituency demacration and election related...
0 Reactions
3 Replies
997 Views
Habari zenu wana JF, Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo ya nchi yangu nmekua nikijiuliza maswali mengi sanaa kuhusu nchi yangu na at times nakosa majibu kabisaa.Huwezi kuifikiria tanzania bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mbona sipati matokeo ya urais majimbo haya, HAI, MOSHI MJINI, ARUSHA MJINI, KARATU, ILEMELA, NYAMAGANA, BIHARAMULO, KIGOMA, MBEYA MJINI, IRINGA MJINI, UBUNGO, KAWE,BUKOMBE, SINGIDA MASHARIKI...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DK HARRISON MWAKYEMBE CCM 41,214 2 YUSUF KASANDE CUF 336 3 EDDO MWAMALALA CHADEMA 3,964 Ushindi wake ni wa 90.55 % ni mfano wa kuigwa
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuendelea kuikumbatia ccm kulikooneshwa na watanzania licha ya ulaghai wa miaka nenda rudi nimekufananisha na maudhui ya wimbo wa mwanamuziki machachari wa kimarekani eminem unaosema i love the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hatimae imefahamika kwamba kumbe ile tuliyokuwa tunaambiwa ni saa ya ukombozi ama ni ya kichina au iliwekwa betri za kichina baada ya kuonekana mwendo wake kusuasua kiasi cha kutishia ule...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika mizani nawe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Namshauri Mh.Lowassa katika kufanikisha harakati zake za kujisafisha aandae kongamano katika kanisa lake na kutangaza kutubu waziwazi na kuahidi kurudisha mali yote aliyopata isivyo halali kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tanzania Daima la leo limeripoti matokeo haya ya awali pamoja na utata wa uhalali wake CCM imemgwaya Dr. Slaa kwa mchango wake katika kupanua demokrasia hapa nchini...........
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hapo tunasubiri matokeo yapi? Wenye kujua nipeni habari?
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
KUNA NNINI KARAGWE:cool:
0 Reactions
0 Replies
934 Views
There are currently 8601 users online. 1247 members and 7354 guests Most users ever online was 16,925, 1st November 2010 at 04:40 PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom