:israel::israel:Habari za Alasiri wanaJF.
Nimefurahishwa na ninaendelea kufurahishwa na matokeo ya upinzani kwa ujumla wake. Sikuzote naamini katika uaminifu na Uwajibikaji, kwa jinsi matokeo...
Heshima mbele
Mkuu ulianzisha topic ya uchakachuaji hauwezekani tz,nikapata shock mpaka ikafikia hatua ya kukuuliza lini ulikua mara yako ya mwisho kupiga kura tz au kusimamia uchaguzi.
Ivi...
Hawa vijana wamepata umaarufu kupitia vijana wenzao tukaacha muziki wa kimagharibi na kununua kazi zao za sanaa na kuhudhuria matamasha yao leo hii wanatuona sisi hatunazo na MIRAJI na BABA yake...
Kama kweli uongozi wa nchi unatakiwa kutokana na matakwa na mapendekezo ya wananchi , basi kuna haja gani ya kuwa na lundo la WABUNGE WA KUTEULIWA? isitoshe baadhi ya hao miongoni mwao wanakuja...
Partial election results Monday indicated a close race between Tanzania's ruling party and two challenging parties as the president of the relatively peaceful east African nation sought a second...
Kwa wote mnaofahamu ufisadi mkubwa unaofanywa na January Makamba na Ruge Mutahaba, cha kwanza mtakachokifikiria ni Issue ya No More Malaria. Kusema kweli hili swala sijui ni kwa nini vyombo vya...
Nimeskiza mahojiano ya kati ya watu wa radio one na Bwana Samuel Sitta.
Analalama utaratibu wa NEC wa kutaka "matokeo yajumuishwe kwenye majengo imara ya serikali". Anasema ndo chanzo cha...
Kama mtaikumbuka vizuri historia katika chaguzi mbalimbali zilizoihusisha CCM, ndani na nje ya chama chao hawa jamaa hawajawahi kufanya uchaguzi wowote ulioisha salama bila tuhuma zozote...
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama.
Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini?
1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Lissu na Mnyika wayalipue...
Wakuu muda si mrefu Kinana ametangaza kuwa Wapinzani watapata viti vya ubunge 51 tu Bara 29 na Zanzibar 22 wakati bado kura zinahesabiwa au ndo njia sawa na ile wanaotumia kutangaza matokeo ya...
Nimependezwa na Majina ya wapiganaji walioingia BUNGENI kupitia chama cha chadema.....tunatangaza kusimamia utawala wa haki ,sheria na uhuru wa wazawa. Kikosi kinajitosheleza sana kuleta...
wana ccm wahaha kumuomba aliyekuwa mgombea kijana kabisa na machachari wa chadema Mh. Habib Mchange asitishe wazo lake la kupinga matokeo. yadaiwa mawasiliano yafanywa kutoka uongozi wa juu wa...
Hivi kweli wadau katika vuguvugu hili la mageuzi kuna mwananchi atapigia kura Mbunge wa CHADEMA halafu kura ya Urais apigie CCM? ndiyo inawezekana lakini siyo kwa idadi kubwa kama ambayo NEC...
Ukiacha kufanya vibaya kwa CCM ukilinganisha na chaguzi zilizopita, kuna picha mpya ya upigaji kura inajitokeza. Kuna kila dalili kwamba huko tuendako watu watakuwa wanachagua mtu kutokana na...
Ndugu wadau mwenye taarifa ya matokeo jimbo la Ukonga tunaomba rusheni hapa. Mbona kimya sana kule? Chadema ilikuwa na nguvu sana kule wakati wa kampeni. Hebu kieleweke wadau!! Mnyika mambo sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.