Wakati Zanzibar Wakiendelea na Ubishi wa Mafuta yao, ambayo hawajawahi hata kuyaona wala kufanyia utafiti !!! Wataalam wa TPDC ( Tanzania Petroleum Development Corporation )...
Jamani jambo jema ni kuwa, muda huu nimetoka kuongea na Mwalimu wangu wa shule ya msingi ambaye ni msimamizi wa uchaguzi. Anasema tayari wapo kituoni wakiandaa mazingira ya upigaji kura na...
Wakuu Mama Dr Batilda amefunga kampeni zake uwanja wa NMC kwa viroja vya aina yake.Kabla ya mkutano kuanza kuliwa na maandamano makubwa ya magari,pikipiki,baiskeli na waenda kwa miguu...
Wakuu leo tumeshuhudia kampeni zikifungwa rasmi Tanzania nzima.
Wakati akifunga kampeni hizo wilayani Hai,mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Mbowe alitoa wito kuwa Tanzania ilikuwepo...
Wakuu... Kesho tunapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwa... regardless of results, nchi itaendelea kuwepo na nadhani tukisie kidogo baadi ya matukio muhimu
Mimi ntaanza na hali ya fedha, kwa...
Nimeongea na ndugu toka Mbeya anasema watu waliojitokeza kumpokea ni wengi sana!
Kibaya zaidi hana Camera jamani mlio jirani hebu tuwekeeni angalau picha tu!
NN
Kuna Watu wamekuwa wanajaribu kuufananisha Uchaguzi wa 2010 na ule wa mwaka 1995, wamekuwa wakijaribu kulinganisha Umaarufu alionao nao Dr. Slaa na Umaarufu aliokuwa nao Augustino Lyatonga Mrema...
Mungu uliye umba mbingu na nchi, uliyeumba Tanzania na watu wake; kesho watanzania wanapiga kura kuwachagua viongozi wao. Wapenda amani twakusihi uchaguzi uwe wa amani na haki. Kila mgombea avune...
Napatwa kigugumizi cha akili. Kwa masaa haya machache yaliyobakia, jk ana lipi jipya? Najiuliza hao walalahoi wenzangu wanaomshabikia amewapa nini? Nafika ukomo wa kufikiri katika hili. Inakuwaje...
Nachukia siasa, Sababu ni mwenendo wa kiutendaji wa Chama Cha Mapinduzi, ambacho hakimjali tena mnyonge na badala yake tunaambiwa CCM ina wenyewe... kina nani? Ni wenye nazo, mafisadi au?
Ni...
Ndugu nilitaka kuwajuza kuwa jana jioni CCM waliitisha waendesha pikipiki na vijana wavuta bangi wa Tabata Kimanga na kuwagawia Tsh. 5,000 na T-shirt kwa kila mmoja. Kadili ya watu 150...
Salaam wanabodi.<br />
Leo usiku kutakuwepo kipindi maalum cha kuombea uchaguzi mkuu uwe wa amani na utulivu.<br />
<br />
Kipindi hicho kimesharushwa na ITV na Star TV jioni ya leo. Usiku huu...
The Election Support Project 2010
The United Nations in Tanzania is helping to prepare for free, fair and credible Parliamentary and Presidential elections in 2010.
Why? This support is in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.