Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wadau...niona hili lisipite bila kuwekewa msisitizo zaidi. Katika mdahalo wa ITV jana, mgombea wa Chadema na Rais mtarajiwa Dr Slaa alitamka wazi kuwa Ikulu imetoa $1.5million (DOLA MILLION MOJA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Uchunguzi uliofanywa tangu kuanza kwa kampeni unaonyesha Dr. Slaa atashinda urais kwa kishindo kuliko ule wa CCM wa 2005
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanaoweza wamuangalie Dr Slaa na Kinana wakiwa Star TV live now.
0 Reactions
172 Replies
17K Views
wakuu nimeangalia kupitia mtandao wa NEC kuhajiji jina langu sijaliona! nimeana majina ya familia yangu tu. Sasa sijui bado daftari linaendelea ku-updatiwa au nimeliwa? Tafadhari mwenyekujua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Namuona SUGU TBC lakini naona TBC wamchakachua mdahalo Wanakatakata SUGU akiwa anaongea
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wadau angalieni Channel 10 muda huu, Askofu Kakobe anawaelimisha waumini wake namna ya kuchagua viongozi bora. Anasema msichague viongozi wala rushwa au wale ambao wanawatetea au kuwa na uswahiba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeamini kwamba maji yamezidi unga baada ya kushuhudia kile kilichojitokeza katika mkoa wa tanga, Mh Dr slaa alikuwa akihutubia maelfu ya watu waliohudhuria mkutano wake Huku kukiwapo magari kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Huu ni ujumbe ambao umetoka kwa Dr. Slaa, endapo utaupenda basi usambaze kadiri unavyoweza.
0 Reactions
169 Replies
15K Views
  • Closed
Dakta jei kei atafanya mdahalo jumapili ijayo akitoka kupiga kura chalinzeeeeeeeeeeee anakuja moja kwa moja bamaga tbc wani kwa ajili ya mdahalo,duuuuu kweli sisiem hamnazo tehe;tokea august...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
WAKATI juhudi za kuliokoa Jimbo la Bukombe ambalo liko katika hatihati za kunyakuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zikipamba moto, viongozi wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jumamosi, Oktoba 23 Mgombea Urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa atajibu maswali ya wananchi moja kwa moja (live) kupitia ITV Televisheni, kuanzia saa moja jioni hadi tatu usiku. Mwambie...
0 Reactions
319 Replies
27K Views
KWA WALE WALIO MBALI NA BONGO KAMA MIMI TUFUNGUE WWW.BONGORADIO.COM LIVE TUTAMSIKILIZA DR SLAA KTK KUHOJIWA MASWALI NA ITV,AHSANTE BONGO RADIO
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Je ni Mafanikio ya Operesheni sangara? Jinsi watu wanavyojitokeza kwenye mikutano ya kampeni na namna kampeni za mtu kwa mtu, kupitia simu na mitandao mbali mbali. Hamu ya mabadiliko imekuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanaJF, nimefanikiwa kupata picha kutoka kwa wadau wa Tanga, Dr Kama kawa yake picha zinaongea zenyewe.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau wapo wana ccm wanapita hapa mtaani kwetu,mabibo wanagawa kanga,tishet na kofia za ccm,na wakishakupa wanakuandika jina halafu wanasema mpaka sasa tumeshashinda,wamemgawia mke wangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna Tcha fulani huko jimboni kwa Mzee wa Kilimo cha Mchicha New Zealand aliwahi kunitumia SMS ya propaganda kuwa Dr. Slaa si kitu si lolote. Hivi majuzi nilizungumza naye kwa simu na kunieleza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilikuwa napitia ripoti ya haki za binadamu kwa mwaka 2008 kutoka Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje. Kuhusu suala uhuru wa maoni na habari ripoti hiyo ina maangalizo kadhaa mojapo ni hili: On...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilikuwa nikiangalia harakati za kujinadi kwa mgombea wa Urais wa zanzibar kwa kupitia CCM na nilishituka na kauli iliyosema kuwa serikali za CCM,ile itakayokuwa chini yake Zanzibar na ile...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu Wana JF, Napenda kutoa wito kwa wapenda mabadiliko wote kuwa we are very close on the finishing line kuindoa ccm iliyogawanyika madarakani, ambayo ni adui wa wapenda mabadiliko na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf nilimsikia mkurugenzi wa kituo cha kisheria na haki za binadamu akitaja JF kama moja ya taasisi zitakazotoa waangalizi wakati wa uchaguzi mkuu. Nilisikia JF itatoa watu 60 watakaojiunga...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom