Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
habari wana JF. 31th oct, napiga kura yangu kwa mara ya kwanza na nahisi nawakilisha walio wengi tuu. sasa nawaomba wale wadau ambao walishapiga kura hapo awali kunithibitishia kama kweli kura...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
udiwani sasa anavaa nguo rasmi na Ahmed Makongo, Bunda MGOMBEA udiwani wa kata ya Balili, kwa tiketi ya CCM, Edda Motte, ambaye hivi karibuni mgombea urais kwa tiketi ya cham hicho, Jakaya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Francis Godwin ni mzee wa matukio daima: ZITTO KABWE AUZA NGUO ZAKE MKUTANONI KUMCHANGIA MGOMBEA WA UBUNGE SUMBAWANGA MJINI ,WANANCHI WAUNGA MKONO WACHANGIA ZAIDI YA TSH LAKI NANE
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za uhakika nimejulishwa na rafiki yangu toka Bukombe kuwa Jeshi la polisi linawashikilia watu waliokamatwa wakinunua shahada ZA KUPIGIA KURA.jESHI HILO IMEBIDI LIFANYE KAZI YA ZIADA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa zaidi ya miaka mitano wapenda mabadiliko tumekuwa tukiapashana habari, kubadilishana uzoefu n.k kwa kutumia njia mbali mbali ikiwemo jamii forum. Kwa hakika kupitia jf tumenufaika sana na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwalimu wa Nyerere ataka CCM iadhibiwe Na George Marato Mwalimu aliyemfundisha baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere katika shule ya msingi, amesema adhabu pekee ya kukipa Chama cha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa sisi tulio mbali na mjini tunaomba mtuwekee mchakato majimboni iliyorushwa na TBC 1 jana Jumanne katika jimbo la Mbeya Vijijini. Natanguliza Shukurani,na Kiswahili yangu ni poa tuu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuwa rangi za jezi za timu ya yanga ni kajani na njano ambazo pia ni za CCM,natilia shaka kuwa ndio dalili njema kwa ushindi wa CCM katika uchaguzi utakaofanyika tar 30/10/2010.jamani ni maoni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Najaribu kupiga picha sioni mbele mara baada ya tarehe 31 Oktoba.Ni kipindi ambacho wengi watalia na kusaga meno,ni kipindi ambacho wengi watashangilia ushindi wa kiongozi mpya,kwa sura,tabia na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nadhani CCM wakiongozwa na Kikwete akili zao zimezimia. Wewe mtu unawezaje kulazimisha kuwa umetimiza ahadi zako? Kama umejenga barabara si watu wataona, kuna haja gani ya kila siku kesema...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Paul Mashauri Presedent EAST AFRICA SPEAKERS BEREAU 2. Costantine Magavilla MARKETING MANAGER ZAIN 3. COMPANERO- JF MEMBER The mentioned above have leadership qualities.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Sina shaka yoyote kwamba ukombozi wa Tanzania umewadia. Daktari wa filosofia mwenye shahada ya UZAMIVU, Dakta Slaa ataapishwa kuwa Rais. Haya ndiyo ninayoyatarajia kutokea wiki chache tu baada ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau nimesoma report moja uko Daily News (Pamoja na chuki zangu kwa biasness ya hili gazeti) na nimependa matokeo ya utafiti yasiyoweza kubishiwa. Naamini kila mtu atakubaliana na mimi kwamba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tetesi za kuahirisha uchaguzi huu zinazidi kushika kasi kwa sababu ya mazingira yafuatayo:- 1) CCM hawapo tayari kushiriki uchaguzi huu baada ya kufahamu wapigakura wanaghadhabu kubwa na ya muda...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hatua hizi mbili Chadema wamekuwa wakizipuuza lakini watakuja kujuta baada ya CCM, NEC na wakurugenzi wa halmashauri ambao NEC inawatumia kama wasimamizi wa chaguzi hii watakapokuwa wamechakachua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
In loving memory Mwalimu J. K. Nyerere/ Founding Father of the Nation 11th Anniversary of his death "It can be done if you play your part" Mwalimu Nyerere I knew Mwlimu as a good person...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eat crocodiles, Museveni tells Buliisa District residents By Francis Mugerwa (email the author) Posted Tuesday, October 19 2010 at 00:00 Buliisa President Museveni has advised Buliisa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uchaguzi Unaofanyika Tanzania sio wa kwanza. Pia uchaguzi wa Tanzania ni sehemu ya chaguzi nyingi zilizofanyika duniani. Mtu wa kawaida anaweza kuchunguza mambo machache yafuatayo na akajua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
CHADEMA wachoma khanga za rushwa • Zilitolewa na Mama Kilango kwa wananchi na Grace Macha, Same CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimechoma khanga zinazodaiwa kutolewa bure kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom