Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
16th October 10 Utafiti mpya wajibu Redet na Synovate Elizabeth Zaya Baada ya Taasisi ya Utafiti na Demokrasia (Redet) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Kampuni ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Sasa mambo yameiva, asiye na mwana aeleke jiwe! Mwaka 2005 katika kampeni za uchaguzi CCM walishangazwa na CHADEMA kutumia Helkopta kufanya kampeni katika nchi masikini kama Tanzania. Katika...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Katika hali isiyo ya kawaida magazeti mawili ambayo tunachukulia wote wahariri wao walikuwepo kwenye mkutano wa waandishi wa habari wa TCIB yaani Tanzania Citizen Information Bureau lakini wametoa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ichi kipindi leo kuanzia 21hrs mpaka 22hrs TBC kilihudhuliwa na JAHAZI ASILIA,CHADEMA(MWAIPAJA),TLP (MLUGE) ,CUF etc Wagombea wote walijiandaa vya kutosha kwa jinsi walivyokuwa wakiongea. Kati...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chadema naomba saana sasa mkae mbale na fujo nk wanataka kusababisha machafuko ili wawe pake matope au kuharisha/kuhahirisha uchaguzi, na pia muwaulize wateja wenu wanataka kuuzwa na kuibiwa basi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ukisikia kuchanganyikiwa ndio huku,leo akiwa mlandizi jk mbele ya kipaza sauti chake kiliwekwa kibao kilichoandikwa maneno hayo:for a fair future for all,vote for ccm,akaendelea kuhutubia akisema...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
‘Uchafu' wa mgombea Sumbawanga watua kwa Makamba * Apelekewa barua, picha za Mhindi akifanyiwa unyama * AFORD, asasi za kiraia zataka CCM ichukue hatua Na Waandishi Wetu, Dar na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya yote ni sehemu ya udhaifu wa CHADEMA na CUF lakini kuna mengi zaidi ya haya hasa kwa upande wa CHADEMA ambao wanaendesha propaganda zisizo na mwelekeo wala ujazo wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
By The guardian reporter Two Kiswahili tabloids, Rai and Tanzania Daima, have been identified as the most notorious in negative publicity to political parties participating in the ongoing...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni jambo la kawaida kabisa hususani kwa nchi zilizoendelea kidemokrasia wakati mkiwa kwenye kampeni na ushindi mnono unanukia kuanza maandalizi ya kukamata dola na kushika hatamu za uongozi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nilikua nawaza sana na nikatafuta wa kumlinganisha Slaa na rais yeyote aliyewahi kuishi au aliyepo.Nimegundua Dr Slaa ni Sawa na Baraka Obama.Kama dunia ilivyokua inatamani sana America kuongozwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
hadi sasa polls za gazeti linalosomwa na wengi la mwananchi,jumla ya voters 3525 matokeo kama ifuatavyo dr slaa 71.1% kikwete22.4% lipumba 4.5% tlp na nccr wamepata 0.5 kila mmoja ukiangalia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna hili bango la wizara ya afya ambalo limekuwa pale ocean road takriban miezi miwili sasa. Ni wazi linampigia JK kampeni, na tume haikutoa amri ya kuliondoa. Tukumbuke rais wetu mteule Slaa ana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapwaz, mabinamuz, mashangazi, mabibi na mabwana. Wakati unajipumzisha nyumbani au mahali pa starehe basi unaweza kujipa muda wa kuusikiliza ujumbe huu wa Mishori kwa Kikwete. Na uchukue muda wako...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
Wakuu, Naona kuna Rashid hapa TISS ndiye mkuu sasa. Naamini huyu alikuwa ni naibu wa mzee aliyeondoka. Mimi sina CV yake hebu ES na wakuu wengine naomba tupe data hapa tujue huyu ni mtu wa aina gani.
1 Reactions
243 Replies
64K Views
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Citizen's Information Bureau (TCIB) na kutolewa leo umeonyesha Dk Slaa anaongoza kwa asilimia 45, JK asilimia 41,Prof. Lipumba asilimia 10, Hashim Rungwe...
0 Reactions
122 Replies
13K Views
Ukilinganisha Taifa letu Tanzania katika tafiti nyingi sana bado tupo nyuma sana katika kukuza sayansi na nyanja zote ili kufanya maendeleo halisi kwa watu wetu, Katika pitapita yangu, utaweza...
0 Reactions
59 Replies
14K Views
Labda alishawahi kuwa mc huko nyuma basi kama sivyo amesoma alama za nyakati, huyu jamaa anajiandaa vyema kwa kazi hiyo baada ya oktoba 31 kwani kila nikitafakari anayoyasema na ahadi anazotoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
AN opinion poll survey carried out by the Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) has shown that the ruling CCM enjoyed 50 per cent support of people above 40 year of age, while the young...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika hali ambayo yaonyesha Mwanasheria Mkuu ni kibaraka wa mwajiri wake JK na CCM yake ameona ni sahihi kabisa kutochunguza matukio yote ya uvunjaji sheria za uchaguzi lakini kuichafua Chadema...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom