kweli nimeamini HATAMU IKISHIKWA PUNDA SHARTI LAZIMA AENDE ,,,,WANANCHI wenzangu mnadanganyi kwa maneno ivi hamji kuwa hao mnaowapigania ni mafisadi zaidi jinsi mnavyofikiri ki ukweli CHADEMA si...
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
Mengi yamesemwa wakati huu wa kampeni.Mengi yatasemwa wakati uliobakia kabla ya Oktoba 31..siku ya kupiga kura.
Kila jitihada zimefanyika kwa ajili ya kushawishi wapiga kura wakatae...
Kinana amesema REDET kusema JK anaporomoka katika maoni ya wananchi ni 'fair' lakini ni sio 100% correct. Huyu jamaa simuelewi kabisa kwani anakubali na kukataa wakati huo huo, hivi ana uwezo...
Dalili za laana ya Tanzania. Laana inayosababishwa na kushindwa kuitumia fursa ya kupiga kura, kuikomboa nchi:
Dalili ya Kwanza, tuna rasilimali nyingi za utajiri katika dunia hii, mfano madini ya...
SOURCE:By Said Hamdan; GUARDIAN ON SUNDAY
Lindi Urban CCM parliamentary candidate Mohamed Abdul Azizi who is also Iringa Regional Commissionerand his campaign manager Khalfani Mandanje, used...
Source: Habari TBC1
Mgombea ubungwe kwa tiketi ya Chadema amefikishwa kwa tuhuma za kutishia kuua. Msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo ndio amefungua kesi hiyo akimtuhumu Lema kumtishia kumuua...
Kuna tetesi kuwa Dr. Slaa atamaliza kampeni zake kwa Sugu (Mbeya Mjini).
Yuko sahihi.
Lakini chondechonde Dokta. Usiache kwenda jimbo la Songwe. Watu wa jimbo la Songwe nadhani wamerogwa...
Malumbano yanayoendelea baada ya utafiti wa reDIRT yamebase katika sample wengine wakisema ilikuwa bias na wengine ilikuwa haitoshi. Sample ya 2600 inatosha sana kwa watafiti wazoefu kama Dk Bana...
Ni kama mara mbili JK amekuwa akisema kwenye kampeni zake kuwa vyama vya upinzani ni 'photocopy' na CCM ndio 'original'. Hivyo wadanganyika wachague 'original'. Hivi kati ya 'original' na...
Ndugu zangu naomba kujua huyu mwenyekiti wa kampeni wa CCM amepotelea wapi?
Nauliza hivi kwa sababu nilizoea kumsikia akijibu kila hoja inayotolewa na dokta(wa kusomea).Mara ya mwisho alionyesha...
Kimfaacho JK ni asasi za hisani, si urais!
Mwandishi Wetu
Oktoba 6, 2010
KATIKA miezi ile ya mwanzo baada ya kuingia Ikulu, Rais Jakaya Kikwete aliwashangaza wengi alipoitangazia dunia...
Ndugu zangu,
Napenda kutoa taarifa kuwa Raisi Jakaya Mrisho Kikwete hadi leo amevunja rekodi ya kuweza kukaa Tanzania bila kutoka nje kwa zaidi ya miezi miwili na nusu. Hii ni rekodi ya ajabu...
Wakati wa uchagazi mkuu unakaribia, kuna wananchi wengi ambao wameokana kutojua muelekeo wa nchi. Lakini kuna hope moja, SHARIA LAW.
Wananchi wa Tanzania, huu ndiyo wakati wa kupigia kura chama...
• Ashangaa watu kuteseka miaka 50 baada ya uhuru
Na Janet Josiah, Nkasi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, juzi...
Nimeliona shairi hili katika FOSI (Friends of Slaa) ni kaona niwashirikishe.
Mchagueni Slaa, tuiponye Tanzania
Nimelala nimekesha, jambo nimefikira
Bongo nimezichemsha, sipati jibu sawia...
Chadema na CCM wachapana Rukwa
Na Muhibu Said
8th October 2010
Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, mwaka huu zinazoendelea nchini kote, jana ziliingia katika sura mpya, baada ya wafuasi wa...
08 October 2010
Hussein Issa na Beatrice John
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imepania kuweka rekodi baada ya kueleza kuwa itatangaza matokeo yote ya uchaguzi mkuu siku moja baada ya kupiga...
Fredy Azzah na Jackline Laizer
IKIWA zimebaki siku 23 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, waangalizi 92 kutoka nje, wakiwemo 68 kutoka Umoja wa Ulaya (EU), wameanza kuwasili nchini.
Kwa...
Maalim Seif Sharif
Maalim Seif atumia mbinu mpya kuwa karibu na vijana kwa kuzindua tovuti yake.
Je mara hii ataukwaa Uraisi?
vision ya CUF
"Our dream for Zanzibar is of an open...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.