TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Je hali inayoelezwa hapo chini ni kweli?. Kuna kitu muhimu kimeachwa hapo chini ambacho kinaathiri maisha ya mtanzania ambaye vitu vingi vinatoka nje, nacho ni kushuka...
Chadema wamedai kuwa takwimu za kitaalamu zinaonyesha wapigakura wapo milioni kumi na sita lakini daftari laonyesha milioni kumi na tisa.
Hivyo kuna karibu milioni tatu ambazo huenda zimeongezwa...
Kwa kweli mambo yanayofanywa na Kikwete na CCM yake yanazidi kunichefua sana. Nakumbuka huyu JK kupitia kinana walisema hawawezi kushiriki midahalo kwa sababu ya ratiba yao imejaa mpaka siku ya...
Dk.Slaa apata wakati mgumu
Na Muhibu Said
10th October 2010
Aliyemnadi kwa Chadema akataliwa
Aambiwa chaguo ni NCCR-Mageuzi
Ni yale yale yaliyomkuta kule Kyela...
Nadhani nyote mnafahamu kwamba jamaa aliwahi kusema kawekewa vinasa sauti kule hotel 56 Dodoma.Nilitaka kufahamu nani mmiliki wa Alba Apartments alipokuwa anaishi Dr.Slaa na Josephine na watoto...
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Kikwete ,akiwa ameketi chini ardhini kwenye vumbi na nyasi ili kumsikiliza Mama Sara Mageni mkazi wa Wilaya ya Makete, wakati...
I came across this analysis some days back an I thought the home of great thinkers can think about it.
Jean-Bertrand Aristide, the prophet of deception
Cambridge, Massachusetts - From a distance...
Can CCM tell us why hatuna vitambulisho vya utaifa ambavyo hupewa kila anayefikisha miaka 18? Hivi hii nchi imeenda kwa mbwa? kwanini suala hili halitiliwi maanani kama tuna wapiga kura millioni...
Katika hali ya kuenzi mwalimu JK Nyerere wana Jf inatubidi kuandaa mabango yatakayofikisha ujumbe murua kwa walioshindwa kumenzi Mwalimu kwa vitendo.Wanandugu tusaidieni katika hili.
Bango NO...
Dalili zinaonyesha ushindi mkubwa kwa Dr Slaa wa Chadema kuwa rais mpya wa Tanzania. Lakini kuna kiza kinene kama matokeo yatakayotangazwa yatafanana na maamuzi ya wananchi katika kura. Je Jaji...
Mama Graca machel alinukuliwa kusema Tunachanganya, tunapofikiri kuwa kila aliye na madaraka ni kiongozi, hii si sahihi, uongozi unakuja na utu, utaifa na kujali maslahi ya unaowaongoza...
Na Thobias Mwanakatwe
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe (CCM).
Umoja wa vyama 10 vya upinzani katika Jimbo la Mbeya Mjini ambavyo vimemsimamisha mgombea ubunge mmoja...
Nimesoma mada ninayoiweka kwenye link hapa, ambayo imetulia sana, ikichambua kwa nini kauli ya Shimbo imesababisha majadiliano mazito. Kumbe ni Kikwete pekee ambaye amengangania USHINDI NI LAZIMA...
(Source: RAIA MWEMA NEWSPAPER)
ONYO la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na vyombo vingine vya usalama limeibua mjadala mpana na mzito nchini. Ni mjadala unaohusu weledi wa...
Magazeti ya leo yameandika kwamba JK atahudhuria gemu kati ya Stars na Morocco.
Hapo Watanzania tuhesabu kuwa bado timu yetu ina pointi 1 kwa sababu JK ana gundu.
Akiwa na mpambe wake Mwamtum Mahiza, mbele ya wakina mama wa Tabora huyu mama amekuwa akiyarudi kama sehemu ya kuomba kura. Hivi Watanzania tunataka wakata viuno? Matatizo yetu sisi ni nini haswa...
Naomba mwenye kukumbuka ile thread tuliyozungumzia mkutano wa Geldof na Kikwete na ile video clip ya Geldof akimsuta Kikwete aiweke hapa kisha Mods futeni thread ikimalizika.
taswira ya jk
namwona jk :
anamwagiza shimbo awatishe wananchi
anamtumia sheikh yahya kutabiri ushindi wake
synovate na redet anawalazimisha kumpikia kura za maoni
anavunja sheria ya uchaguzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.