• Asema imeonyesha dalili za kufa
na Mwandishi wetu
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kupuuza ujumbe...
Ingawa tunajua kwamba nchi yetu bado ni changa kwa siasa za vyama vingi kutokana na ufinyu wa elimu ya uraia waliyonayo watanzania walio wengi hususani sehemu za vijijini, lakini pia, uroho wa...
Mtaji wa CCM kisiasa ni elimu duni kwa sababu ni rahisi kuwatawala watu ambao ni mbumbumbu. Nchi gani itakubali mtu wa mzaha mzaha kama JK kuwa Raisi wao kama siyo kushuka kwa elimu.
Hivi sasa...
Fernando Armindo Lugo Mendez (59 years old) is the current President of Paraguay and the former Roman Catholic bishop of the Diocese of San Pedro. He ascended to power on August 15, 2008 defeating...
Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata...
Nimetumiwa jumbe hizi na mtu mmoja juu ya ndugu yetu Dr. Wilbroad Slaa na kupambana na kampeni chafu za teja Miraji Kikwete na wenzake. Anaomba zisambazwe kwa emaili na ujumbe wa CCM moja moja ili...
1.Rais wa kwanza duniani kudanganywa vibaya mno na wasaidizi wake
2.Rais wa kwanza kuwa na rekodi ya kuanguka anguka mbele ya kadamnasi
3.Rais wa kwanza duniani kufanya safari nyingi za nje ya...
1
1. Utangulizi
Bunge la Tanzania ni moja ya taasisi muhimu sana nchini. Umuhimu wa Bunge
unadhihirishwa na mgawo wa fedha zinazotengwa kwa ajili ya Bunge. Kwa mwaka wa
fedha 2009/10 kiasi cha...
Ati mie nashangaa watu wanasema Mramba alileta barabara kiupendeleo as if it wasn't in a TANROAD plan! Let me tell you guys these facts:
First Kilimanjaro is the smallest region behind Dar es...
Chadema zingitieni yafuatayo muda huu wa kuelekea kupiga kura.
1. Ongezeni juhusi zaidi za kampeni na kujibu siasa zote za maji taka
2. Andaeni mikakati ya kulinda kura ili zisichakachuliwe
3...
Nilikua nasikiliza taarifa asubuhi hii kutoka Radio Free Africa, nimeshtushwa na taarifa ya mtu aliyejitambulisha kua ni mkurugenzi wa taasisi inayojishughulisha na utafiti (CACT) kama wa REDET)...
kutokana na picha za mkutano wa tumbatu zilizowekwa kwenye mzalendo.net kuna hii hapa
mm sijaelewa kulikoni?
ina maana kweli CUF ni CCM B?
au kwa jamhuri ya muungano wazee mumeamua kumtosa...
hiv kuna watu kama vile wamefanyiwa exchange ya damu na kuwekewa damu ya CCM i dnt know wat inakuwa hivi.....,
hivi kwa lipi bora ambalo hawa CCM wamelifanya la kutunufaisha sisi kama watanzania...
jamani jitahidini kufuata kiapo hiki. na tumieni email zenu kuwatumia (to forward) ndugu, jamaa na marafiki ZETU KABLA YA SIKU YA KUPIGA KURA. NDUGU ZETU WANAWEZA PIA KUPRINT NA KUZAMBAZA KWA WATU...
Kuna mtu aliwahi kusema hapa kuwa kuna makubaliano ndani ya CCM kuwa na uwakilishi sawa wa dini kubwa nchini za uislam na ukristo. Matokeo ya uchaguzi Dodoma yanaonyesha kuwa waislam sasa...
Kutokana SISIMU kuchafua na kuhatarisha amani kwa kutuma msg za vitisho kwa baadhi ya numba za simu.Naomba wote wasizingatie hizo Msg na waendelee kumchagua kwa kishindo Dr Slaa.Sisimu imeona...
Slaa attacked in stinging message
By ABDULWAKIL SAIBOKO, 9th October 2010 @ 12:08 , Total hits: 105
THE Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) has disassociated itself with a...
Kulingana na taarifa iliyosomwa leo na channel Ten, Mama Salma Kikwete akiwa kwenye ukumbi na wana UWT wa Tabora alionyesha kupigwa tafurani ya kwanini Ilani ya CCM kwenye eneo la kupunguza vifo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.