Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sioni alichowahi kufanya huyu raisi anayemaliza muda wake! Amekuwa Mbunge kwa Miaka 15 Kule Chalinze, amekuwa waziri kwenye wizara nyeti, kote alikopitia ameharibu na kushiriki kuweka sahihi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
When I compare synovate and REDET you see no difference, the co- chairman of REDET is one of the advisers of Jakaya Kikwete, you don’t expect fair judgment out of the person employed by the...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
By KARL LYIMO Monday, October 12 2009 It sounds a crazy thing to say. But, it is becoming increasingly clear that Tanzania is creeping towards dangerous times as we head for the presidential and...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Send tonday, 10 October 2010 08:32 0diggsdigg Dk Willibrod Slaa Joyce Mmasi, Uvinza MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema Dk Willibrod Slaa jana alikumbana na wakati mgumu pale...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
wakuu haya siyo maneno yangu ni ya Mwanafalsafa Julius Kambarage Nyerere aliyekuwa raisi wa kwanza wa Tanganyika huru. Swali. Katika wagombea hawa tulionao sasa hivi hasa wa uraisi, ni yupi kati...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kuwa matokeo ya Rais yatatangazwa kwenye majimbo badala ya kusubiriwa kutangazwa na NEC... Mkurugenzi wa NEC, Rajabu...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Asema wanajaribu kutumia ngazi ya maiti za watu kuingia Ikulu Asisitiza kuwa damu ikianza kumwagika wao watakimbilia Ulaya Awashutumu ‘wanaochonga' kuwa Tanzania haijapata maendeleo tangu...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Synovate wametoa na wao matokeo ya "opinion poll" waliyofanya kuhusu wagombea wa uraisi 2010. Magazeti mengi yameandika kwa "headings" zinazoashiria kwamba matokeo hayo ni "conclusive". Ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
watu wakikupigia wasikie nyimbo za chadema kwenye simu yako fuatilia hapa 1. Tigo nenda kwenye sehemu ya kuandika sms andika 12608 au 12609 au 12610 tuma kwenda 15007 au 15050 2.voda nenda...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakati zikiwa zimebaki siku 20 kabla ya uchaguzi Oct 31, tuna shuhudia vyama vikiendelea na kampeni zao za kusaka ridhaa kwa wananchi kwa amani na utulivu wa kuridhisha kuliko chaguzi nyingi...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Siku ambayo akina shimbo et al watampigia Slaa saluti kama amiri jeshi mkuu. Siku ambayo jeshi la polisi litafuata amri ya rais mpya. Siku ambayo uwt watakuwa chini ya uongozi mpya. Siku ambayo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kupuuza ujumbe mfupi wa maneno (sms) unaosambazwa kupitia simu mikononi kuwa ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kiukweli naona kama watanzania hawapo tayari kwa mabadiliko,Je, hii ni kukubalika kwa ccm au ni wengi wao kutojitambua?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewataka wanajeshi wake, kutoshabikia chama chochote cha siasa na badala yake kuwasikiliza wagombea na kumchagua mtu anayejali maslahi ya nchi. Kauli hiyo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Mimi naomba kuuliza Hivi kutokana na hali yakisiasa baada ya uchaghuzi je inahitajika kuwepo na serikali ya kitaifa??endapo pale chama kitashinda kwa ukaribu zaidi yakilichoshinda??ili hata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi ni kweli watu wote wanaokwenda katika mikutano ya JK wanakwenda kwa ajili ya kumsikiliza mgombea wao au wanakwenda kuwaona wasanii wanaoambatana na mgombea huyo, Jamani mnaokuwa maeneo hayo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii tabia ya viongozi wa CHADEMA kuvaa kama mgambo itawapunguzia kura....kwa mwananchi wa kawaida .... mgambo ni alama ya unyanyasaji kutokana na wanavyotumika ingawa lengo la kuanzisha mgambo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
"Achana na Dr. Slaa haya ndiyo maisha bora na mkinichagua nitahakikisha kuwa mnajenga nyumba nyingi kama hizi zenye kubeba picha zangu ili mimi, mke wangu, na mwanangu Ridhiwani tuendelee...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwa udadisi mwepesi niliofanya kwenye facebook pages za Dr. Willbroad Slaa na ile ya "Dr" Kikwete, mpaka leo (Jpili) Slaa ana fans 11,442 wakati Kikwete ana fans 5019 (Jakaya Mrisho Kikwete for...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Juzi saa tatu usiku kwa saa za Afrika Mashariki nilifanikiwa kutazama mahojiano kati ya mwandishi wa habari wa Televisheni makini ya mlimani na wananchi mbalimbali jijini Dar es Salaam juu ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom