Nimekuwa nasikiliza kampeni za wagombea urais mbali mbali kunadi watakachokifanya kuboresha hali za Watz walio masikini, lakini sijamsikia mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete akiahidi kwamba...
Wandugu hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kila siku,hawa wenzetu wa chama cha nambari wani wametumia/watakuwa wametumia shilingi ngapi kwenye huu uchaguzi hadi uishe? na hizi hela wametoa...
Kuna hili sakata la wanavyuo kushindwa kupiga kura kutokana na vyuo kuchelewa kufunguliwa, mpaka sasa sijapata habari zaidi ya ile walipokwenda kwa waziri mkuu, je kuna kinachoendelea? na kama...
Wana Jamii wote na wapenda maendeleo nina wazo moja.Naomba uongozi wa juu wa Jamii forums utoe publically utafit na kura za maoni kama walivyofanya REDET na Synovate.Nadhani hamna kikwazo chochote...
Walioandikishwa kupiga kura milioni 19.6
Wanachama hai wa vyama vyote vya siasa takribani milioni 7.6
Wasiokuwa wanachama milioni 12(?). Hawa ndio deciding group. Huwa hawapigi kelele...
Nimemsikia Mwenyekiti wa NEC aliyeteuliwa na Mwenyekiti wa CCM kwenye wadhifa huo, Lewis Makame ktk Channel 10 leo usiku akisema tume yake haina uwezo wa kuwasaidia wanafunzi wa vyuo kupiga kura...
Hii threadi imeniliza sana. Naandika hapa kuonyesha hisia zangu kutoka ndani ya moyo wangu. Imeguza hisia ya kila Mtanzania mwenye moyo wa nyama. Hii ni threadi ya watanzania wote. Ombi kwa...
Baada ya mbinu chafu za CCM kujulikana za kuwaandaa wapigakura kuyapokea matokeo yaliyo batili katika uchaguzi mkuu kwa kupitia vyombo vilivyokithiri kwa ufisadi vya REDET na SYNOVATE yenye...
Maudhui ya shairi la wanafunzi yamchefua DC
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Henry Clemens, juzi aligeuka mbogo baada ya kukasirishwa na shairi lililoimbwa na wahitimu watarajiwa wa Kidato cha Nne...
If the United States of America or Britain is having elections, they don't ask for observers from Africa or from Asia. But when we have elections, they want observers WHY?
Na Saed Kubenea
Imechapwa 06 October 2010
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu ili kionekane kimeshinda, MwanaHALISI...
Ya Kikwete kama ya Mugabe?
Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 06 October 2010
Uchambuzi
YALIYOTOKEA Zimbabwe kwa Robert Mugabe na ZANU-PF, ni kama yale yanayotokea Tanzania kwa Jakaya...
Hivi kwanini serikali ya chama cha mapinduzi inadhani kuwa wao pekee ndio wenye monopoly ya vyombo vya habari hapa nchini? Nalisema hilo kwasababu chini ya utawala wa rais Mkapa, mara nyingi kama...
katika kile ninachokiona kama utapeli uliokubuhu wa serikali ya CCM kwa vile hawana kitu cha ukweli cha kushikia na ni maisha waliyoyazoea kudanganya....hivi karibuni ilitoa waraka kwa vituo na...
Mabomu yawatawanya wafuasi CCM, Chadema
Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 11th October 2010
KIKOSI cha Polisi cha Kutuliza Ghasia (FFU) cha Arusha, kimelazimika kufyatua risasi hewani...
.....Rais Kikwete anamaliza ngwe yake ya miaka mitano ya urais wa Tanzania. Ametawala kwa miaka mitano kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho...
Nikiangalia mambo haya napata wasiwasi kama uchaguzi utakuwa free and fair kwa tafsiri yoyote kwani chama tawala:-
1. Kinatisha wapiga kura kwa kutumia wanajeshi
2. Kimeshatangaza matokeo ya...
Kwa mara ya kwanza vyanzo vyangu vya habari ndani ya CCM vimebaini pamoja na CCM kujigamba watashinda kwa kishindo lakini kichinichini wameanza kujadiliana ya kuwa kipimo cha REDET kimeonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.