Jana katika pitapita mitaa ya mbezi beach nimeona OASISI CLUB inafanyiwa marekebisho makubwa. katika kuuliza kulikoni nikaambiwa imenunuliwa na Peter Noni (mkurugenzi TIB) na Mchechu wa (NHC). na...
Kwa mujibu wa gazeti la Nipashe la leo, Mkurugenzi wa NEC, Rajabu Kiravu,amenukuliwa akisema "wasimamizi wa uchaguzi watajumlisha matokeo ya uchaguzi wa wabunge na kuwatangaza washindi na kura...
Monday, 11 October 2010
The Imam-Bukhary Islamic Foundation chairman, Sheikh Khalifa Khamis (right), reads out a resolution of imams and sheikhs during a press conference in Dar es Salaam...
ANAYETAKA KUMWAGA DAMU AKAMATWE MARA MOJA
Hii ni kauli iliyotolewa juma moja lililopita baadaa ya Mnajimu wa JWTZ kujitokeza na kusema kuwa kuna wanasiasa wanataaka damu imwagike ili mradi waingie...
JK: A servile agent of Neo- Colonialism.
Of all the disqualification for JK quest to retain his presidency lies in his unconditional capitulation to Neo-Colonialism. Whether it is his...
PCCB fanyia kazi hili suala haraka...Mgombea wa Udiwani Kata ya Sinza kupitia CCM-Salim Mwaking'inda asubuhi hii amepita kitua cha taxi pale Sinza mori na kugawa sh 1000 kwa kila dereva wa Taxi...
Jamani, nimeiona hii headline katika gazeti la fisadi papa RA MTANZANIA leo hii: 'CCM yampa meno Shimbo.' Niashitushwa sana -- maana bila shaka yoyote ni uamuzi uliotolewa na kikao cha kamati Kuu...
Kuna Story nimeipata kwa rafiki yangu naomba tuijadili kwa maslahi ya Taifa letu lenye rasilimali nyingi lakini ni masikini wa kutupwa.
Nikiwa kati ya WATU waliohudhuria mikutano ya kampeni hasa...
Kitendo kilichotokea juzi pale uwanja wa taifa wakati wa mechi ya taifa stars na morroco kinanifanya nijiulize maswali ambayo yananirudisha nyuma kabisa na kutaka kujua kazi za shimbo kama...
Napenda kumsafisha bwana Oriwo; mkurugenzi wa synovate. Majibu yao ni ya kweli kuwa 61% ya watanzania watampigia kura Kikwete. Hata hivo majibu yao sio halisi... wamepigwa changa la macho...
JE RUSHWA NI NINI?
Mwaka huu, takukuru walitoa bango ambalo nilibahatika kulisoma limetoa tafsiri ya Rushwa katika uchaguzi kama ifuaatavyo.
utoaji wa fedha
Utoaji wa T-shirt
Vitu vya thamani...
sambaza ujumbe huu uwafikie wapiga kura wote waliopo Tanzania.
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa...
Ningefurahi sana, na natamani sana kusikia tamko la Mama yetu aliyebeba Bendera ya Tanzania ktk Umoja wa mataifa, Dr Asha Rose Migiro, kuhusiana na uchaguzi unaotukabili wiki chache zijazo. Nasema...
Wakati REDET na Synovate wanaita waandishi wa habari na kutangaza "utumbo" wao kwa watanzania, nimekuwa nikijiuliza kwa nini JF nasi tusiwaite waandishi wa habari na kuwatangazia matokeo ya kura...
Wana JF, napenda kupata ufanuzi kuwa je waziri mkuu wa Tanzania anatoka katika chama chenye wabunge wengi bungeni au? Je Dr Slaa akishinda urais na ccm ikawa na wabunge wengi, je itamlazimu ateue...
Salama ,
Nimatumaini yangu ya kuwa wewe ni mzima kabisa na unaendelea na shughuli kama kawaida,Mkuu nilikuwa ninakuomba utuwekee tangazo letu letu hili la kikao cha shina hapa Reading,99% ya watu...
Habari za leo wakuu, jana nilihojiana na baadhi ya wana jamii wenzangu ili kubaini kwannn watu wenye sifa za kupiga kura lakn hawapigi kura. Wametoa sababu zifuatazo:-
Mmoja amedai NEC inalipa...
Mfanyabiashara acharangwa mapanga katika vurugu za siasa
NA MWANDISHI WETU
11th October 2010
Vurugu zinazohusishwa na masuala ya kisiasa zimezuka katika mji mdogo wa Malampaka uliopo...
Synovate siwaelewi kabisa kwa ili, naomba wana-JF mnisaidie! Wamesema asilimia 84 wana imani na JK, asilimia 78 JK ni mtendaji mzuri, halafu asilimia 61 watamchagua JK 31 Okt 2010.
Maswali: je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.