Kwa jinsi ninavyoichukia CCM kwa mabaya wanayoifanyia nchi hii na wananchi wake yaani we acha tu!! Nimeamua kwamba nikishainyima kura CCM 31st October, 2010 (of course tangu mfumo wa vyama vingi...
Baada ya wadau wa technologia na TCRA kuhangaika kwa siku kadhaa, baathi ya wadau wamegundua kuwa number iliyotumika possibly niya Finland.
mchakato unaandaliwa kuwasiliana na network za...
Leo kwenye Channel Ten jioni, Mheshimiwa Komba aahidi wanajimbo lake kuwa serikali ya CCM itajenga bandari kubwa na yenye heshima kuliko ile ya Malawi wakati ambapo chini ya wiki moja Mheshimiwa...
jamani kuna ukweli wowote kuhusu kuzuiliwa bandarini kontena la chadema lenye KADI,TSHIRT,KOFIA NA BENDERA from China mana nimekuwa nikipita makao makuu kuhitaji baadhi ya vitu naambulia tetesi...
Kwa nini kikwete anapingana na matamshi yake?
Hii imekaaje Wana JF?
KAULI YAKE KWA WANA CCM "SUALA LA URAIS NI SWALA LA KIFAMILIA"
KAULI YAKE KWA WATANZANIA " MSICHAGUE MTU MCHAGUE...
Kwa nini kikwete anapingana na matamshi yake?
Hii imekaaje Wana JF?
KAULI YAKE KWA WANA CCM "SUALA LA URAIS NI SWALA LA KIFAMILIA"
KAULI YAKE KWA WATANZANIA " MSICHAGUE MTU MCHAGUE...
kwa muda wa week mbili sasa magazeti yamegubikwa na utata wa report za synovate and redet juu ya nani yuko juu katika uchaguzi 2010.
Ukweli ni kwamba wengine hatukujua wala kupata nafasi ya...
Jana mkurugenzi wa Nec alidokeza kwamba"Vyama vya siasa vinatakiwa kuweka mawakala waaminifu ambao watakuwa tayari kuweka mbele maslahi ya vyama vyao kwa kuwepo vituoni na kuepuka vishawishi...
Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia...
Jamani, kila ninapopita hapa mjini na mikoani, CCM wameweka mabango yao either kwa waosha magari wa mitaani au wafanyabiashara ndogondogo ( hasa katika maeneo ambayo hayaruhusiwi)
Swali. Je ni...
Vox Populi Vox Dei ............Latin
pouvoir populaire .............French.
Viongozi wote waliopo madarakani duniani huogopa Misemo hii. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Haiishindwi hata kwa...
Nimejaribu kuangalia kwa makini hii ripoti ya Synovate na kugundua mambo yafuatayo:
1: Pamoja na kuwa na wabunge wachache katika bunge lililopita 2005-2010, kutoka vyama vya upinzani, wabunge...
Ndugu mwana JF nadhani umekuwa ukifuatilia vizuri hizi kampeni za ccm zinavyokwenda mimi ninajiuliza baada ya hizi kampeini je A.Kinana atapewa kazi gani kama ikitokea CCM ikashinda??maana yeye...
Juzi niliingia duka la mhindi mmoja nikiwa natafuta kitu fulani. Nilishangaa kuona nguo za kijani nyigi zikiwa kwenye shelf, nilipouliza je anauza, aliniambia haziuziki, ila tunatoa bure kama...
Hayo maneno ni swali la abiria tajiri wa Titanic kabla ya kupanda meli hiyo na jibu la kujisifu kutoka kwa injinia aliyeshiriki kujenga meli hiyo. Lakini furaha yote iligeuka kuwa majonzi makubwa...
Ahadi alizo zitoa 2005 zimetimia kwa 3%, na ni baadhi tu ya ahadi hizo ambazo zimetimia kwa kiwango hicho, mfano wa ahadi zilizotimia kwa kiwango hicho ni ahadi ya kutoa mikopo kupitia mamilioni...
nawashauri vijana kote nchini hasa kwenye majimbo ambako CCM hawapui, waviache vitambulisho vya kupigia kura majumbani badala ya kutembea navyo. Hii ni kwa sababu katika maeneo hayo vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.